Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Mheshimiwa Lema,

Hakika mimi niseme maneno machache tu,

Kwamda wa miaka 8 niliyoanza kuhudumu katika siasa kali niseme wazi, kikwazo kikuu cha kuelekea mageuzi ya kweli katika nchi hii kupitia siasa za mageuzi ni Zitto Zuber Kabwe,

Narudia tena Zitto Zuber Kabwe ndie msaliti namba moja na ndie kiongozi wa migogoro yote kila itokeapo ndani ya Chadema,

Sisi tumemaliza kazi yetu sasa tumewaachia wafanyamamuzi,

Sasa mkimshindwa tutachukua jukumu la kihafidhina zaidi wenyewe
 
Lema utaendelea kulalamika kila siku mitandaoni...mipango uliopo hivi sasa ndani ya chama inajulikana... mumeanza kwa mwigamba mnataka kutengeneza ukabila ndani ya chama.... sisi wanachama hatutakubali chadema kuwa chama wachanga tuko nyuma ya hao unaowaita wasaliti....
 
Safari yetu ya kubadilisha utawala inaonekana kufika ukingoni na nifuraha ya kila Mtu mwenye hisia ya ukweli katika maisha na ninapotazama mbali sana ninaona jinsi ambavyo Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa ni bahati mbaya sana uwezi kuwaepuka katika harakati hizi lakini tukiwa makini tunaweza kuwathibiti .

Kama Chadema leo itashindwa kuwachukulia hatua wasaliti wa wazi wa kazi hii njema ni vipi Chadema itaweza kuitaka Serikali na Rais iwajibishe Viongozi wake katika ufisadi na wizi wa mamilioni ? Na Wananchi lazima wajue lengo kubwa na muhimu la Chadema kwanza liwe kubadilisha fikra na mitazamo na kuupa UMMA elimu na mamlaka na nguvu ya kusimamia Taifa lao katika kuhoji ,kudadisi na kukemea , kwani UMMA usipojua wajibu wake katika kusimamia rasilimali na Taifa lao , ukweli utabaki kuwa Nchi itabadilishwa na kufanikishwa na Jamii iliyoamua kuishi matendo dhahiri ya ukweli na haki na sio unafiki na usaliti .

Viongozi wote wa Siasa wanatokana na Jamii kwa hiyo jamii Thabiti inayo furahia UTU ni Nchi bora tutakayoijenga lakini Jamii yenye woga na hofu na Sifa itazaa Taifa lenye usaliti na Wanafiki . Usaliti na Unafiki unaliangamiza Taifa sana . Maombi na Dua za Watu wengi kuelekea 2015ni kutaka kuona Chadema inachukua Nchi , lakini Dua na Sala hizi zina Imani kubwa na Viongozi wa Chadema na sio rangi ya Chadema , hivyo ni muhimu Chadema kuchukua hatua sasa ya kusafisha Chama na kama hatua hiyo muhimu ya kuondoa Watu wenye rangi mbili italeta madhara katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwamba tunaweza tusishinde dola basi madhara hayo ni muhimu kwani lengo letu lisiwe tu kwenda Ikulu bali kubadilisha fikra ya utawala katika kutenda na kuamua .

“ Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani “ Chadema lazima ifanye maamuzi sasa ya kusafisha Nyumba yake la sivyo itakuja kujuta katika siku za mwisho , wasaliti wote waondolewe hasa yule Kiongozi wao kwani hakuna genge la usaliti lisilokuwa na Kiongozi , kuna Watu wengi Vijana wamekuwa wahanga na ndoto zao kupotea katika Siasa kwa sababu waliongozwa vibaya na Kiongozi mkubwa anayeratibu usaliti ndani ya Chama .

Mtu huyu wote tunamjua ni matumaini yangu Usaliti wake sasa utafika kikomo kama Chama kitaamua kuwa na busara za kutosha katika kujenga siku njema zinazokuja . Mtu huyu amefanya mambo mengi mabaya katika Chama yanayohusu usaliti na amewaponza Vijana wengi na kuangamiza ndoto zao kwa sababu ya mambo yake binafsi .

“ To me, the thing that is worse than death is betrayal. You see, I could conceive death, but I could not conceive betrayal.” Malcolm X



[FONT=&]Lema Godbless - Mp[/FONT]

ICC Ipo msijisahau tunawakumbusha tu
 
Mheshimiwa Lema,

Hakika mimi niseme maneno machache tu,

Kwamda wa miaka 8 niliyoanza kuhudumu katika siasa kali niseme wazi, kikwazo kikuu cha kuelekea mageuzi ya kweli katika nchi hii kupitia siasa za mageuzi ni Zitto Zuber Kabwe,

Narudia tena Zitto Zuber Kabwe ndie msaliti namba moja na ndie kiongozi wa migogoro yote kila itokeapo ndani ya Chadema,

Sisi tumemaliza kazi yetu sasa tumewaachia wafanyamamuzi,

Sasa mkimshindwa tutachukua jukumu la kihafidhina zaidi wenyewe
Umemsahau Lema mwenyewe
 
Ahaaaa, haa, Kamanda Lema umewatumia vijana wako weee umeamua uje mwenyewe mzimamzima, karibu sana. Jana imeongelewa sana hii makao makuu kwamba umeamua liwalo na liwe, utamvaa jamaa kwenye mitandao ikiwa ni maandalizi kuelekea kikao cha kamati kuu. Nilipuuza kumbe ni kweli umejipanga. Ni hivi:

i) Hakuna mtu mnafiki na msaliti kama wewe, hata kama hujijui kwamba wewe ni mnafiki. Ungekuwa sio mnafiki na zezeta hata issue ya mwigamba isingetugharimu kwa kiwango tunachokiona leo. Ungekuwa sio mpenda sifa issue ya Mwigamba ungeweza kuiwasilisha vizuri kwenye kikao chenu naye akaitwa na akachukuliwa hatua stahiki bila makelele. Lakini kwa unafiki na uzezeta wako uliona cha maana ni kupiga makelele kama vile umekamata mwizi na kuanza kurusha matofali na kukimbilia polisi bila kutafakari kwa makini athari zake za muda mrefu. Usingefanya hivi kwa sababu uwezo wako wa kufikiri ndio huo. Pole sana kamanda. Hatuna namna kwa sababu ndio watu tulionao itabidi tukuvumilie hivyohivyo ili tufike hiyo 2015.

ii) Kupenda kwako sifa ndio kunatuangamiza sana. Vurugu zote huku Arusha ni kwa sababu una wasiwasi na ubunge wako, kila mtu unayemuona anaweza akatamani ubunge unamzushia jambo. Tunajua next kwa Arusha ni Nanyaro, bahati nzuri huyu yupo smart sana na hutampata kwenye mitego yako ya kijinga. Na atagombea ubunge 2015 kwa ticket ya CDM na atakushinda kwenye kura za maoni-hilo unalijua vizuri sana. Mwenyekiti wetu (kama ataendelea) atajaribu sana kukuokoa ili upewe nafasi ya kugombea, lakini najua atagonga mwamba.

iii) Kwenye vikao huna hoja za kushawishi wajumbe. Umeshasema haya maneno kwenye kikao mara kibao lakini kila mara umeshindwa kuthibitisha juu ya hatari ya huyo unayemsema (sitomtaja hadi utakapothbutu kumtaja wewe mwenyewe). Na mara nyingi amekwambia utaondoka wewe kwanza kwenye CDM kabla yake kama ulivyoondoka NCCR na baadaye TLP. Mwenzako hajawahi kujiunga na chama chochote zaidi ya CDM. Wewe ulianzia CCM, ukaenda NCCR, TLP na kisha CDM. Na upo CDM kwa sababu ya ubunge, siku ukikosa ubunge utatimka tena.

iv) Nani asiyejua kwamba ulikuwa uuze ubunge kwa Lowasa lakini vijana wa Arusha wakakudhibiti hata kukutishia kukuua? Wewe unapenda hela kuliko chochote. Ndio maana huna aibu kung'ang'ania posho bungeni huku ukijua vizuri kwamba sera za chama zinakataza habari za posho ya kukaa. Nani msalti hapa? Mlimuingiza mkenge mwenyekiti wetu akarudisha gari kwa jazba. Siku mbili akakimbia na kupiga magoti kwa Katibu wa Bunge kuomba arudishiwe gari akilia kwamba ilikuwa siasa tu. Haya ni nani mnafiki na msaliti hapa? Mlikubaliana kususia posho, lakini mlikuwa wa kwanza kuzikimbilia na leo unapiga makelele kwa mdomo mkubwa muongezewe, nakuuliza ni nani mnafiki hapa? Au ulivyo kilaza hata maana ya neno mnafiki na msaliti hujui?

iii) Unajua vizuri sana taratibu za CDM za kushughulikia haya unayeyaongea, lakini kwa sababu upo dhaifu sana na huna uwezo wa kuwasilisha hoja kimantiki ikashawishi wajumbe ndio umeamua kuibukia huku baada ya kuona mabasha yako akina Ben wamekwama. Nawe utakwama tu kwa sababu ukweli siku zote hujulikana, kama ule wa kudanganya mambo ya katiba ulivyojulikana.

iv) Hata kama hujijui, ukweli ni kwamba wewe ni kikwazo kikubwa sana kwa watu makini kujiunga CDM. Hakuna mtu mwenye akili sawasawa anaweza kukuchukuliwa wewe kwa umakini wowote. Inashangaza kwamba mwenyekiti wetu alikuona wewe ndio mtu anayefaa kuwa waziri kivuli wa mambo ya ndani. Yaani wewe tukishinda 2015 ndio utapewa uwaziri wa mambo ya ndani?

Endelea kumwaga ----- wako, tutarudi na mengine kwa sababu tunakujua vizuri kuliko unavyojijua. Next ukiendelea nitatoa photocopy na kuscan nyaraka ya fedha ulizokopa chamani na ambazo hujarudisha hadi leo. Wewe endelea na ujinga wako wa kuchafua viongozi mitandaoni.
Ukweli Usemwe umemwaga mchuzi kiduchu, mwaga na hizo mboga, kama unangoja kurudi kwake, basi unafikiri atarudi baada ya kumpa nyundo namna hii?
 
Last edited by a moderator:
Lema njoo ujibu hoja huku, mungi na ben sa8 wameshndwa . Acha uwoga hapa hautopgwa ngumi kama mlivyomfanyia m/kiti wetu mwigamba.hapa tunapga kwa hoja tu!
 
Safari yetu ya kubadilisha utawala inaonekana kufika ukingoni na nifuraha ya kila Mtu mwenye hisia ya ukweli katika maisha na ninapotazama mbali sana ninaona jinsi ambavyo Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa ni bahati mbaya sana uwezi kuwaepuka katika harakati hizi lakini tukiwa makini tunaweza kuwathibiti .

Kama Chadema leo itashindwa kuwachukulia hatua wasaliti wa wazi wa kazi hii njema ni vipi Chadema itaweza kuitaka Serikali na Rais iwajibishe Viongozi wake katika ufisadi na wizi wa mamilioni ? Na Wananchi lazima wajue lengo kubwa na muhimu la Chadema kwanza liwe kubadilisha fikra na mitazamo na kuupa UMMA elimu na mamlaka na nguvu ya kusimamia Taifa lao katika kuhoji ,kudadisi na kukemea , kwani UMMA usipojua wajibu wake katika kusimamia rasilimali na Taifa lao , ukweli utabaki kuwa Nchi itabadilishwa na kufanikishwa na Jamii iliyoamua kuishi matendo dhahiri ya ukweli na haki na sio unafiki na usaliti .

Viongozi wote wa Siasa wanatokana na Jamii kwa hiyo jamii Thabiti inayo furahia UTU ni Nchi bora tutakayoijenga lakini Jamii yenye woga na hofu na Sifa itazaa Taifa lenye usaliti na Wanafiki . Usaliti na Unafiki unaliangamiza Taifa sana . Maombi na Dua za Watu wengi kuelekea 2015ni kutaka kuona Chadema inachukua Nchi , lakini Dua na Sala hizi zina Imani kubwa na Viongozi wa Chadema na sio rangi ya Chadema , hivyo ni muhimu Chadema kuchukua hatua sasa ya kusafisha Chama na kama hatua hiyo muhimu ya kuondoa Watu wenye rangi mbili italeta madhara katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwamba tunaweza tusishinde dola basi madhara hayo ni muhimu kwani lengo letu lisiwe tu kwenda Ikulu bali kubadilisha fikra ya utawala katika kutenda na kuamua .

“ Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani “ Chadema lazima ifanye maamuzi sasa ya kusafisha Nyumba yake la sivyo itakuja kujuta katika siku za mwisho , wasaliti wote waondolewe hasa yule Kiongozi wao kwani hakuna genge la usaliti lisilokuwa na Kiongozi , kuna Watu wengi Vijana wamekuwa wahanga na ndoto zao kupotea katika Siasa kwa sababu waliongozwa vibaya na Kiongozi mkubwa anayeratibu usaliti ndani ya Chama .

Mtu huyu wote tunamjua ni matumaini yangu Usaliti wake sasa utafika kikomo kama Chama kitaamua kuwa na busara za kutosha katika kujenga siku njema zinazokuja . Mtu huyu amefanya mambo mengi mabaya katika Chama yanayohusu usaliti na amewaponza Vijana wengi na kuangamiza ndoto zao kwa sababu ya mambo yake binafsi .

“ To me, the thing that is worse than death is betrayal. You see, I could conceive death, but I could not conceive betrayal.” Malcolm X



Lema Godbless - Mp

Chadema ni chama ambacho nilikuwa nakipenda sana..kuanzia viongozi mpaka itikadi ya chama.Lakini naona siasa za ukanda zimeshamiri sana,kuna watu ndani ya chadema wanajifanya wao ndiyo kila kitu. Ndugu sisi tunafahamu tangu zamani ya kwamba wewe unaogomvi binafsi na zitto,uogomvi huo umetoakana na roho yako mbaya na kupenda kufanya siasa za fujo amabazo kamana makini kama zitto hawezi kufanya.
Huu upumbavu ulioandika leo ni kumlenga zitto moja kwa moja,unapenda sana wewe uonekane wewe ni msafi kuliko wengine, na pia wewe ni mtu wa kujilimbikizia mali,,ndiyo maana kwenye kikao umeinuka na kuanza kumtusi zzk kwa madai kwamba yeye ndiye mpingaji mkuu wa ongezeko la mshahara wa kifisadi kwa wabunge. Wewe Lema ni -------- sana,hata ufanye nini hauwezi kumshusha zitto, huna uwezo hata kidogo wakuweza kumshusha zitto!!!kwanza tangu ufike bungeni hakuna hata jambi jema amabalo umewahi kusimamia kwa manufaa ya wananchi, mara zote vitu unavyosimamia wewe ni vitu vya kipuuzi, vitu amabavyo mwananchi wa kawaida havimgusi.Elimu yako ni ndogo ndiyo tatizo kubwa linalokufanya uwe na roho mbaya juu ya zzk.
Yaani -------- kama wewe unajifanya unauchungu na chama kuliko zzk????kwa lipi ulilofanya mpaka chama kikawa na nguvu nchi nzima,zaidi ya siasa za kipuuzi na wapuuzi wenzio arusha. Wewe na wajinga wenzio ndiyo ambao munakiua chama.
Yaani mijitu mingine munauzi sana,yaani wewe mjinga wakumuona zzk msaliti....halafu wewe ndiye mwenye uchungu na chama!!!!!
 
maneno yako makali wee, hiv kwel ajalala jela? Zana za kilimo.

Toa maneno ya kujenga chama,watu wako busy kushauriana wewe unasherehesha chorus!!!!
Nyie ndio mnapotosha chama,kila siku lugha za hovyo hapa leo inajitajika busara hapa sio ucheshi!!!
 
We lema ni MKOSEFU WA UPEO SANA,HUNA FIKRA,HUNA MAONO,HUNA VISION NA HUFAI HATA KUWA MFANO WA KIONGOZ NDAN NA NJE YA CHAMA,KWA UFUPI WE NI KIHIYO NA KANJANJA...


Sasa skia tunajua lengo lako ni nin na nani uliemkusudia katika hili bandiko lako,kwa ufupi umemlenga Zitto kabwe,

Yakupasa ujiamin basi,kama una allegations ambazo unahis zipo kwa watu fulani kwa chama chako ulikuwa una haja gani ya kuzileta JF??una hofu kitu gani kukusanya ushahid wako wote na tuhuma zako ukazipeleka kwenye ngaz za chama chako mukamujabibisha zitto kabwe??kuja hapa kwa maneno ya mafumbo na kuchenga chenga ni ishara tosha ya kutojiamin na kumuhofia zitto kabwe,

Hivi lema wewe umefanya nin cha maana ndan ya chama hiki cha kujifananisha na zitto kabwe??na kama unahis kuna usalit anaufanya kipi kinakuzuia kuufanyia kazi na kuusema kwa umma wa watanzani wakaufaham??

Hii ni kututhibitishia sasa siasa za chadema zimejaa udini(zitto ni muislam),,zimejaa ukabila (zitto sio mchaga),na zimejaa ukanda kwa kuwa (zitto sio mtu wa kaskazin??)unless otherwise uje na ushahid wa haya mauza uza yako ama sivyo underline hayo maneno yangu..

WEWE UKIACHIA MBALI ARUSHA NIAMBIE WAPI UNA USHAWISH KITAIFA,KICHAMA??

ZITTO NI MIONGON MWA WATU AMBAO WAMEKIPIGANIA HIKI CHAMA KWA KIAS KIKUBWA NA KUJENGA TASWIRA CHANYA KWA CHAMA DHIDI YA PROPAGANDA MBALI MBALI ZA MAFISADI NA WAHUJUMU DEMOKRASIA NDAN YA CHAMA HIKI,KIPI KINACHOKUSUKUMA WEWE KUJA HAPA HADHARANI KUMCHAFUA??

LENGO LIMEFAHAMIKA NA LIMEFELI TAYARI,ZITTO KABWE USIWE MPUUUZ KAMA HAWA JAMAA,USITOKEE KUJIBU CHOCHOTE DHIDI YAO,NI WAZI KWAMBA MAJI YAMEWAFIKA SHINGON HADI SASA WAMEANZA KUWEWESEKA,

TUNATAKA KUONA SASA,HIKI SI WANASEMA NI CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO??TUNATAKA SASA KUIONA DEMOKRASIA IKO WAPI??

KAMA NDAN YA CHAMA TUH WANASHINDWA KUHANDLE MADOGO KAMA HAYA WANAENDEKEZA UCHAWI NA MAJUNGU TUKIWAPA NCHI WATU HAWA MWISHO WAKE ITAKUAJE??

ZITTO KOMAA NAO WAJINGA WAJINGA NA WATU WASIO NA SHULE HAWA KAMA LEMA HADI KIELEWEKE,USIHOFU UMMA WA WATANZANIA UNAKUANGALIA KWA JICHO LA UHALISIA NA TUPO TUNATAKA KUSHUDIA MWISHO WA PICHA HILI NA UPI,

KOMAA NAO NDAN YA HIKO CHAMA HUKU UKISIMAMIA MISINGI YA CHAMA CHAKO,HAWA WAJINGA WAJINGA WAACHE WAJIDHARIRISHE NA KUJIPUUZISHA KAMA HIVI,,

LEMA KODI YA NCHI HII SISI NDIO TUNALIPA,HATA UFANYAJE HUNA HAKI YA KULALAMIKA UONGEZEWE POSHO,UONGEZEWE POSHO KWA KAZI GANI YA MAANA UNAYOIFANYA MJINGA WEWE??

THEN UNAJIITA ETI UNAPIGANIA MASLAHI YA WALALAHO,MASLAHI GANI??
 
Last edited by a moderator:
Ahaaaa, haa, Kamanda Lema umewatumia vijana wako weee umeamua uje mwenyewe mzimamzima, karibu sana. Jana imeongelewa sana hii makao makuu kwamba umeamua liwalo na liwe, utamvaa jamaa kwenye mitandao ikiwa ni maandalizi kuelekea kikao cha kamati kuu. Nilipuuza kumbe ni kweli umejipanga. Ni hivi:

i) Hakuna mtu mnafiki na msaliti kama wewe, hata kama hujijui kwamba wewe ni mnafiki. Ungekuwa sio mnafiki na zezeta hata issue ya mwigamba isingetugharimu kwa kiwango tunachokiona leo. Ungekuwa sio mpenda sifa issue ya Mwigamba ungeweza kuiwasilisha vizuri kwenye kikao chenu naye akaitwa na akachukuliwa hatua stahiki bila makelele. Lakini kwa unafiki na uzezeta wako uliona cha maana ni kupiga makelele kama vile umekamata mwizi na kuanza kurusha matofali na kukimbilia polisi bila kutafakari kwa makini athari zake za muda mrefu. Usingefanya hivi kwa sababu uwezo wako wa kufikiri ndio huo. Pole sana kamanda. Hatuna namna kwa sababu ndio watu tulionao itabidi tukuvumilie hivyohivyo ili tufike hiyo 2015.

ii) Kupenda kwako sifa ndio kunatuangamiza sana. Vurugu zote huku Arusha ni kwa sababu una wasiwasi na ubunge wako, kila mtu unayemuona anaweza akatamani ubunge unamzushia jambo. Tunajua next kwa Arusha ni Nanyaro, bahati nzuri huyu yupo smart sana na hutampata kwenye mitego yako ya kijinga. Na atagombea ubunge 2015 kwa ticket ya CDM na atakushinda kwenye kura za maoni-hilo unalijua vizuri sana. Mwenyekiti wetu (kama ataendelea) atajaribu sana kukuokoa ili upewe nafasi ya kugombea, lakini najua atagonga mwamba.

iii) Kwenye vikao huna hoja za kushawishi wajumbe. Umeshasema haya maneno kwenye kikao mara kibao lakini kila mara umeshindwa kuthibitisha juu ya hatari ya huyo unayemsema (sitomtaja hadi utakapothbutu kumtaja wewe mwenyewe). Na mara nyingi amekwambia utaondoka wewe kwanza kwenye CDM kabla yake kama ulivyoondoka NCCR na baadaye TLP. Mwenzako hajawahi kujiunga na chama chochote zaidi ya CDM. Wewe ulianzia CCM, ukaenda NCCR, TLP na kisha CDM. Na upo CDM kwa sababu ya ubunge, siku ukikosa ubunge utatimka tena.

iv) Nani asiyejua kwamba ulikuwa uuze ubunge kwa Lowasa lakini vijana wa Arusha wakakudhibiti hata kukutishia kukuua? Wewe unapenda hela kuliko chochote. Ndio maana huna aibu kung'ang'ania posho bungeni huku ukijua vizuri kwamba sera za chama zinakataza habari za posho ya kukaa. Nani msalti hapa? Mlimuingiza mkenge mwenyekiti wetu akarudisha gari kwa jazba. Siku mbili akakimbia na kupiga magoti kwa Katibu wa Bunge kuomba arudishiwe gari akilia kwamba ilikuwa siasa tu. Haya ni nani mnafiki na msaliti hapa? Mlikubaliana kususia posho, lakini mlikuwa wa kwanza kuzikimbilia na leo unapiga makelele kwa mdomo mkubwa muongezewe, nakuuliza ni nani mnafiki hapa? Au ulivyo kilaza hata maana ya neno mnafiki na msaliti hujui?

iii) Unajua vizuri sana taratibu za CDM za kushughulikia haya unayeyaongea, lakini kwa sababu upo dhaifu sana na huna uwezo wa kuwasilisha hoja kimantiki ikashawishi wajumbe ndio umeamua kuibukia huku baada ya kuona mabasha yako akina Ben wamekwama. Nawe utakwama tu kwa sababu ukweli siku zote hujulikana, kama ule wa kudanganya mambo ya katiba ulivyojulikana.

iv) Hata kama hujijui, ukweli ni kwamba wewe ni kikwazo kikubwa sana kwa watu makini kujiunga CDM. Hakuna mtu mwenye akili sawasawa anaweza kukuchukuliwa wewe kwa umakini wowote. Inashangaza kwamba mwenyekiti wetu alikuona wewe ndio mtu anayefaa kuwa waziri kivuli wa mambo ya ndani. Yaani wewe tukishinda 2015 ndio utapewa uwaziri wa mambo ya ndani?

Endelea kumwaga ----- wako, tutarudi na mengine kwa sababu tunakujua vizuri kuliko unavyojijua. Next ukiendelea nitatoa photocopy na kuscan nyaraka ya fedha ulizokopa chamani na ambazo hujarudisha hadi leo. Wewe endelea na ujinga wako wa kuchafua viongozi mitandaoni.

This is obviously personal attack from anonymous to the verified. We unaweza kuwa mwathirika wa the so called peeling back the mask!!
 
Chadema ni chama ambacho nilikuwa nakipenda sana..kuanzia viongozi mpaka itikadi ya chama.Lakini naona siasa za ukanda zimeshamiri sana,kuna watu ndani ya chadema wanajifanya wao ndiyo kila kitu. Ndugu sisi tunafahamu tangu zamani ya kwamba wewe unaogomvi binafsi na zitto,uogomvi huo umetoakana na roho yako mbaya na kupenda kufanya siasa za fujo amabazo kamana makini kama zitto hawezi kufanya.
Huu upumbavu ulioandika leo ni kumlenga zitto moja kwa moja,unapenda sana wewe uonekane wewe ni msafi kuliko wengine, na pia wewe ni mtu wa kujilimbikizia mali,,ndiyo maana kwenye kikao umeinuka na kuanza kumtusi zzk kwa madai kwamba yeye ndiye mpingaji mkuu wa ongezeko la mshahar4a wa kifisadi kwa wabunge. Wewe Lema ni -------- sana,hata ufanye nini hauwezi kumshusha zitto, huna uwezo hata kidogo wakuweza kumshusha zitto!!!kwanza tangu ufike bungeni hakuna hata jambi jema amabalo umewahi kusimamia kwa manufaa ya wananchi, mara zote vitu unavyosimamia wewe ni vitu vya kipuuzi, vitu amabavyo mwananchi wa kawaida havimgusi.Elimu yako ni ndogo ndiyo tatizo kubwa linalokufanya uwe na roho mbaya juu ya zzk.
Yaani -------- kama wewe unajifanya unauchungu na chama kuliko zzk????kwa lipi ulilofanya mpaka chama kikawa na nguvu nchi nzima,zaidi ya siasa za kipuuzi na wapuuzi wenzio arusha. Wewe na wajinga wenzio ndiyo ambao munakiua chama.
Yaani mijitu mingine munauzi sana,yaani wewe mjinga wakumuona zzk msaliti....halafu wewe ndiye mwenye uchungu na chama!!!!!
Bulls eye!
Kamanda umeinyuka bull!
 
uchaguzi wa mwandiga 2010 alimshinda mbunge wa ccm kwa kura 120 wakati lema alimuacha batilda kwa kura 35,000 utamlinganishaje huyo jamaa
hata moyoni mwako unajua kuwa zitto kamzidi mbali sana lema ila unajitoa fahamu!
 
This is obviously personal attack from anonymous to the verified. We unaweza kuwa mwathirika wa the so called peeling back the mask!!

Kwani nini sio personal humu???!!!!!

Hivi mkuu Mungi kuna kipindi mapenzi yako yanazidi uhalisia???!!!!

Be a man and face the reality!!!!
 
Mheshimiwa Lema,

Hakika mimi niseme maneno machache tu,

Kwamda wa miaka 8 niliyoanza kuhudumu katika siasa kali niseme wazi, kikwazo kikuu cha kuelekea mageuzi ya kweli katika nchi hii kupitia siasa za mageuzi ni Zitto Zuber Kabwe,

Narudia tena Zitto Zuber Kabwe ndie msaliti namba moja na ndie kiongozi wa migogoro yote kila itokeapo ndani ya Chadema,

Sisi tumemaliza kazi yetu sasa tumewaachia wafanyamamuzi,

Sasa mkimshindwa tutachukua jukumu la kihafidhina zaidi wenyewe



Wewe acha kuleta umaluun wako hapa,siasa zako ulizohudum ndan ya miaka 8 wapi??

Umehudumu wapi??JF au??

Who knows you??

Unajua wewe na mwenzako ben saa nane nadhan mtakuwa ni misukule wa Dr Slaa katika mishen yake ya kumchafua zitto na kumfanya aonekane kikwazo ndan ya chama??

KWAN SI MARA MOJA AU MARA MBILE MMETOKEA KIFUA MBELE BILA HAYA KUMCHAFUA ZITTO NA KUMUNNGA MKONO SLAA HATA PALE ANAPOPOTOKA,,

SASA MFIKISHIEN SALAM SLAA NA WAJINGA WAJINGA KAMA LEMA,KWAMBA WAO SIO CHOCHOTE SIO LOLOTE,WAO NI BIN ADAM KAMA WENGINE,NA WAO SIO PEKEE WENYE MAMLAKA YA KUPIGANA NA UFISADI NA KUIONDOA CCM MADARAKAN,WAPO WATU WENGI SANA WENYE MAONO NA UJASIRI DHIDI YAO,KWAIYO WASIINGIE NA KIBURI NA JEURI,

USHAURI KWAKO JASON BOURNE NA SAA NANE,ACHENI KUTUMIKA TUMIKA KAMA MIPIRA,KAMA MMEKOSA LA KUFANYA TAFUTEN KAZI,HUKU KUGANGA KWENU NJAAA SASA KUSHAFIKIA KIKOMO NA BIASHARA HII YA UTUMWA SISI TUTAIKOMESHA BILA KUJALI NANI ANAWAPA JEURI HIYO,

ZITTO CHADEMA NI KWAKE,HAKUNA HATA MWENYE UBAVU HAPO KATI YA SLAA WALA LEMA WA KUWEZA KUPIMANA NAE UBAVU??

HIVI KWANIN WATU KAMA LISU NA MNYIKA HATUWASKII WAKIWA NA MAONO YA KIJINGA KIJINGA KAMA HAYA??
 
Mheshimiwa Lema,

Hakika mimi niseme maneno machache tu,

Kwamda wa miaka 8 niliyoanza kuhudumu katika siasa kali niseme wazi, kikwazo kikuu cha kuelekea mageuzi ya kweli katika nchi hii kupitia siasa za mageuzi ni Zitto Zuber Kabwe,

Narudia tena Zitto Zuber Kabwe ndie msaliti namba moja na ndie kiongozi wa migogoro yote kila itokeapo ndani ya Chadema,

Sisi tumemaliza kazi yetu sasa tumewaachia wafanyamamuzi,

Sasa mkimshindwa tutachukua jukumu la kihafidhina zaidi wenyewe
maneno makali sana mkuu.
 
Hv lema toka aingie mjengoni amewasilisha hoja gani ya manufaa kwa tz? Leo vita yangu imehama toka kwa maccm imehamia kwa lema. Huyu kaja chadema juzi tu halafu anajiona ni bora kuliko wengne.
Lema saizi ya kina lusinde na serukamba.kwa zzk atasubiri
 
Mkuu Lema, pengine utusaidie kutupatia maana halisi ya 'Usaliti', 'Unafiki' na 'utu' kwa namna uelewavyo wewe.

Maneno haya kutoka kwako yananishangaza kidogo, kwa vigezo kuwa kwa yale unayofanya nawewe unaweza fuzu kuitewa Mnafiki na Msaliti asie na utu. Labda kama unatumia hii njia kujikosha baada ya wewe pia kutambua kuwa umeonyesha Usaliti mkubwa kwa Watanzania unaowawakilisha.

Lema inatakiwa uelewe haya;

Unatakiwa kujua kuwa hata kina KUBENEA wameshakuchoka, yeye si mmoja wa hao anaowasema? (Au woga ambao siku zote unashabikia ni sumu leo si sumu tena?), pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/547535-mh-lema-anaivuruga-chadema.html

Watanzania wengi washakushtukia, unakiruvuga chama kwa siasa zako za kishabiki na kitoto wenzetu wanaita 'armature' (an insult ukiichukulia undani wake) pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gwe-gavana-rahisi-kusababisha-mitafaruku.html

Inawezekana unawashambulia Shibuda na Zitto kwenye bandiko hili, vipi ni kwakuwa wewe Lema unapenda sana Posho hivyo umeamua liwalo na liwe? pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bungeni-zitto-lema-katika-vita-ya-maneno.html

Au unataka kusema hizi posho zinamaanisha Uzalendo na Utu kwa Taifa? (Are you serious??). Zitto alisha litabiri hili na kueleza wazi (hakutumia unafiki) kuwa Siasa za Posho zitasababisha mjenge chuki na mmwite majina yote mabaya! www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/299635-zitto-sijahongwa-ni-siasa-za-urais-na-hasira-za-posho.html

Au hii ndiyo step ya kwanza ya kufanya Zitto aondoke Chadema? Maana inajulikana wazi kuwa kuna mkakati wa kumkatisha tamaa Zitto aondoke CHADEMA mapema kabla mwaka haujaisha ili mpumue ndani ya chama cha watu wa Kaskazini (viongozi wa juu). Inaturudisha kule kule mnako kukataa siku zote (Udini/Ukabila).

Pole zako Lema, watanzania wa leo si mabwege!

sina kadi ya chadema but as educated Tanzanian exposed na siasa zetu namuunga mkono hoja Lema. lema as far as i know ni mwenye msimamo wa kavu kavu. bila kulemba. sasa inapotokea kwa nanachadema baadhi kutumia fursa ya haki ya kuzungumza na kutoa maoni nao kama viongozi wa chama wakatake middle ground and being neutral then hiyo ni kuuiua chadema. huu ni wakati wa kuwa na collective responsibility. huwezi ukawa unaua nyoka wakati huo huo unampa dawa na kumtibu majeraha yake. Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu. Akina Zitto hawafai coz ni wanafiki na they pursuing personal interests.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom