We lema ni MKOSEFU WA UPEO SANA,HUNA FIKRA,HUNA MAONO,HUNA VISION NA HUFAI HATA KUWA MFANO WA KIONGOZ NDAN NA NJE YA CHAMA,KWA UFUPI WE NI KIHIYO NA KANJANJA...
Sasa skia tunajua lengo lako ni nin na nani uliemkusudia katika hili bandiko lako,kwa ufupi umemlenga
Zitto kabwe,
Yakupasa ujiamin basi,kama una allegations ambazo unahis zipo kwa watu fulani kwa chama chako ulikuwa una haja gani ya kuzileta JF??una hofu kitu gani kukusanya ushahid wako wote na tuhuma zako ukazipeleka kwenye ngaz za chama chako mukamujabibisha zitto kabwe??kuja hapa kwa maneno ya mafumbo na kuchenga chenga ni ishara tosha ya kutojiamin na kumuhofia zitto kabwe,
Hivi lema wewe umefanya nin cha maana ndan ya chama hiki cha kujifananisha na zitto kabwe??na kama unahis kuna usalit anaufanya kipi kinakuzuia kuufanyia kazi na kuusema kwa umma wa watanzani wakaufaham??
Hii ni kututhibitishia sasa siasa za chadema zimejaa udini(zitto ni muislam),,zimejaa ukabila (zitto sio mchaga),na zimejaa ukanda kwa kuwa (zitto sio mtu wa kaskazin??)unless otherwise uje na ushahid wa haya mauza uza yako ama sivyo underline hayo maneno yangu..
WEWE UKIACHIA MBALI ARUSHA NIAMBIE WAPI UNA USHAWISH KITAIFA,KICHAMA??
ZITTO NI MIONGON MWA WATU AMBAO WAMEKIPIGANIA HIKI CHAMA KWA KIAS KIKUBWA NA KUJENGA TASWIRA CHANYA KWA CHAMA DHIDI YA PROPAGANDA MBALI MBALI ZA MAFISADI NA WAHUJUMU DEMOKRASIA NDAN YA CHAMA HIKI,KIPI KINACHOKUSUKUMA WEWE KUJA HAPA HADHARANI KUMCHAFUA??
LENGO LIMEFAHAMIKA NA LIMEFELI TAYARI,ZITTO KABWE USIWE MPUUUZ KAMA HAWA JAMAA,USITOKEE KUJIBU CHOCHOTE DHIDI YAO,NI WAZI KWAMBA MAJI YAMEWAFIKA SHINGON HADI SASA WAMEANZA KUWEWESEKA,
TUNATAKA KUONA SASA,HIKI SI WANASEMA NI CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO??TUNATAKA SASA KUIONA DEMOKRASIA IKO WAPI??
KAMA NDAN YA CHAMA TUH WANASHINDWA KUHANDLE MADOGO KAMA HAYA WANAENDEKEZA UCHAWI NA MAJUNGU TUKIWAPA NCHI WATU HAWA MWISHO WAKE ITAKUAJE??
ZITTO KOMAA NAO WAJINGA WAJINGA NA WATU WASIO NA SHULE HAWA KAMA LEMA HADI KIELEWEKE,USIHOFU UMMA WA WATANZANIA UNAKUANGALIA KWA JICHO LA UHALISIA NA TUPO TUNATAKA KUSHUDIA MWISHO WA PICHA HILI NA UPI,
KOMAA NAO NDAN YA HIKO CHAMA HUKU UKISIMAMIA MISINGI YA CHAMA CHAKO,HAWA WAJINGA WAJINGA WAACHE WAJIDHARIRISHE NA KUJIPUUZISHA KAMA HIVI,,
LEMA KODI YA NCHI HII SISI NDIO TUNALIPA,HATA UFANYAJE HUNA HAKI YA KULALAMIKA UONGEZEWE POSHO,UONGEZEWE POSHO KWA KAZI GANI YA MAANA UNAYOIFANYA MJINGA WEWE??
THEN UNAJIITA ETI UNAPIGANIA MASLAHI YA WALALAHO,MASLAHI GANI??