Usalama wa maji ya Chupa Uhai

Ni ya kisima mkuu na hawatumii teknolojia nzuri ya kuwaweka safi na salama. Maji ya Kilimanjaro ni ya Chemichemi na Ph inayohitajika kwa viwango vya kimataifa.

Ndo mana mkuu nilishaacha kuyanywa kitambo hafu yanachakachulika sana mifuniko ya maji hayako sealed vizuri na hyo chumvi hapana kwa kweli.
 
Haya ndiyo maji mnayonyeshwa mnakuja kulialia hapa kuwa ni maji ya azam hayana ubora
uchakachuaji%2Bmaji%2B1.jpg
 
Kwahiyo umeandika kikwenu hiyo heading sio au umekula cha arusha
Watu wamo kazini.
Niliwahi kusema humu kuna watu wanalipwa kuboost issues.

Namkumbusha mleta uzi kwamba Bakhressa mara ya mwanzo alivyoanza kuuza haya maji aliuza chupa kubwa sana kwa bei nafuu washindani wakalalamika sana,akawajibu kwamba mie siuzi maji nauza Chupa.Halafu aka set kidogo.

Mleta mada ukipewa pesa uambiwe na jinsi ya kuandika
 
Maji ya uhai hayana ubora wa kimataifa wa Ph 7.0, maji ya uhai yanaanzia 7.3 yale zamani na mapya yaliyokuja kipindi hiki na chupa za kuvutia yana Ph 7.9



pH above 7 ni nzuri kwa afya ya mwili, inapokuwa chini ya 7 inakua acidic ambayo inafanya mwili kuruhusu kushambuliwa na maradhi kirahisi. inapokua juu ya 7 yaani more alkaline inafanya mwili kua alkaline na kufanya kuwa vigumu kushambuliwa na maradhi ama vijidudu vya maradhi. kwahiyo uhai is even better for the fact above.

challenges allowed!!!!
 
Kama chemistry imepanda angalia composition % ya yale maji utajua kwann wanaojijua hawatumii.
Yale ni maji ya lowclass pipo.
Japo chemistry inasema water is tasteless bas yale yana radha ya chumvi, hata chupa yake ni ya lowest quality.
 
pH above 7 ni nzuri kwa afya ya mwili, inapokuwa chini ya 7 inakua acidic ambayo inafanya mwili kuruhusu kushambuliwa na maradhi kirahisi. inapokua juu ya 7 yaani more alkaline inafanya mwili kua alkaline na kufanya kuwa vigumu kushambuliwa na maradhi ama vijidudu vya maradhi. kwahiyo uhai is even better for the fact above.

challenges allowed!!!!

Wachache sana ndo watakuelewa hapa tatizo watu wanadhan PH ndogo ndo salama ni hatar kuliko mnavyodhan pH 7.9 ni salama kabisa tuacheni ushabiki usio na maana, embu tuwe tunafatilia vitu kabla yakuja kuropoka hapa.

Kingine watu wamekuwa wakiokota chupa za azam nakujaza maji yao so tuwe makini
 
Kama chemistry imepanda angalia composition % ya yale maji utajua kwann wanaojijua hawatumii.
Yale ni maji ya lowclass pipo.
Japo chemistry inasema water is tasteless bas yale yana radha ya chumvi, hata chupa yake ni ya lowest quality.

Heee....heee....heee! mmehangaika na Azam Tv, mara Azam Milk, mara Maboti yake, sasa maji !
Mnaacha ndugu zenu wanamalizika na Viroba ! .... ambalo sasa linaelekea kuwa janga la Kitaifa.
Angalia ndugu zako wanashindwa kulinda ndoa zao huko Rombo
 
Mbona mnakunywa vitu vingine vichungu lakini hamlalamiki? Viroba, bia, n.k hivyo vyote ni vinywaji vichungu na vina pH sijui ya 4 lakini bado mnavishangilia? Nasema sipendi ushambenga!
 
kama una familia basi familia yako imekula hasara maana huna tofauti yeyote na bata kakosa ustaharabu popote akijiskia anaharisha.

Nadhani sababu Mi ni MTU wa bata ndefu ambazo wewe huziwezi hata kwa dawa. Mi mtoto wangu wa chekechea anapiga Shule Aberdeen kwa Raha zake, we wa kwako Leo Ana miaka kumi na Tisa na hajui kusoma wala kuandika, namba pekee anayoijua vizuri ni sifuri kwa Kuwa kila siku ndio anayoimudu
 
Heee....heee....heee! mmehangaika na Azam Tv, mara Azam Milk, mara Maboti yake, sasa maji !
Mnaacha ndugu zenu wanamalizika na Viroba ! .... ambalo sasa linaelekea kuwa janga la Kitaifa.
Angalia ndugu zako wanashindwa kulinda ndoa zao huko Rombo

Hizi dini hizi! Ikikosolewa bidhaa ya mfanyabiashara mwislam, inakuwa ni uislam umekashifiwa, hivyo mashambulizi lazima yaelekezwe kwenye sehemu wanazodhani zina wakristo! Huu ni unanga wa hali ya juu!
 
Back
Top Bottom