Nadhani sababu Mi ni MTU wa bata ndefu ambazo wewe huziwezi hata kwa dawa. Mi mtoto wangu wa chekechea anapiga Shule Aberdeen kwa Raha zake, we wa kwako Leo Ana miaka kumi na Tisa na hajui kusoma wala kuandika, namba pekee anayoijua vizuri ni sifuri kwa Kuwa kila siku ndio anayoimudu
Haya maji hata sina hamu nayo kabisa!!nilinunua yale ya litre 12,kila nikinywa najiskia kichefu chefu,kichwa kinauma,moyo unaenda mbio,na najiskia kama kutapika,mwanzo nilidhani naumwa na nilipata tabu sana hadi nilipogundua hiyo hali ni kila ninapoyanywa hayo maji,wakati huo nimeshayanywa hadi nusu!ili maji yaitwe pure inabidi yawe na pH 7,zaidi ya hapo yanaanza kuwa na ladha ya alkaline.
Maji ya uhai yamezidi chumvi aisee hafu hayana ladha machungu na hayatoi kiu. Hebu wayarekebisha chumvi utafikiri ya kisima.
Nadhani sababu Mi ni MTU wa bata ndefu ambazo wewe huziwezi hata kwa dawa. Mi mtoto wangu wa chekechea anapiga Shule Aberdeen kwa Raha zake, we wa kwako Leo Ana miaka kumi na Tisa na hajui kusoma wala kuandika, namba pekee anayoijua vizuri ni sifuri kwa Kuwa kila siku ndio anayoimudu
Mkuu jamaa hapo alipo sema bata hajamanisha kwenda kula bata labla marekani anamaanisha ww ni bata maji aina ya kuku and not otherwise
Kwenye vikao vya kimataifa utakuta ya Kilimanjaro tu.
Hata baadhi ya watu wanayatumia Maji ya uhai kwa ajiliya Kuoga na si kunywa
Hivi mnaangaika na maji ya chupa kwani ya Dawasco yana nini?
ubora upi zaidi. Kama ni nembo ya tbs yanayo kama ilivyo kilimanjaro.
Ndio mkuu namaanisha ph hiyo nilikosea
Uchochez
ph ndo nini?
Au unamaanisha pH?
Watu wamo kazini.
Niliwahi kusema humu kuna watu wanalipwa kuboost issues.
Namkumbusha mleta uzi kwamba Bakhressa mara ya mwanzo alivyoanza kuuza haya maji aliuza chupa kubwa sana kwa bei nafuu washindani wakalalamika sana,akawajibu kwamba mie siuzi maji nauza Chupa.Halafu aka set kidogo.
Mleta mada ukipewa pesa uambiwe na jinsi ya kuandika
Haya maji hata sina hamu nayo kabisa!!nilinunua yale ya litre 12,kila nikinywa najiskia kichefu chefu,kichwa kinauma,moyo unaenda mbio,na najiskia kama kutapika,mwanzo nilidhani naumwa na nilipata tabu sana hadi nilipogundua hiyo hali ni kila ninapoyanywa hayo maji,wakati huo nimeshayanywa hadi nusu!ili maji yaitwe pure inabidi yawe na pH 7,zaidi ya hapo yanaanza kuwa na ladha ya alkaline.
Hivyo hivyo ...
Hili ndo nn