Usajili wa magari ya serikali umefikia “STN” kazi iendelee

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
Leo nikiwa town katika mishemishe nakuta chuma ya serikali imepaki. Kucheki namba ni STN.

Nikajiuliza si ni juzi tu hapa STM ilianza? Ndio imejaa kwa kasi hivyo!

Serikali yetu inamiliki magari mengi na sasa usajili umefikia “STN” hii ni kasi zaidi ya 5G

IMG_9817.jpeg
 
KIZIMKAZI ndio anachoweza YY.
Sukari kilo 4800
Umeme hakuna.
 
Back
Top Bottom