Usagaji sasa basi!

Usagaji sasa basi!

Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu

AAAAAAAAAAA kumbeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
wewe ni wakwendamotoni tu!

Wewe ni nani hadi umhukumu mwenzio?? Toka uzaliwe hadi leo ni mangapi umefanya mabaya labda zaidi ya haya na bado umesamehewa?Kumbuka upendo wa Mungu ni wa ajabu ndugu yangu, huyu ambae unamuona mdhambi sana basi Mungu anampenda sana na ndio maana kamuokoa!Konsolata mama big up kwa uamuzi huu na napingana na statement ya mchorazombie, wewe sio wa kwenda motoni!!!!
 
Inawezekana ukakutana na vishawishi vingi vitakavyokusukuma urudi ulikotoka ( kwamfano: ushawishi toka kwa waliokuwa wasagaji wenzako hasa waliofurahia huduma yako, fedha, na hata mazoea tu) ila jipe moyo na ongeza imani utafanikiwa. Kimsingi si wewe tu wako wengi wenye tabia "mbaya" si tu wasagaji, wala tigo, wezi, majambazi, wachawi na aina nyinginezo za dhambi, wote kwa pamoja tunahitaji toba na kumrudia Mungu wa Mbinguni. Tumuombe Roho Mtakatifu atuongezee imani na kutujaza hofu ya Mungu! Tusihukumiane kwakuwa sisi wote ni wenye dhambi, chamsingi tuombeane na kutiana moyo katika kuyaacha ya dunia hii na kumrudia Mungu!
 
Usagaji na ushoga ni sex fashion iliyochukua akili za watu wengi duniani,ila sio sababu ya kuuhalalisha na bora umeacha kufanya mambo yasiyo na maana na yenye laana ya milele,,,,,
 
Kwa kuwa umenena kwa kinywa chako na kujutia ndani ya moyo wako ni wazi umekata shauri kuachana na hii tabia mbaya na iliyokusononesha kwa muda mrefu.....Karibu tumlilie mungu ili upate ujasiri wa kupambana na vishawishi vya shetani kutaka kukurudisha nyuma.....Nimekupenda/Nakupenda sana Konsolatha.
 
Hongeara kwa kugundua makosa yako na kutubu mwenyewe!! MUNGU anakupenda na hapendi upotee zaidi ndo maana nakurudisha na shetani kashindwa!! karibu kwenye familia ya maadili ya jamii
 
Post ya kijinga kabisa

Heshimu mawazo ya mwenzako hasa kama hajavunja sheria yyt inayoongoza forum;kuona maandiko yako tu ndiyo bora dhidi ya wengine ni udikteta kaka!

Tuvumiliane na tusipende kusoma vitu vinavyotupendeza tu!
 
Heshimu mawazo ya mwenzako hasa kama hajavunja sheria yyt inayoongoza forum;kuona maandiko yako tu ndiyo bora dhidi ya wengine ni udikteta kaka!

Tuvumiliane na tusipende kusoma vitu vinavyotupendeza tu!

Lakin Janjaweed yuko sahihi eti unasema aweke Pic uone ukishaona halafu.......

na ye kazi yake ni kujipiga picha kila anapokuwa kwenye shughuli ya kudo!!!!!!!

DO You know how much it takes to write down and reveal the things you have been doing

Nakubaliana na Janjaweed post yako haikuwa na mantiki hata kidogo!!!!!!!!!!!!!
Konsolatha MI NAKUPONGEZA MWAYA.....
 
Last edited by a moderator:
Heshimu mawazo ya mwenzako hasa kama hajavunja sheria yyt inayoongoza forum;kuona maandiko yako tu ndiyo bora dhidi ya wengine ni udikteta kaka!

Tuvumiliane na tusipende kusoma vitu vinavyotupendeza tu!
it was a rubbish post. akitaka kuona wasagaji acheki online kwa muda wake. JF sio porn site
 
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu


Hapo ndio ninapotofautisha kabisa upeo wa mwanadamu na Mungu,..maake ningekuwa na maamlaka uji.nga kama huu wa usagaji na ulawiti kamwe nisinge toa msamaha....pamabfuuuuuuuuuuuuuuu_hell is a place you deserve
 
Lakin Janjaweed yuko sahihi eti unasema aweke Pic uone ukishaona halafu.......

na ye kazi yake ni kujipiga picha kila anapokuwa kwenye shughuli ya kudo!!!!!!!

DO You know how much it takes to write down and reveal the things you have been doing

Nakubaliana na Janjaweed post yako haikuwa na mantiki hata kidogo!!!!!!!!!!!!!
Konsolatha MI NAKUPONGEZA MWAYA.....

Thank you... Kwakweli inasikitisha sana, mtu anajaribu kuleta mada watu wachangie positively, yeye anaomba picture

And Malafyale si mgeni humu wala nini... sijui sasa hiyo picha alitaka imsaidie nini

He disappointed me there and sorry kama amechukia kwa comment yangu

thanks
 
Funguka labda unaweza kuwasaidia wengi wanaofanya hii shughuli ambayo inazidi kupata wapenzi wengi sana tena wengine wamo ndani ya ndoa.

Yeah mkinipa nafasi nitaelezea hapa JF jinsi nilivyo ingia huko na matatizo niliyo kutana nayo huko.
 
Conso me I cant wait for yor Stori maana ile siku nilikufatilia mwanzo mwisho.....

na baadhi ya watu hum uliwatuhum kuwa wana tabia kama yako na ulikuwa very confident

so I just want to Know the details....was It REALLY au ulikuwa wanogesha JUKWAA

kitu gani hasa kimekumotivate kuacha........

Siamini na wewe umeingizwa mkenge na Kons. Na ujanja wako wote umeshindwa kukonekt dots ukajua abc za huyu binadamu?

Wajanja tulishastuka siku nyingi sana. Kusoma hatujui ila picha na miandiko haitushindi.
 
Siamini na wewe umeingizwa mkenge na Kons. Na ujanja wako wote umeshindwa kukonekt dots ukajua abc za huyu binadamu?

Wajanja tulishastuka siku nyingi sana. Kusoma hatujui ila picha na miandiko haitushindi.

Siku hizi nimekua mgeni hapa....
Huyu ndo nani mzee tablet?
 
wewe ni wakwendamotoni tu!

acha kumpga biti wewe,Yesu alikuja kwa ajili ye2 sisi wakosefu.Mkumbuke sauli na umafia wake wa kuwaua wakristo lakini Mungu akamgeuza kuwa mponyaji wa watu!,neema ya Mungu i pa1 nawe dada Konsolatha km dhamira yako ni kuacha tabia hyo kwa dhati
 
Huyu ni mkoboaji kaka. Update ram yako unapitwa na mengi. Ana twin wake anaitwa Mpole sana

He he he...
Hivi bado mnatoa tu comments zenu kwa hii sredi...ngoja miye niendelee kutunza wino wa keyboard yangu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom