Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Embu weka ile link ya blog yako!
inaitwa mwanamkemwanamke lakin sidhani kama utaipata......
last time naangalia ilikuwa haifunguki
Embu weka ile link ya blog yako!
Wewe mtundu wewe, yani yote hayo unataka nifunguke tu, anyways nitaanza kufunguka muda si mrefu but honestlty nimeachana kabisa na mchezo huu wala sitakaa nifikirie kuurudia na nita washauri wadogo zangu ambao wanaingia kwenye mchezo huo kwa wingi waachane kabisa na mchezo huo coz madhara yake ya kiakili, kimwili na kiroho ni makubwa sana . NIKIPATA NDIO AROBAINI NITAFUNGUKA. STORI YANGU NI NDEFU SANA NA INAWAHUSISHA MAKUMI YA WASICHANA NA WANAWAKE NILIO WAHI KUWA NAO KATIKA MAHUSIANO HAYA
Stori ni ndefu sana, naombeni mnipe kama walau siku mbili au tatu hivi ila ninaweza jibu maswali yenu.
yehovah
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu
Yeah mkinipa nafasi nitaelezea hapa JF jinsi nilivyo ingia huko na matatizo niliyo kutana nayo huko.
mmmmmmh nitarudi