Stephen Shayo
Member
- Nov 13, 2012
- 55
- 11
Haujachelewa muda sahihi ni sasa,mi nakusalute sana,kama umeamua kufanya hivyo kutoka ndani
Najua hamna mwanadamu awezae kuacha maovu bila mungu kuingilia kati,cha zaidi tafuta msaada wa kiroho zaidi
maana hilo sio swala la kibinadamu,it is a spiritual matter and it should be handled spiritually tena mahali sahihi
MUNGU na akusaidie,
Najua hamna mwanadamu awezae kuacha maovu bila mungu kuingilia kati,cha zaidi tafuta msaada wa kiroho zaidi
maana hilo sio swala la kibinadamu,it is a spiritual matter and it should be handled spiritually tena mahali sahihi
MUNGU na akusaidie,