Usagaji sasa basi!

Usagaji sasa basi!

umechagua fungu jema KAMA "unamaanisha."
 
ok, hongera sana

lakini nadhani bila shaka ushuhuda wako kwa kirefu toka uliposhawishika ku-engage kwenye lesbianism, mapito yako, experience yako etc etc etc...... ndio hasa tunasubiri kwa hamu ii iwasaidie wengine.

jipange uje utoe ushuhuda bidada
 
mmmmh! gfsonwin huyu hatu enjoy kweli? mbona kama anacheka vile!

mimi sina shaka na yeye manake najua AJIONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO.
mimi na wewe hatuwez kushuhudia kweli iliyoko ndani yake zaid ya yeye aishuhudiavyo
 
dah! naumri wangu wote huwa nausikia usagaji tu huwa siamini kama ni kitu kina-exist. hivi wanapataga utam? anyway tuachane na hayo,funguka tujifunze
 
consulty my wife! shansarie, she can help you..

mmm mpenzi umenileta pabaya ila hamna tabu
Konsolatha kweli hongera kwa kubadilika kiukweli mi huwa niwalaumu hawa wasagaji na magei
kila mtu ana maisha yake na mungu pekee ndo anaweza kuhukumu ila kama umebadilika ubarikiwe sana kwa upande wa magonjwa ya zinaa ni vizuri ukatibiwa na uhakikishe marafiki wanaokuzunguka wengi si ma gay la sivyo utarudi hukohuko

NB*kwa msaada zaidi malipo yanaitajika hamna bure siku hizi
 
Stori ni ndefu sana, naombeni mnipe kama walau siku mbili au tatu hivi ila ninaweza jibu maswali yenu.
 
hongera dada kwa kujitambua tunaamini kupitia wewe wengi walio kwenye hako kamchezo wataacha
 
what a change of heart!! leta ushuhuda bidada. i checked and the blog is removed, so nashawishika kukuamini u mkweli.
 
hongera shogaa kwa kuokoka........hebu tuambie ilianzaanzaje.......?
 
Hii ni habari njema!
Kwa kuwa maamuzi umeyafanya wewe, basi uwe na msimamo na moyo wa kushinda majaribu!
Pata tiba ya magonjwa ya zinaa, pata ushauri wa kisaikolojia - jichanganye humu jf, na pia katika shughuli zako za kukupatia kipato!

Pia uje utupatie kwa kirefu experince yako, maana utasaidia kuokoa wengi!

Cc Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
we unataka tu kuwashawishi dada zetu hapa unaonekana hujaacha kabisa tabia hiyo kama ungekuwa umeacha usingesita kueleza vizuri......kina dada mkimbieni huyu.
 
Hii ni habari njema!
Kwa kuwa maamuzi umeyafanya wewe, basi uwe na msimamo na moyo wa kushinda majaribu!
Pata tiba ya magonjwa ya zinaa, pata ushauri wa kisaikolojia - jichanganye humu jf, na pia katika shughuli zako za kukupatia kipato!

Pia uje utupatie kwa kirefu experince yako, maana utasaidia kuokoa wengi!

Cc Heaven on earth

Wii hivi nilikuwa wapi hadi habar ya Conso imenipitia pembeni........

I can see sa hizi utakuwa umelala wii wangu..............
Konsolatha hongera jamaniii ni uamuzi mzuri sanaaa....tungependa kusikia mengi toka kwako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom