Ni wazo zuri la kibiashara ana huenda labda pia umeshauriwa kibiashara. (Maamuzi yote yapo kwako)
Nadhani idea ingekuwa hivi, kwa kuanzia na hawa WanaJF ungeshare kile ambacho unaona kitatusaidia pamoja na familia zetu, Then kwa wale wengi wasiofikia hizi social networks, njia nyinginezo kama za CD na Filamu zitumike. naamini na sisi kama wadau wa jamii bora tutasupport hio kazi.
Ningependa kujua namna ulivyoingia, namna unavyopata wadada wengine, ushawishi unaotumika (ni kuhonga au kuna wadada wengi nao wanahitaji hii huduma, madhara uliyaexperience, mtandao wa hii huduma ukoje, ilikuwa kuwaje ukafikiria kuacha, ulishawishiwa na wengine uache au uliamua mwenyewe, na kwa nini uamue sasa etc. majibu kwa maswali kama haya na mengine yanatusaidia namna bora ya ku-deal na vyanzo vy haya makitu na kuwasaidia wadogo zetu kuepukana na haya.
Blessings!