Usagaji sasa basi!

Usagaji sasa basi!

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,300
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu

Update...

Habari zenu wana jamvi, baada ya kushauriana na wadau kadhaa hapa JF kupitia pm, nimeamua kuyaweka maisha yangu ya upotofu kwenye kitabu, CD ya mazungumzo na filamu....Bado nipo katika mazungumzo na wadau hawa wa vitabu na filamu na tutakapo kuwa tumefikia makubaliano basi nitawafahamisha ni lini kila kitu kitakuwa tayari. Stori yangu ni ndefu sana na inawahusisha wanawake wengi so kuweka hapa JF itanichukulia muda mrefu sana ..Mnaweza kutoa ushauri wenu pia. Asanteni na siku njema.
 
Haa...kwanza pole ila usilaumu usagaji kwa sababu hayo ni matokeo tu hata ungesex na mwanaume kama angekua affected nawe ungeathirika..muhimu ni uwe tu makini
 
Konsolatha Mungu wetu ni Mungu wa huruma na rehema na huwa nasamehe mtu akitubu kwa kumaanisha kuacha.
Umechagua fungu jema sana na kwakua umeamua kuacha endelea kumwomba Mungu akukuze zaid kiimani na hubiri kwa wengine ili nao kwa wakati wao wamrudie Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Konsolatha Mungu wetu ni Mungu wa huruma na rehema na huwa nasamehe mtu akitubu kwa kumaanisha kuacha.
Umechagua fungu jema sana na kwakua umeamua kuacha endelea kumwomba Mungu akukuze zaid kiimani na hubiri kwa wengine ili nao kwa wakati wao wamrudie Mungu.

Yeah mkinipa nafasi nitaelezea hapa JF jinsi nilivyo ingia huko na matatizo niliyo kutana nayo huko.
 
hongera, ila hudhuria msaada wa kisaikolojia pia: si rahisi kivile kuacha ulozoea.
 
Haa...kwanza pole ila usilaumu usagaji kwa sababu hayo ni matokeo tu hata ungesex na mwanaume kama angekua affected nawe ungeathirika..muhimu ni uwe tu makini
mh! kwa hiyo unashauri niendelee kucheza kachiri.
 
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu

mmmh si wewe juzi kati ulikuwa unatetea hiyo laana? ukiwaalika watu kwenye blog yako? kwanza tupe ushuhuda umemrudiaje Mungu? usije kuwa umekuja kwa staili hii ili uwameze dada wa watu! Mtume Paulo akiitwa Sauli alikuwa akilitesa kanisa na kuuwa waliokuwa wamemwamini Yesu ila siku ya siku Yesu akamtokea wengi mwayajua maandiko haya, ingawa hata baada ya kubadilika watu walikuwa wanamwogopa kwa matendo yake ya nyuma yeye akawaeleza jinsi Yesu alivyomtokea watu wakaamini. Tupe ushuhuda wako!
 
Yeah mkinipa nafasi nitaelezea hapa JF jinsi nilivyo ingia huko na matatizo niliyo kutana nayo huko.

ni vyema ukautumia ushuhuda wako kuwafunza wengine, pengine wewe ndio ubao kwa wengine.
once again hongera sana na ni busara sana kuwa kijana mwema kwa familia, kanisa/mskiti na taifa pia.
 
Yeah mkinipa nafasi nitaelezea hapa JF jinsi nilivyo ingia huko na matatizo niliyo kutana nayo huko.

Nafasi ni yako mama,funguka funguka ili mama zetu,dada zetu,shangazi zetu na hata watoto wetu wafahamu,nasi pia tufahamu ili tuweze kuwalinda..pole sana,ila muombe sana Mungu,akujalia nguvu na imani katika kipindi hichi kigumu!
 
Hongera sana kwa kumrudia Mungu. Ni Mungu yupi sasa uliyemrudia? Jehova au mwingine? Ubarikiwe!
 
mmmh si wewe juzi kati ulikuwa unatetea hiyo laana? ukiwaalika watu kwenye blog yako? kwanza tupe ushuhuda umemrudiaje Mungu? usije kuwa umekuja kwa staili hii ili uwameze dada wa watu! Mtume Paulo akiitwa Sauli alikuwa akilitesa kanisa na kuuwa waliokuwa wamemwamini Yesu ila siku ya siku Yesu akamtokea wengi mwayajua maandiko haya, ingawa hata baada ya kubadilika watu walikuwa wanamwogopa kwa matendo yake ya nyuma yeye akawaeleza jinsi Yesu alivyomtokea watu wakaamini. Tupe ushuhuda wako!

nadhan si vyema kumtuhumu kwa yale ambayo amesha tubu na kuyaacha. wala hatupaswi kuwa na hofu juu ya toba yake kwasababu sisi si wasimamizi wa imani yake ingawa tu washiriki wa furaha yake pale anapoamini.

kuhusu kushuhudia amesema akipewa nafasi hapa jamvini atashuhudia.
 
mmmh si wewe juzi kati ulikuwa unatetea hiyo laana? ukiwaalika watu kwenye blog yako? kwanza tupe ushuhuda umemrudiaje Mungu? usije kuwa umekuja kwa staili hii ili uwameze dada wa watu! Mtume Paulo akiitwa Sauli alikuwa akilitesa kanisa na kuuwa waliokuwa wamemwamini Yesu ila siku ya siku Yesu akamtokea wengi mwayajua maandiko haya, ingawa hata baada ya kubadilika watu walikuwa wanamwogopa kwa matendo yake ya nyuma yeye akawaeleza jinsi Yesu alivyomtokea watu wakaamini. Tupe ushuhuda wako!
Wewe mtundu wewe, yani yote hayo unataka nifunguke tu, anyways nitaanza kufunguka muda si mrefu but honestlty nimeachana kabisa na mchezo huu wala sitakaa nifikirie kuurudia na nita washauri wadogo zangu ambao wanaingia kwenye mchezo huo kwa wingi waachane kabisa na mchezo huo coz madhara yake ya kiakili, kimwili na kiroho ni makubwa sana . NIKIPATA NDIO AROBAINI NITAFUNGUKA. STORI YANGU NI NDEFU SANA NA INAWAHUSISHA MAKUMI YA WASICHANA NA WANAWAKE NILIO WAHI KUWA NAO KATIKA MAHUSIANO HAYA
 
nadhan si vyema kumtuhumu kwa yale ambayo amesha tubu na kuyaacha. wala hatupaswi kuwa na hofu juu ya toba yake kwasababu sisi si wasimamizi wa imani yake ingawa tu washiriki wa furaha yake pale anapoamini.

kuhusu kushuhudia amesema akipewa nafasi hapa jamvini atashuhudia.

sijamtuhumu mkuu nimeweka vile ili watu tukumbuke alivyokuwa anatetea ili akitoa ushuhuda wake wadau tukumbuke. Mm nipo pamoja nawe na ni mkereketwa wa tabia njema
 
nadhani hilo la kushuhudia ndio la muhimu sababu siku sio nyingi aliutetea kwa nguvu zote na akashawishi wengne wajiunge nae..dada utueleze wale ulowashawishi mmefikia wapi na pia utatumia mbinu gani kuwarudishia uhalisia wao vinginevyo toba ya kweli ndio suluhisho la sivyo laana ya Mungu itakuandama milele.
 
Bora umeliona hilo japo umechelewa saana. jitahidi umche mungu wako. Tenda mema na usirudie tena. Na mungu akubariki. Amen.
 
Wewe mtundu wewe, yani yote hayo unataka nifunguke tu, anyways nitaanza kufunguka muda si mrefu but honestlty nimeachana kabisa na mchezo huu wala sitakaa nifikirie kuurudia na nita washauri wadogo zangu ambao wanaingia kwenye mchezo huo kwa wingi waachane kabisa na mchezo huo coz madhara yake ya kiakili, kimwili na kiroho ni makubwa sana . NIKIPATA NDIO AROBAINI NITAFUNGUKA. STORI YANGU NI NDEFU SANA NA INAWAHUSISHA MAKUMI YA WASICHANA NA WANAWAKE NILIO WAHI KUWA NAO KATIKA MAHUSIANO HAYA

mmmmh! gfsonwin huyu hatu enjoy kweli? mbona kama anacheka vile!
 
Funguka ilitujue wapi uliteleza, tukushauri usije teleza tena na kurudi huko. Kujiapiza peke yake aitoshi.
 
Back
Top Bottom