linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,701
- 4,325
Kwa hiyo agizo limeshaanza kutekelezwa?? Huu unapaswa kuwa mpango wa muda. Wataalamu waje na mpango wa kudumu ambao utaendana na hali ya maendelea ya kiteknolojia na kiuchumi duniani.tuko hapa Nzega askari wametuzuia sababu eti gari inakimbia sana, so tunasubiri kesho tuendelee na safari kuelekea Bukoba. kwa sasa ni kujiachia tu, hakuna namna