Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

Bora serikali ihamie Dodoma ili mabasi yawe yanaishia Dom maana huko dar watu wengi hufuata ofisi za serikali ...ongera magufuri
 
Kuna basi linaitwa Arusha Express safari ya Mbeya Arusha ni siku moja linakimbia balaa
 
Napiga picha ndani ya New force Dar kwenda Mbeya pembeni yangu nimekaa na kichuna kizuriii halafu tunafika ilula ambapo me naamini ndio nusu safari tunaambiwa basi linalala,nakuhakikishia hii mambo ya mabasi kulala itakuja kuleta mabalaa mengine ya kuvunja mahusiano ya watu au ndoa Zisizo rasmi....Nimewaza kwa sauti tu
Juzi nimepanda new force tena, yani sijui sina bahati maana kila nikipanda nakaa na madingi tu aaargh! Af ngoma ilikuwa ya Dar-Tunduma imagine Mbeya tumeingia saa 3 usiku.
 
Time is money. Nahis ni kupoteza muda, wazo sio baya lakin tukiri tumekosa njia nyingine za kuzuia ajali. Yaani unaacha kukimbia kuwahi kufika na kuanza kutembea kwa kuhofia kuanguka badala ya kufanya jitihada za kujizuia kuanguka. While others are running very fast without accident, still we want to walk slowly to avoid accident.
 
Upuuzi, barabara ziwe njia Tatu au nne waone kama ajali zitakuepo
hili wazo ndio haswaa lifanyiwe kazi, waweke two-by-two ways wakitenganisaha zinazokwenda na kurudi kwa ngema ya katikati yenye mataa kama ile njia ya ubungo-mwenge au ubungo-buguruni waone kama kuna ajali ya basi itatokea hata gari zikiwa full throttle! Nina hakika ajali zitakuwa ni za ubovu wa gari lenyewe tu aidha pancha au lifeli kupanda mlima na breki.
Sijaona mantiki ya kwenda Dar-Mbeya au Dar- Songea siku mbili kama zama za super mbaula ilihali teknolojia imekuwa na maisha yanatakiwa yazidi kuwa marahisi na sio sisi kuyaongezea complication bila sababu! Yutong, Higher, Zhongtong Bus...Engine kubwa + body za carbon fiber af bado tutumie siku mbili kusafiri???
 
Hapa wakuumia zaidi ni sisi abiria mana mwenye Gari hawezi kubali Gari yake itembee siku 2 kwa nauli ileile na vilevile dereva nae hawezi kubali kulipwa ujira uleule kwa kuendesha Gari siku 2 na kumbukeni madereva wengi hawana mikataba hivyo wanalipwa kwa kila safari moja waendayo..mi naona serikali wakae meza moja na wamiliki wa vyombo hivi walijadili hili suala kwa upana zaidi na si kwa kukomoana
 
SOLUTION NIKUWA NA 2 WAYS MOJA YAKUPANDISHA NYINGINE YAKUSHUKA HAPO AJARI ZITAKWISHA NA HAKUNA OVERTAKE TENA
 
Juzi nimepanda new force tena, yani sijui sina bahati maana kila nikipanda nakaa na madingi tu aaargh! Af ngoma ilikuwa ya Dar-Tunduma imagine Mbeya tumeingia saa 3 usiku.
Uwe unafanya figisu unaitisha chart kwa konda unamulika names pale inakuwa kama bahaatisha konda akiwa mjanja unamuuliza hiki ni kichwa au kibibi ukiona miyeyusho unachagua siti nyingine
 
Kuna watu ni Vila.za sijapata kuona eti time is money... Na uhai wako ni nini, ifike muda tuongee mambo kiuhalisia na sio kutuletea mifano ya USA na MALAYSIA ambayo kimsingi haina uhusiano wowote kwenye changamoto ya usafiri Tanzania.. Naunga mkono hoja maisha na uhai Wa mtanzania una thamani kubwa kuliko huo muda mnaoutaka
 
Basi hata simu za mikinoni ni kero kwako watu wakigundua kitu kitumie .magari yamekuja ya speed hiyo yatumie.Nakuona wewe kama mnufaikaji wa katazo ili.Maisha ya binadamu yanatengenezwa na Muunba na anawapa akili binadamu wamsaidie.wewe zaidi ya kuandika fyongo na kucritisize kazi za wenzako umeishafanya nini duniani.
 
Sie wa Bukoba tulishazoea kitambo sana tokea japokuwa sijui kama ukuta utapenda na kuunga mkono make ukuta huu ni zaidi ya dagaa
 
Hii serikali Ni ya kipuuzi sijapata ona. Lengo la transportation Ni kufikisha abiria na mizigo on time. Sasa huu upuuzi WA Sumatra SI bora tupande punda Tu.
 
Hii serikali Ni ya kipuuzi sijapata ona. Lengo la transportation Ni kufikisha abiria na mizigo on time. Sasa huu upuuzi WA Sumatra SI bora tupande punda Tu.
We angalia zile barabara za mkoloni zilizokuwa na kona nyingi wao wameziendeleza hivyo hivyo, badala ya kunyoosha hizo kona, ndio utajua tuna viongozi vilaza, badala ya kusonga mbele ss tunarudi nyuma, tutaisoma namba kwa kweli. Kama ni ajali hata safari ya DAR - arusha mbona zipo tu.
 
Back
Top Bottom