Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

vyanzo vya ajali Tanzania ni kama ifuatavyo
1) mwendo kasi
2)ubovu wa barabara
nazungumzia mashimo alama za barabaran sehem nying kukosekana na sehemu nying kuwa na kona kali
3)ulevi wa madreva pamoja na uchovu kwani kuna mabasi ya Route ndefu ila yana dereva mmoja
4) rushwa kwa maaskari wa barabara hawa nao wanapenda Mno pesa ya kubrash viatu
5) ushabiki wa abiria wenyewe
6) uchakavu wa vyombo vyenyewe
7) ujazaji wa abiria kupita kiasi

ukiangalia hayo yooote hapo juu utaweza pata solutions ya tatizo la ajali hapa Tanzania. kwa solutions hii tumeamua _kutibu tatizo kwa kutengeneza tatizo_
ntarudi kushauri nin cha kufanya ngoja niendelee kufanya economic analysis impact kwa taifa
Mda ni pesa, ukiniliza njian wakati sku hiyo hiyo ningefanya cha maana, hapa ni mabasi yawe na madereva wawil au watatu. Na wawe under control ya polisi.
 
duhh na je kwa magari madogo? maana mimi Dar - mbeya huwa naondoka saa 9 alafajiri saa 10 tu niko mbeya tena mwendo wa kawaida kabisa. Dar- Musoma nako huondoka saa 9 alafajiri Musoma saa 10 ama 11 nishafika kwa mwendo wa kawaida. sasa Dar Musoma sasa siku 2 ama 3 duhh!! I think muda wa kuondoka uwe saa 10 alafajiri ama saa 11. hapo dar mbeya saa 3 tu wamefika. The same na mwanza.
Pili pamoja na kutengeneza reli nina ushauri ufuatao
1. barabara zote zinaunganisha mikoa zijengwe two way highway ( kama ubungo- kimara) Ina maana Dar - Moro- iringa-
ROUTES no 1 Dar- Kibiti-Lindi- Mtwara ( Njia mbili)

Route No 2 Dar - Kibaha- Chalize- Morogoro ( THREE way Highway- Njia Tatu kila upande)
Route no 3 Morogoro- iringa- makambako ( Two way)
Route no 4 Makamabako - Njombe- Songea - (Two way)
Route no 5 Mtwara- Songea- Two way
Route no 6 Morogoro- Dodoma- Singida- nzega- Tinde ( two way)
Route no 7 Tinde - Khama- Nyakanazi- Ngara- Rsumo ( Two way)
Route no 8 Tinde- Shinyanga- Mwanza ( Two way)
Route no 9 Mwanza- Musoma ( Two way)
Route no 10 Mwanza- Geita- Bukoba ( Two way)
Route no 11 Manyoni Tabora- Kigoma ( Two way)
Route no 12 Dodoma - Iringa - Two way
Route no 13 Makambako - Mbeya- sumbawanga- Mapanda - Kigoma ( Two way)
Route no 14 Singida - Babati - Arusha ( Two way)
Route no 15 Musoma - Arusha - Two way
Route 16 Chalinze - segera- Moshi- arusha- Two way
Route no 17 Tanga - Segera - Two way
Route no 18 Dodoma - Babati - Two way
Route 19 Bagamoyo - Msata- Two way
Route 20 Tabora - Mpanda - Two way

2. kudhibiti madereva
madereva watakaoruhusiwa kuendesha mabasi ya safari - Umri - 35- 55. chini ya hapo na juu ya hapo hapana.

3. kudhibiti ubora wa mabasi
Mabasi yawe yanakaguliwa kila miezi mitatu na kupata kibali cha kuwa barabarani. na yakaguliwe na watalaam wa magari makubwa- Kuanzia board, mitambo na break. na basi lisiruhusiwe kwenda safari za mbali kwa miaka 5 mfululizo.

Tuondokane na Biashara ya kupishana kwa barabara kubwa - Highway
mabasi yasafiri ucku- usalama uimarishwe tu - kusiwe na risk ya kutekana njiani.

ni maamuzi magumu!! lakini.
 
Hewala, naona serikali inachukua hatua njema ili kunusuru maisha ya watu wake, hongera kwa mamlaka husika, Mungu akue nao pamoja
 
So ikiwa 2 days to Mwanza halafu ajali zikaendelea wataongeza ziwe 3 au 4? Wagonjwa watafia kwenye mabasi kwa uchovu na upotevu wa muda
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Waliozoea kusafiri kwa mabasi kwa siku moja kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya na kutoka Dar es salaam kwenda Mwanza na kwingineko kwenye umbali sawa na huo.

Sasa inabidi wajipange kisaikolojia kutumia siku mbili kukamilisha safari hizo.
Hayo yamebainishwa na Meneja Usalama Barabarani na Mazingira wa SUMATRA, Geofrey Silanda.

Uamuzi huo umetokana na utafiti uliofanywa na mamlaka hiyo na kubaini kwamba mabasi yanayofanya safari kwenye mikoa hiyo hayapaswi kusafiri kwa siku moja.

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
wazo zuri sana naunga mkono hoja....nchi za wenzetu walishaacha kusafir umbali mkubwa kiasi hicho kwa basi.....kama unaharaka panda ndege pumbavu
 
duhh na je kwa magari madogo? maana mimi Dar - mbeya huwa naondoka saa 9 alafajiri saa 10 tu niko mbeya tena mwendo wa kawaida kabisa. Dar- Musoma nako huondoka saa 9 alafajiri Musoma saa 10 ama 11 nishafika kwa mwendo wa kawaida. sasa Dar Musoma sasa siku 2 ama 3 duhh!! I think muda wa kuondoka uwe saa 10 alafajiri ama saa 11. hapo dar mbeya saa 3 tu wamefika. The same na mwanza.
Pili pamoja na kutengeneza reli nina ushauri ufuatao
1. barabara zote zinaunganisha mikoa zijengwe two way highway ( kama ubungo- kimara) Ina maana Dar - Moro- iringa-
ROUTES no 1 Dar- Kibiti-Lindi- Mtwara ( Njia mbili)

Route No 2 Dar - Kibaha- Chalize- Morogoro ( THREE way Highway- Njia Tatu kila upande)
Route no 3 Morogoro- iringa- makambako ( Two way)
Route no 4 Makamabako - Njombe- Songea - (Two way)
Route no 5 Mtwara- Songea- Two way
Route no 6 Morogoro- Dodoma- Singida- nzega- Tinde ( two way)
Route no 7 Tinde - Khama- Nyakanazi- Ngara- Rsumo ( Two way)
Route no 8 Tinde- Shinyanga- Mwanza ( Two way)
Route no 9 Mwanza- Musoma ( Two way)
Route no 10 Mwanza- Geita- Bukoba ( Two way)
Route no 11 Manyoni Tabora- Kigoma ( Two way)
Route no 12 Dodoma - Iringa - Two way
Route no 13 Makambako - Mbeya- sumbawanga- Mapanda - Kigoma ( Two way)
Route no 14 Singida - Babati - Arusha ( Two way)
Route no 15 Musoma - Arusha - Two way
Route 16 Chalinze - segera- Moshi- arusha- Two way
Route no 17 Tanga - Segera - Two way
Route no 18 Dodoma - Babati - Two way
Route 19 Bagamoyo - Msata- Two way
Route 20 Tabora - Mpanda - Two way

2. kudhibiti madereva
madereva watakaoruhusiwa kuendesha mabasi ya safari - Umri - 35- 55. chini ya hapo na juu ya hapo hapana.

3. kudhibiti ubora wa mabasi
Mabasi yawe yanakaguliwa kila miezi mitatu na kupata kibali cha kuwa barabarani. na yakaguliwe na watalaam wa magari makubwa- Kuanzia board, mitambo na break. na basi lisiruhusiwe kwenda safari za mbali kwa miaka 5 mfululizo.

Tuondokane na Biashara ya kupishana kwa barabara kubwa - Highway
mabasi yasafiri ucku- usalama uimarishwe tu - kusiwe na risk ya kutekana njiani.

ni maamuzi magumu!! lakini.
tumia ndege kama unaharaka mzee
 
Mda ni pesa, ukiniliza njian wakati sku hiyo hiyo ningefanya cha maana, hapa ni mabasi yawe na madereva wawil au watatu. Na wawe under control ya polisi.
tumia ndege kama unaharaka mzee, tembea nchi za watu ujionee...mabasi kutembea umbali mrefu hivyo its old fashion
 
tumia ndege kama unaharaka mzee
mkuu si kila wakati wataka kupanda ndege some times unahitaji kuona uumbaji wa mungu kwa kutumia barabara. na believe it hizo njia zote nilizoandika hapo nimepita!!
 
Kwa hili nitabadili aina ya usafiri bora niokoe muda kuliko kupoteza muda kwa kuogopa kughalimika
 
Badala ya kuboresha miundo mbinu ya barabara wao wameng'ang'ana na speed limit

Na wao wanapaswa kusafiri humo pia, na kama wanatumia magari ya serikali kwenye safari zao itapendeza na wao wakienda kwa speed hiyohiyo kwakuwa ajali si zile za kuanguka au kugongana kwa mabasi tu, ni pamoja na magari kuwagonga waenda kwa miguu na wengineo
 
Tatizo siyo speed! Gari inaweza kutembea hata 10k/h kama dereva ni mzembe ni mzembe tu
 
Hayo ni mawazo yako. Ilitakiwa waangalie uwezekano wa kuboresha barabara ili watu watumie masaa sita kwenda mbeya kwa usafiri wa gari. Hii dunia inasonga mbele wala hairudi nyuma. Mtaishia kuwa watumwa milele kwa kukosa maarifa na fikra
umeongea pointi mkuu,
 
Sidhani kuwa huo utafiti umezingatia vigezo gani..Hapa majibu hatuwezi kuwa nayo bila kusoma huo utafiti na vigezo vya kufikia hayo maamuzi.Ila Dar- Mbeya ni jirani sana,kutumia siku mbili ni upotevu wa muda tu.

Dar to Mbeya ni karibu km 900 tu ukiweka mda wa kupumzika kama saa 1 na gari itembee km80/saa basi gari hilo litatumia saa 12 au 13 kufika Mbeya au Dar.Sasa likiondoka saa 12 asbh ni kwamba saa 1 jioni hadi saa 2 usiku litakuwa Mbeya au Dar sasa kwanini zitumike siku mbili wakati muda wa mwisho basi kutembea barabarani ni saa sita usiku.
Ndugu ukifika na basi lako Makambako saa 4:00 huvuki kwenda Mbeya unalazwa hapo, labda kama check points wana muda tofautitofauti
 
Last month nimetoka mwanza to mbeya nimetumia siku 2,na bado kidogo tupate ajali ifunda iringa kwa uchovu wa dereva tumelala makambako plus matumizi mengine ,biashara zangu zilidoda kweli.

.
 
Back
Top Bottom