John Cannor
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,464
- 1,824
Miaka hamsini na ushee ajali bado zinatamalaki, hivi vichwa au matope?Poa tu kinacho mata nikweli wadhibiti ajali basi
Miaka hamsini na ushee ajali bado zinatamalaki, hivi vichwa au matope?Poa tu kinacho mata nikweli wadhibiti ajali basi
vyanzo vya ajali Tanzania ni kama ifuatavyo
1) mwendo kasi
2)ubovu wa barabara
nazungumzia mashimo alama za barabaran sehem nying kukosekana na sehemu nying kuwa na kona kali
3)ulevi wa madreva pamoja na uchovu kwani kuna mabasi ya Route ndefu ila yana dereva mmoja
4) rushwa kwa maaskari wa barabara hawa nao wanapenda Mno pesa ya kubrash viatu
5) ushabiki wa abiria wenyewe
6) uchakavu wa vyombo vyenyewe
7) ujazaji wa abiria kupita kiasi
ukiangalia hayo yooote hapo juu utaweza pata solutions ya tatizo la ajali hapa Tanzania. kwa solutions hii tumeamua _kutibu tatizo kwa kutengeneza tatizo_
ntarudi kushauri nin cha kufanya ngoja niendelee kufanya economic analysis impact kwa taifa
Mkuu ulihis wife kashukia moro kwa mchepuko nn then akaendelea na safar?Ndio maana jana nimeshangaa nimemsafilisha wife toka dom kwenda dar yaani toka saa nne asubuhi wameingia dar saa moja na nusu usiku
Yaani ni vile tu kachoka kaenda kujifungua! Ingekuwa sivyo ningehisi mengine!Mkuu ulihis wife kashukia moro kwa mchepuko nn then akaendelea na safar?
Una maanisha maambukizi ya ukimwi yataongezeka? na bajeti za kulala njiani? na-imagine wanafunzi wale wanaosoma shule moja afu ni me na ke, na wako bus moja au tofauti alafu sehem ya kulala ni the same area...watagegedana tu kwa wale wapenda dyudyuAhsante ni kulana mate puchi tu hamna namna
alafu ni 120,000/night............umewaza vizuri mkuuAhsante! siku za perdiem zimeshaongezeka!
abiria wafike sa8 usiku stand? hapo hapana nakataaaaaaaaaaaSULUHISHO NI MABASI YAONDOKE STENDI SAA 10 ALFAJIRI NA MADEREVA WAWE 3 MATAJIRI WASIWE MABAILI KUWALIPA NA POLISI WAJIPANGE KUHAKIKISHA USALAMA WAO KUANZIA MUDA HUO WA SAA 10 BASI YATAFIKA SALAMA NA WATAPUNGUZA SPIDI MAANA MUDA WA SAFARI UMEONGEZWA.
Form fiimekaa vizuri sana full kula bata
Tungi time
Ganja time
O -level mmefunga shule??imekaa vizuri sana full kula bata
Tungi time
Ganja time
Unajua ni kwanini wanakulaza hapo mida ya saa 4? Ni kuwa wanajua kwa saa 2 tu huwezi kufika Mbeya na wakikuruhusu ni kwamba utaendesha hadi unafika maana baada ya Makambako hakuna checkpoint inayofanya kazi usiku iwapo ya mpakani na Mbeya hawapo.Ndugu ukifika na basi lako Makambako saa 4:00 huvuki kwenda Mbeya unalazwa hapo, labda kama check points wana muda tofautitofauti
tuko hapa Nzega askari wametuzuia sababu eti gari inakimbia sana, so tunasubiri kesho tuendelee na safari kuelekea Bukoba. kwa sasa ni kujiachia tu, hakuna namnaForm fi
O -level mmefunga shule??
Wife akisafiri itabidi nimpeleke.