medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
Hii iko sawa kabisa.hapa mambo mengi barabarani yatapungua
Hata mm nipo SongeaKwetu rombo nipo songea nitatumia plan b washkaji wa mafuso nitadili nanyi najua mambo yatakuwa fresh chezea m-bongo
Eheee! Ndio ninachotaka kusema,kwamba akili za madereva wetu zinatakiwa kufanyiwa kazi,hata upanue barabara vipi bila kushughulika na akkli za madereva ni kazi bureAjali nyingi zinazotokea ni kutokana na ubovu wa barabara. Nina hakika kama ingekua ni mwendo, basi watengenezaji wa magari wangeweka speed ndogo. Jiongeze kijana. Barabara zikiwa pana itasaidia kupunguza hizo ajali. Na isitoshe hiyo ajali unayoisemea wewe ni makosa ya madereva wenyewe na sio speed ya gari. Hata wangeenda na speed ndogo kwa mchezo huo lazima ajali itokee. Hivyo hiyo haiwezi kuwa hoja. Labda ingeniambia waboreshe usalama ili michezo hiyo ife
Mtu anayetoka rwanda akifika huku apande ndege zetu za aridhini nadhani anaweza akashukia njiani, maana 40kph ni kama bajaji.Kwakua madereva na wenye mabasi wameshindwa kupunguza kabisa ajali.hatuna la kubisha acha iwe hivo 40k/h kama Rwanda!
Umesahau fileni ya kutoka Ubungo,hrf km 00000 dar mpk chalinze sehem KUBWA ni 50 speed kwa saa,hrf ukifuatana Na roli linaloenda speed 30 Na hapo huruhusiwi kuovateki sijui kama utaenda mbeya kwa Massa 12.hrf wanaosafiri kila siku wataoumizwa Na hili ni wafanyabiashara.lkn wale wanaosafili Mara Moja kwa mwaka wao sawa,serikari iangalie pia miundombinu,barabara hizihizi guta,baiskeli watembea kwa miguu mikokoteni punda,matrekta.nk.hata hivyo tz Luna Madereva bwanaSidhani kuwa huo utafiti umezingatia vigezo gani..Hapa majibu hatuwezi kuwa nayo bila kusoma huo utafiti na vigezo vya kufikia hayo maamuzi.Ila Dar- Mbeya ni jirani sana,kutumia siku mbili ni upotevu wa muda tu.
Dar to Mbeya ni karibu km 900 tu ukiweka mda wa kupumzika kama saa 1 na gari itembee km80/saa basi gari hilo litatumia saa 12 au 13 kufika Mbeya au Dar.Sasa likiondoka saa 12 asbh ni kwamba saa 1 jioni hadi saa 2 usiku litakuwa Mbeya au Dar sasa kwanini zitumike siku mbili wakati muda wa mwisho basi kutembea barabarani ni saa sita usiku.
No hurry in africaAjali haizuiliki. Wenzetu wanatumia kila mbinu kuokoa muda sisi tunafanya kila njia kupoteza muda
Naona wanataka watu warudi kwenye train kilazima sasa ...Waliozoea kusafiri kwa mabasi kwa siku moja kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya na kutoka Dar es salaam kwenda Mwanza na kwingineko kwenye umbali sawa na huo.
Sasa inabidi wajipange kisaikolojia kutumia siku mbili kukamilisha safari hizo.
Hayo yamebainishwa na Meneja Usalama Barabarani na Mazingira wa SUMATRA, Geofrey Silanda.
Uamuzi huo umetokana na utafiti uliofanywa na mamlaka hiyo na kubaini kwamba mabasi yanayofanya safari kwenye mikoa hiyo hayapaswi kusafiri kwa siku moja
View attachment 376295
Chanzo: EATV
Toa maoni yako