huwa unasafiri na nini?mie ndiyo maana niliachaga kusafiri na mabasi .
Nway pole kiongozi .
Mkuu zimefika. Lizzy ni mzima wa afya ijapokuwa ananyonyesha kwa sasa, kwahiyo mambo yake hayajatulia. Anauliza vp hukupata ile namba yake Voda na kwa hiyo vp hiyo M-pesa utamtumia? Eti kama huttaki hiyo namba ampe Erickb52 ambaye atamrushia m-pesa mara moja!Pj pole kamanda,ukikwamuka na kufika arusha msalimie sana Lizzy na umrushie mmmmmmmwwwwwaaaaaa........
kumbe tuko basi moja?
Na uko busy na simu jamani nakukodolea hata hunioni.
huwa unasafiri na nini?
PJ Pole sana aisee hope umefika salama au bado?Safari yenye Mkosi.
Safari toka Dar-Arusha ilitakiwa kuanza saa12.30 lkn imeanza saa 3.00asbh.
Na Hapa ni Maeneo ya Kabuku ambako tumepata pancha!
Utafikiri tunakwenda msitu wa Mabwepande aisee!!
private van