Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
PakaJimmy niko nangoja wanitumie namba naona kimya hadi sasa....!
Nimejipanga vilivyo aisee lol
Last edited by a moderator:
PakaJimmy niko nangoja wanitumie namba naona kimya hadi sasa....!
Heheeee upo wewe mwanamama?sio ungo?
sio ungo?
umenikumbusha siku nilikata ticket hapo ubungo wakaniandikia 12.30 nikaja hapo mpaka nikasinzia mana tuliondoka sa 09.30Safari yenye Mkosi.
Safari toka Dar-Arusha ilitakiwa kuanza saa12.30 lkn imeanza saa 3.00asbh.
Na Hapa ni Maeneo ya Kabuku ambako tumepata pancha!
Utafikiri tunakwenda msitu wa Mabwepande aisee!!
Heheeee upo wewe mwanamama?
Ungo upi sasa?
Ule wa kuanza safari za NASA au? Wa jikoni ?
hahahahah,
mwisho utaniambia 'dish' la tv alo ni ungo...
Nazungumzia ungo wa jikoni....
Aaah! Kumbe wa jikoni !
Mi nilidhani ule wa kustart NASA journey!
unataka ungo wa NASA ili ukurushe mars tupate lawama? Ungo wa jikoni, usafiri rahisi, salama na wa uhakika hahahahah
Una maneno!
Kama umemeza disc !
Teh ! Teh, teh
kwikwikwikwikwiiiii
nipo naingia kwa kubeep siku hizi.... Nimekumiss
Afu kule kwenye Uzi wa ukweni kwangu, ulikua umekuja kimaksudi mazima un'chafulie hewa!
Nikakustukiaje?
Mtoto m'baya wewe!
Hata hivyo nikakumaliza mahesabu yako kibingwa!
Uzuri wife kaenda shule!
Kabla wewe hujacheka mi ndo nilishachekaje mbaya!hahahahaaa nimechekaje....
Imebidi niwe mpole tu....
Umeniwahi ile mbaya.....