USA are not able to overcome S-300 air defense system

USA are not able to overcome S-300 air defense system

Hiyo B - 2 bomber ilitunguliwa kwenye vita ya ya Yugoslavia sasa nashangaa kuna watu wanasema hakuna nchi inaweza kuitungua kuna watu wanamahaba na USA kuliko wamarekani wenyewe.
 
Hiyo B - 2 bomber ilitunguliwa kwenye vita ya ya Yugoslavia sasa nashangaa kuna watu wanasema hakuna nchi inaweza kuitungua kuna watu wanamahaba na USA kuliko wamarekani wenyewe.

Ushahidi kuwa ilitunguliwa uko wapi?
 
Dotworld the game changer ! Green Card Elites have to wave the white flag in air !!. Sana sasa hao GCE wanajua ku'shout' sana kutumia lugha za kuudhi ili kukwepesha hoja. Utawaona muda si mrefu.

Well done Dotworld.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante DOTCOM kwa kuendeleza darsa maridhawa ambalo kusema kweli kwa data unazomwaga asiyeelewa basi huyo ana genes za ujinga na si shule iliyomfundihsha ujinga.

Madam ff wew nakupenda sana kila nyanja upo
.I proud of you"
 
Last edited by a moderator:
kui, source ya hizi zinazoitwa data/facts ni US hiyo hiyo...tafakari! (Dokezo: unakumbuka kabla ya Operation Desert Storm? Jinsi data kutoka US zilivyomjenga Sadam Hussein na askari wake wa jangwani? Jinsi watu walivyosema safari hii Marekani imemeza isichoweza kutafuna? In the end Iraq pulled out of Kuwait but was that the end? No, after making sure they had no further us of him, years later they got another reason to make sure his regime ended!)

Bado pamoja na unayoyasema, Urusi sio Iraq mkuu.
 
kui, source ya hizi zinazoitwa data/facts ni US hiyo hiyo...tafakari! (Dokezo: unakumbuka kabla ya Operation Desert Storm? Jinsi data kutoka US zilivyomjenga Sadam Hussein na askari wake wa jangwani? Jinsi watu walivyosema safari hii Marekani imemeza isichoweza kutafuna? In the end Iraq pulled out of Kuwait but was that the end? No, after making sure they had no further us of him, years later they got another reason to make sure his regime ended!)

It wasn't "reason" it was a lie, tell the truth.
 
Dotworld, any sensible person would try to avoid wars. Siamini kabisa kwamba Russia ndio kinara wa military technology in the world. Wana balance na wenzao wengine....

Urusi siyo kinara wa teknolojia ya zana za kivita.

Kwangu Marekani ndo kinara na sababu ziko wazi kabisa.

Tatizo watu humu wanaleta articles zinazoandikwa na watu walio anti-US na kudhani huo ndo ukweli pekee.

Ni sawa na ukutane na mtu ambaye source ya habari zake ni gazeti la Uhuru na anaamini mazima kila asomacho kwenye gazeti hilo.

Hivi mtu kwa akili yake kabisa anaweza kudhani kwamba Urusi wanaweza kuwa na zana ambazo US hana counter yake?

Seriously?
 
By Mag3kui, source ya hizi zinazoitwa data/facts ni US hiyo hiyo...tafakari! (Dokezo: unakumbuka kabla ya Operation Desert Storm? Jinsi data kutoka US zilivyomjenga Sadam Hussein na askari wake wa jangwani? Jinsi watu walivyosema safari hii Marekani imemeza isichoweza kutafuna? In the end Iraq pulled out of Kuwait but was that the end? No, after making sure they had no further us of him, years later they got another reason to make sure his regime ended!)
Bado pamoja na unayoyasema, Urusi sio Iraq mkuu.

It wasn't "reason" it was a lie, tell the truth.
Huyo Mkuu niliona comment yake ... jibu lake ninalo nilikuwa busy tu nkashindwa kumjibu - ila ntamjibu tu

pu-11111111.jpg
 
Unauhakika gani na unachosema eti B52/B2 haionekani kwenye Rada? - alafu unasema eti Russia na China hawawezi kuziona!

Sasa mimi kukujibu lets forget kuhusu Russia na China - ntakujibu swali lako kupitia nchi ya Vietnam wakati akipigana na US.

Unajua during the Vietnam War, thousands of U.S. aircraft were lost to antiaircraft artillery (AAA), surface-to-air missiles (SAMs), and fighter interceptors (MiG)s. The great majority of U.S. combat losses in all areas of Southeast Asia were to AAA.

The Royal Australian Air Force also flew combat and airlift missions in South Vietnam, as did the Republic of Vietnam. Among fixed-wing aircraft, more F-4 Phantoms were lost than any other type in service with any nation.

In total,

  • The United States lost in Vietnam almost 10,000 aircraft and helicopters, excluding number of UAVs.
  • South Vietnam's army lost 2,500 aircraft and helicopters, excluding number of UAVs.
  • North Vietnam lost 150 - 200 aircraft and helicopters.

Sasa pata picha nchi ya Marekani inapoteza ndege 10,000! katika vita moja tena na nchi ndogo tu kama Vietnam! - unafikiri zilikuwa zinaangushwa kwa Manati?!

Hizo unazozisifia B-52 Stratofortress - zimeangushwa zaidi ya 19 total ingawa Marekani wanadai eti zilikuwa 16 tu! - wanaficha aibu - sasa Vietnam kwa kutumia Antiaircrafts za Warusi (ambazo walipewa Inferior) waliweza kutungua B52 19 pamoja na ndege nyingine 10,000!

Boeing_B-52_dropping_bombs.jpg

Matukio yaliyoyahusisha hizo B52 zako ni kama 2 B-52F 57-0047 and 57-0179 (441st Bomb Squadron, 320th Bomb Wing)na hii ilikuwa tarehe 18 June 1965, South China Sea ingawa Marekani wanajitetea kuwa eti shambulio lilitokea wakati wa air refueling ambapo jumla ya Wanaanga 8 kati ya 12 walikufa.

Kuna tukio lingine la B52 ambapo ndege ya B-52D 55-0056 (307th Bomb Wing Provisional) ilitunguliwa na SAM mnamo 4 January 1973, katika hili tukio walifanikiwa kuwaokoa Wanaanga wao, tukio/B52 ilitunguliwa katika Gulf of Tonkin

%D0%A1%D0%92%D0%A1_%D1%83_%D0%BE%D0%B1%D0%BB%D0%BE%D0%BC%D0%BA%D0%BE%D0%B2_%D1%81%D0%B1%D0%B8%D1%82%D0%BE%D0%B3%D0%BE_%D0%91-52_%D0%B2_%D0%BE%D0%BA%D1%80%D0%B5%D1%81%D1%82%D0%BD%D0%BE%D1%81%D1%82%D1%8F%D1%85_%D0%A5%D0%B0%D0%BD%D0%BE%D1%8F_23.12.1972_%281%29.jpg

Soviet specialists inspect the wreckage of the B-52 Stratofortress was shot down near Hanoi December 23, 1972

B-52_Memorial_Lake.jpg


b-52-lake-hanoi-1-1024x768.jpg


SA-2 SAM’s that were used against US bombers over North Vietnam


b-52-air-defence-museum-hanoi-sa-2-sam-5-1024x768.jpg

SA-2 SAM’s that were used against US bombers over North Vietnam

syria.jpg




Haya angalia hii Video ya kutunguliwa kwa B52 yako huko Vietnam




Sasa wewe jiulize kama Vietnam alizitungua B52 kwa old tech tena kwa kutumia SA-2 SAM, je kama angekuwa na hizi s-300! na je alizionaje hizo B52 kwenye Rada wakati huo? kwa old tech na sasa kuna New tech ashindwe kuziona na kuzitungua ndege zile zile kwa kutumia New Tech?!

Sasa umeona, jibu la swali lako linajibiwa na Vietnam tu wala hatujishughulishi na China wala Russia! -

Unafikiri US kukimbia Vietnam ilikuwa kwa kupenda?! - wewe ukifungua hata Wikipedia watakuambia kuwa US walipoteza ndege 10,000 (nimekuwekea link hapo chini)... imagine ndege tu 10,000! - sasa hiyo ni tech ya zamani ya Mrusi ... Je sasa? - au unafikiri kila nchi ni Iraq?!.


Read More:
. Aircraft losses of the Vietnam War - Wikipedia, the free encyclopedia
. First B-52 shot down over North Vietnam - Nov 22, 1972 - HISTORY.com
.
cc:
Bukyanagandi Elungata mng'ato Extraterrestrial Gagnija JustDoItNow Bongolander 2013 sodoliki mnyikungu MALCOM LUMUMBA Maziku Masunga Jr. Consigliere Chasha Poultry Farm Red Giant Kimweri Aleyn kui Ngongo mnyikungu Viva89 GAUTAMA PTER RealMan FaizaFoxy SirChief Maswala 1954 PHILE1879 kui 2013 The mountain lion Phillemon Mikael Mr ceragem Ndahani Kimweri Red Giant yonga Bill Cosby Aleyn Bulldog MBULAMATALI Mr. President ze kokuyo Chasha Poultry Farm Ngaramtoni Pianist gwijimimi Dragoon Noel 2014 Mdau TUJITEGEMEE
.


...
Mkuu Dotword hakika hili sio jukwaa lako,ww ni levo nyingine kabisa!
Nimependa the way unavyoshusha data!
Ila kama kawaida yetu Wabongo hatuachi kubisha tena bila mifano!
 
Last edited by a moderator:
...
Mkuu Dotword hakika hili sio jukwaa lako,ww ni levo nyingine kabisa!
Nimependa the way unavyoshusha data!
Ila kama kawaida yetu Wabongo hatuachi kubisha tena bila mifano!
Pamoja Mkuu MBULAMATALI ... lakini wakati una-reply Post ndefu - Usi-quote post nzima! - inakuwa ndefu sana
Sasa unaweza kufungua ulipo-post na kuedit alafu punguza reply text - kwa ku-delete some text
 
Habari gani zinifikie?

Nishasema humu ikija kwenye conventional warfare hakuna aliye karibu na Marekani hata kidogo.

Zilizobaki ni porojo za kinazi tu.

mbona conventional war ya vietnam ilimshinda hadi akaanza kufikiria kutumia tactical nuclear weapons? mkuu Dotworld sikujua kama jamaa walipoteza ndege nyingi hivyo! 10,000!. sasa walitaka wapoteze ngapi ili waamini nothern vietnam ni no fly zone kwao?.
 
Last edited by a moderator:
Dotworld ana majibu sahihi ya kila swali ambalo watu wanauliza na wanabishana.Mimi ni mtu ambae sipendi ushabiki ila baada ya kupitia referrence mbalimbali nimegundua russia ana silaha nzito sana za kijeshi sema sio mtu wa majivuno na sifa.
Kuanzia kwenye submarines,tanks,intercontinental ballistic missiles,helicopters,detective radars yeye ndo anaongoza.
Uungwana ni vitendo jamani tuache kuwa na mahaba na taifa fulani.
Dotworld ameelezea kila kitu hapo tena kwa weledi wa hali ya juu lakini bado watu wanabishana.
Wakati mwingine kupinga ukweli ulio dhahiri kabisa kila mtu anauona tunasema umejitoa ufahamu kimakusudi na unaonekana huna akili.
Tuache ubishi wa kipumbavu.
 
jama ndege kuwa stealth haina maana kuwa haionekani katika rada bali ile signature yake inapungua kiasi cha wale wanaomonitor rada wanaweza dhania ni ndege kwa maana ya mbayuwayu ama njiwa na wakapuuzia kufyatua makombora.na hiyo ni kwa rada za kisasa.
ilitokea miaka ya 90 wakati wa vita vya serbia,waliweza kuidungua ndege ya marekani matata sana na ni ndege ya kwanza ya stealth.waliidungua kwa surface to air za kawaida zinazotumia rada za kizamani za Array rada.
tangu hapo mrusi akagundua kumbe rada za array ndo kiboko ya hizo stealth ,wakarudi kuzitengeza,na sasa air defense system ya mrusi inakua na combination ya rada tofautitofauti ikiwemo hiyo ya array.
pia incase ya vita kati ya mataifa makubwa kama marekani,china na russia,ndege za stealth ni useless,kwani haya mataifa yana military satelite ambazo zinaweza ona hata kabla ndege adui ikijiandaa kwenda kushambulia ikiwa bado homebase na wanaweza piga kwa intercontinental missile.
pia kwa mfano ndege za marekani ziko intergrated na mfumo maalumu kupitia satelite,hizo nchi tatu zote zina uwezo wa kudungua satelite zilizoko katika space na katika vita satelite ikipigwa chini ni sawa na unapigana huku umefumba macho kwani makombora mengi ni guided.
stealth zinafaa tu kuzitwanga nchi kama syria,iraq etc na si kwa mataifa kama haya matatu.
hata hiyo F-22 na F-35 Jointstrike bado si tishio kivile kwani warusi na countermeasure against them
 
Wewe ndo huoni bwana dhahani ni kwa sababu unaangalia sana western main stream media, jaribu kidogo ku tune RT, wapo sehemu nyingi sana

Ni kweli kabisa asitegemee kupata habari nzuri toka Russia kupitia BBC,CNN,FRANCE 24 n.k hizo zipo kwa ajili ya kueneza propaganda za mataifa ya magharibi.
Afungue Russia today ajionee jinsi warussia walivyo-next level kwenye maswala mbalimbali ukiachana na makombora.
 
Urusi siyo kinara wa teknolojia ya zana za kivita.

Kwangu Marekani ndo kinara na sababu ziko wazi kabisa.

Tatizo watu humu wanaleta articles zinazoandikwa na watu walio anti-US na kudhani huo ndo ukweli pekee.

Ni sawa na ukutane na mtu ambaye source ya habari zake ni gazeti la Uhuru na anaamini mazima kila asomacho kwenye gazeti hilo.

Hivi mtu kwa akili yake kabisa anaweza kudhani kwamba Urusi wanaweza kuwa na zana ambazo US hana counter yake?

Seriously?
wakati wa vietnam wamarekani walikuwa wanatupa m16 wanaokota kalash. ni kwa sababu AK zilikuwa bora na marekani hakuwa na counter yake.
 
mbona conventional war ya vietnam ilimshinda hadi akaanza kufikiria kutumia tactical nuclear weapons? mkuu Dotworld sikujua kama jamaa walipoteza ndege nyingi hivyo! 10,000!. sasa walitaka wapoteze ngapi ili waamini nothern vietnam ni no fly zone kwao?.

Kijeshi Marekani haikushindwa huko Vietnam.

Hiyo vita ndani ya Marekani ilianza kukosa mashiko. Watu kibao walikuwa wanaipinga tena kwa sababu za msingi kabisa.

Marekani haikuwa na sababu zozote zile za msingi za kujiingiza katika hiyo vita.

Muhammad Ali aligoma kwenda vitani na akafungwa jela. Martin Luther King Jr. alikuwa anaipinga hiyo vita.

Secretary of State John Kerry naye aligeuka kuwa mpingaji wa hiyo vita. Jane Fonda and the list goes on and on.

Kwa kifupi ni kwamba Marekani haikuwa na political will ya kuendelea na hiyo vita.

Ni vigumu kwa nchi kwenda vitani kama wananchi wengi wanaipinga hiyo vita.

Sasa watu watoto zao, ndugu, jamaa na marafiki zao walikuwa wanakufa huko Vietnam bila hata sababu ya msingi, ya nini sasa kuendelea na vita tena ambayo haiwahusu kabisa?

Sasa watu mnashindwa kutofautisha sababu za kisiasa na zile za kijeshi.

Unajua majeshi ya Marekani yalifanya mambo gani huko Vietnam?
 
Tunazisubiri articles zako ambazo zimeandikwa ama na 'pro -US' ama na 'neutral ground'.

Nyie wengi wenu humu mmeshajipambanua kama antI-USA hivyo hana nikileta hamtabadilisha mawazo yenu.

Sitajihangaisha na kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom