USA are not able to overcome S-300 air defense system

USA are not able to overcome S-300 air defense system

Syria hawana S-300

wanazo putin aliwapa bure kwa ajil ya defense endapo israel atawashambuli..but i wonder wanashambuliwa and nothin hapens...je s-300 iz useless!?
 
Duh, katika jamii forums kuna vichwa kweli kweli,. Kuna watu wanashusha nondo kama hawana akili nzuri. Hongereni. Ukweli wa mambo mjadala kuhusu Urusi na Marekani ni mgumu. Why? Bcause wengi wetu tumekuwa brainwashed na propaganda za West. Piga ua Russia iko juu ya Marekani kwa teknolojia na hasa military tecknology. Pamoja na mbwembwe z a Marekani hawathubutu kamwe kupambana na Russia. Marekani na nchi zote za West zitafumuliwa na kubaki majivu. Teknolojia yaMrusi katika masuala ya kijeshi ni kama ya 'aliens from other planets'.
 
Sio kwamba sielewi Mkuu Nyani Ngabu , mimi nasema Conventional / UNConventional warfare WAKATI WA WAR - siongelei hiyo Conventional / UNConventional KABLA YA WAR maana kuna 2 sides ya kila scenario!

Wewe unaongelea UNConventional warfare kabla ya war ambapo ni kuforce au malengo in covertly au ambayo siyo well-defined tactics and weapons intensify environments of subversion au intimidation ambapo nia au malengo ya muda mrefu ni coercive au subversive kwa opponent.

Sasa hii Unconventional warfare (KABLA YA WAR) lengo lake ni achieve ushindi kupitia acquiescence au a-agree na kukubali kushindwa kupitia njia mbalimbali kama ku-ipressure nchi husika au kwa kutumia intelligence au clandestine activities ili nchi husika iweze kushinda katika mgogoro fulani bila ya kutumia au kuingia vitani.

The same scenario pia inatokea wakati tayari vita imeshatokea na ndio maana mimi nipo kwenye vita tayari nasema nako pia kuna Unvonventinal war pia ambapo hutumii Traditional means means.

Mimi na wewe hatuelewani sehemu moja - wewe unaangalia kabla ya actual war kutokea ambapo kuna vita ya chini chini - while mimi nilikuwa naongelea kwenye actual war (yaani wapo tayari wanapigana) ambapo huko kuna conventional (traditional) VS UNconventional (Untraditional means.

Anyway, najua kuwa huwa hupendi kushindwa, but anyway Weekend njema na wewe!.

in what grounds that u.s was defeated in iraq war?
 
Ndugu wachangiaji, tuondoe ushabiki wa nchi, vita ni km kamili, karata au hata mchezo wa mpira. Dakika 90 ndio huamua matokeo ya mechi.
Pamoja na kwamba pesa (uchumi) ni nyenzo muhimu sana kivita, lakini ni swala la kinadharia tu! Pesa na kupigana vita ni vitu 2 tofauti. USA wanajali sana uhai wa askari wao, na ndo maana wanawekeza zaidi ktk technolojia ilikupuguza casualties. Bila shaka, kila jeshi mahala popote pale wanatamani hivyo ila wapo ambao wanasema kuwa watajitahidi kupunguza casualties lakn, wako tayari kufa kwa ajili ya mlengo wao. Mfano ni terror groups wanaojitoa muhanga.

Warusi ni more Aggressive hasa maslahi yao yanapokuwa hatarini. Ila kama nilivyotangulia kusema, vita kati ya nchi hizi 2 huwezi kabisa kutari mshindi.

USA kapigana vita nyingi tena yeye na washirika wake. Angalia vita ya Iraq na Afghanistan! Kwa zaidi ya miaka 10 bado wanasubuliwa na vijamaa tena ambapo nguvuo yote ya USA na washirika wake ziliekezwa hapo! Wakati wakizichachafya nchi hizo walikuwa na uhakika kuwa adui zao hao hawana uwezo hata kidogo wa kushambulia nchi za wavamizi hao.

Hali ni tofauti unapokabiliana na mtu unayejua ana uwezo wa kujibu mashambulizi yako tena hadi nyumbani kwako. Lazima kila mtu afikirie.

Sana sana USA na washirika wake wamepigana vita ya uharibifu wa miuondo-mbinu, majengoo na mali. Lakini si vita ya kushinda, na wala hawana uzoefu wa kushinda vita kama alio nao mrusi wa WW2, kwa yeye ndiye alieplay big part katika ushindi huo.

So, ikitokea USA na Urusi wapigane, mshindi atajulikana mwisho wa vita. Wala huweszi kutabiri. War is a game of timing kama ngumi! Mkisoma historia ya falme kuu za dunia, nyingi ziliangushwa kinyume na matarajio ya wengi.
 
Duh, kuna watu wengine humu hata kujibishana inakuwa ni shiiiiiidaaaaaa. Mtu anadhani 'cold war' ni vita halisi ya mapambano ya silaha. Anauliza je, kama Russia ilishindwa kwenye cold war, itashinda WWIII?. Hapa lipo tatizo la uelewa wa mambo.
 
Duh, katika jamii forums kuna vichwa kweli kweli,. Kuna watu wanashusha nondo kama hawana akili nzuri. Hongereni. Ukweli wa mambo mjadala kuhusu Urusi na Marekani ni mgumu. Why? Bcause wengi wetu tumekuwa brainwashed na propaganda za West. Piga ua Russia iko juu ya Marekani kwa teknolojia na hasa military tecknology. Pamoja na mbwembwe z a Marekani hawathubutu kamwe kupambana na Russia. Marekani na nchi zote za West zitafumuliwa na kubaki majivu. Teknolojia yaMrusi katika masuala ya kijeshi ni kama ya 'aliens from other planets'.

Hahahaaa daaah!

Another card carrying member of the Russian fan club!

Eti "Piga ua Russia iko juu ya Marekani kwa teknolojia na hasa military tecknology".

Kinachokufanya useme hivyo ni nini?
 
in what grounds that u.s was defeated in iraq war?
SirChief... na wewe katika grounds zipi una uhakika kuwa US kashinda Iraq?

Mimi nakupa mfano tu kuwa mpaka leo bado anapigana/anashambulia Iraq na anazidi kuongeza soldiers! & wanazidi kufa kila siku!.

Juzi hapa tarehe 28 Aprili wameshambulia kwa 20 Air Strikes hapo Iraq katika miji ya

  • Al Huwayjah,
  • Bayji,
  • Fallujah,
  • Ramadi,
  • Sinjar na
  • Tal Afar
Sasa nafikiri akili yako ina kumbukumbu - miji ya Faluja na Ramadi ipo wapi? - (ni Iraq). Sasa kwa nini siku 5 zilizopita Marekani anashambulia tena kwa ndege mara 20 kwa siku kama vita imeisha? - ameshinda nini wakati bado anapigana?!

Je .. yale malengo yake aliyekuwa nayo kuhusu Iraq yametimia?!
Je .. Iraq imekuwa "model democratic country in Middle East?!"
Je .. US amekuwa safe zaidi baada ya kuishambulia Iraq?!
Je .. gharama yake ya kuivamia Iraq (in Trillions) je zimerudi!

Kama malengo yake ni kuchukua mafuta ya Iraq kwenda kwake US je yametimia?

Sasa kama moja ya malengo yake ya kuingia vitani hayajafanikiwa kwa nini useme kuwa ameshinda vita? wakati hapati hata robo ya alichokuwa anapata kutoka Iraq kabla ya vita? na vita bado inaendelea!


Read more:

U.S., allies conduct 20 air strikes in Syria, Iraq - military | Reuters
 
Ndugu wachangiaji, tuondoe ushabiki wa nchi, vita ni km kamili, karata au hata mchezo wa mpira. Dakika 90 ndio huamua matokeo ya mechi.

Sana sana USA na washirika wake wamepigana vita ya uharibifu wa miuondo-mbinu, majengoo na mali. Lakini si vita ya kushinda, na wala hawana uzoefu wa kushinda vita kama alio nao mrusi wa WW2, kwa yeye ndiye alieplay big part katika ushindi huo.

So, ikitokea USA na Urusi wapigane, mshindi atajulikana mwisho wa vita. Wala huweszi kutabiri. War is a game of timing kama ngumi! Mkisoma historia ya falme kuu za dunia, nyingi ziliangushwa kinyume na matarajio ya wengi.
.Maswala.. With nukes? Nobody... hakutakuwa na mshindi! ... itakuwa ni failure kwa kizazi cha binadamu as whole! .. hapa duniani!

So, what would a war between the U.S. and Russia look like? - Nuclear Armageddon!


Nuclear war with Russia is still mutually assured destruction. Hopefully, that's still deterrent enough.

If there is a major nuclear war the entire planet is doomed, so if you want to report on something get your facts straight!

Anyone left alive after the initial exchange will die from radiation, poison, starvation or thirst because everything will be contaminated!

Overwhelming victory for the cockroaches!!.
 
sawasawa kabisa so you have to give us facts and not blah blah, we do not entertain gambling here.!! At JF, gambling should never become more than entertainment and we are always prepared to help those for whom it does.
maziku Masunga, samahani sitaendelea kushiriki katika hizi porojo za Waswahili, US haters at their best. US na the former formidable USSR zimewahi kukabiliana mara moja tu ambapo redline ilichorwa and the whole world almost came to a standstill...guess who pulled back? Nawatakia mjadala mwema...I have better things to do.
 
Mkuu Mr. President
..

Hiyo list yako ya expenditure sio jibu la kuwa Jeshi lako lipo vizuri!

Kama huna home grown Military Industry basi tegemea kuwa utaspend a lot of money katika ulinzi tofauti na wale ambao wana home grown military machines!

Mfano angalia, huwezi kuifananisha nchi kama China na India ambapo China wana make wenyewe for export wakati India wana-import silaha kwa ajili ya Ulinzi.

Sasa US wamezoea kuwaiba na kuwanunua Scientist ambao ni wazuri katika masuala ya silaha kutoka nchi nyingine na kuwapa uraia ndo maana unakuta military xpenditure zao zipo juu.

hali hii ni tofauti na nchi kama Russia ambayo kama ni nyuklia wanazo, scientists wanao hivyo hawahitaji kuwekeza sana katika kuingia gharama za kuwaajiri wanasayansi wapya wa masuala ya kijeshi as anachukua wa ndani tu!

Angalia kwa mujibu wa "data" za image yako ... imagine KSA (Kingdom of Saudia Arabia) ana-spend almost sawa na Russia! - sasa je ina maana kuwa jeshi la Saudia Arabia ni sawa na Russia?!!!!!!!!!! - nonsense!! -

Hawa KSA (Saudi Arabia) wanaspend sana kwa sababu wananunua silaha kutoka US & very expensive! & it means angalia kwanza mfano Yemen, Saudia Mabomu yake yameisha amemuomba US amuongezee mabomu ya kushambulia Yemen! (sasa kuna jeshi hapo?)

So kuniambia kuwa kwa sababu US wana-spend sana katika military basi ndo kiashiria kuwa wapo juu -- hiyo ni nonsense!

Definately mkuu
Watu wengi hawajui huo utofauti
 
Dude somewhere in this forums, i said that it is not a myth that Russia are best in air defense systmes. Americans know this very well, we are talking of S-300, not S-400 or leave alone the thing that they are testing now. If you look are most American air defence systems are basically Russian or at least have russian input.

But again looks like US has best offenses, that is why they say the system to them is not a big problem. If persians manage to upgrade the system by a single bit, then Iran will as a whole will be well defended like white house.

Pipo are so buzzed by media and Americans propaganda
I never underestimate the power of Russia and Persian ofcoz
What else does Americans knws rather than recruiting geniuses (doctors,hackers n so)?
 
maziku Masunga, samahani sitaendelea kushiriki katika hizi porojo za Waswahili, US haters at their best. US na the former formidable USSR zimewahi kukabiliana mara moja tu ambapo redline ilichorwa and the whole world almost came to a standstill...guess who pulled back? Nawatakia mjadala mwema...I have better things to do.
ni wapi hapo walichora redline? nyakati waliyotaka kupigana makonde ni kwenye cuban missiles crisis. ni US ndiyo ali surrender hii kitu (kama unafuatilia mambo kiundani). kwenye 6 days war US alitaka kuingilia lakini alimuogopa mrusi. jiangalie, isije kuwa wewe ndiyo mswahili unaeleta porojo!
 
maziku Masunga, samahani sitaendelea kushiriki katika hizi porojo za Waswahili, US haters at their best. US na the former formidable USSR zimewahi kukabiliana mara moja tu ambapo redline ilichorwa and the whole world almost came to a standstill...guess who pulled back? Nawatakia mjadala mwema...I have better things to do.
Mkuu mag3 najua unataka kusema kuwa USSR pulled back! - siyo kweli, ila ilikuwa ni negotiated agreement between US & USSR!

Watu wengi huwa wanafikiri US alishinda katika ile game of chicken! - ila kila upande ulipata ulichotaka!

USSR walikuwa na masharti yao kwa US kuwa kama watayatekeleza wao USSR walikuwa tayari kutimiza matakwa ya US ya kuondoa hayo makombora! (wewe hii real story najua huna na wala hujawahi kuisikia - sasa leo nakupatia! what realy happenned (with evidences)!

Kwanza masharti ya USSR (Urusi) kwa Marekani yalikuwa yapi? ili kuwa kama yakitekelezwa basi wao Urusi walikuwa tayari kuyaondoa yale Makombora kutoka Cuba! -

Masharti yenyewe ni haya:-

  • Kwanza US i-guarantee kuwa haitaishambulia wala kuivamia Cuba ila itaiacha iwe huru bila ya kuingilia wala kuitisha kijeshi
  • Pili US waondoe makombora ya Nuclear waliyoyaweka nchini Turkey ambayo yalikuwa yamewekwa hapo Uturuki ili kama kikiwaka basi waweze kwenda kuishambulia USSR kutokea Turkey (kumbuka kuwa Turkey ipo karibu na Urusi).

Sasa kama US angetekeleza haya masharti yeye Urusi hakuwa na shida ya kuyaondoa hayo makombora yake ya Nuclear aliyoyaweka Cuba.

Sasa tuangalie Je masharti ya Urusi hayakutekelewa? - kama hayakutekelezwa basi tungeweza kusema kuwa Urusi ali-blink - kama US walitekeleza madai ya USSR then ni kwamba ilikuwa amekubaliana na Masharti ya Mrusi so it was negotiated settlement!

Zaidi ya hapo inakuwa ni stori za vijiweni na kuongeza chumvi! - na ukumbuke kuwa madai ya USSR hayasemwi katika media za West kwa ajili ya propaganda na kutaka kujionyesha kuwa walikuwa tough wakati ambapo si kweli.

Je wewe umeshawahi kuziona classified documents kati ya Marais wa Marekani na USSR walivyokuwa wana nogotiate?! - basi leo ntakuonyesha ili ujue ukweli! & judge for yourself!

--------

Kwanza ukumbuke kuwa haya mambo yote yalipamba moto mnamo mwezi wa Octoba 1962

Sasa wakati siku hiyo hiyo US wakimtaka Urusi ayatoe yale makombora kutoka Cuba, yeye Mrusi alirespond kwa kuitungua over Cuba, an American U-2 plane by a Soviet-supplied surface-to-air missile na the pilot, Major Rudolph Anderson, was killed!.

Sasa Rais wa Marekani at that time President Kennedy akaandika a letter to the widow of USAF Major Rudolf Anderson, Jr., offering condolences, and informing her that President Kennedy is awarding him the Distinguished Service Medal, posthumously! - sasa kama wangekuwa ni watu (Urusi) wa kuogopa wasingetungua ndege ya Marekani huko Cuba wakati mazungumzo yakiendelea!

Barua ya kutoka kwa Rais Kennedy kwenda kwa mke (mjane) wa rubani alietunguliwa na Urusi ni hii hapa chini!


cmc_anderson_letter.jpg

------------------

Sasa kumbuka kuwa kabla ya hapo Rais Kennedy alimwandikia Barua Rais wa Urusi wakati uleKhrushchev akimwambia kuhusu concern yake kuhusu Missile walizoziweka Cuba na Rais wa Urusi akamjibu Kennedy kwa kumweleza kuwa US ndio wanahatarisha usalama wa nchi nyingine kama Cuba na kwa kuweka makombora yao Turkey.

Anyway, hii ndio barua aliyoandika Rais wa Urusi (Khrushchev) kwenda kwa Rais Kennedy akimjibu barua yake Kennedy na kumjibu kuwa kama ata-guatantee usalama wa Cuba pamoja na kuondoa makombora ya Marekani Turkey basi na wao wataondoa ya Cuba.

Barua yenyewe hii hapa (majibu ya Khrushchev kwa rais Kennedy) - Premier Khrushchev's letter to President Kennedy, October 26, 1962.


cmc_nk_oct27_01.jpg


cmc_nk_oct27_02.jpg


Soma vizuri page hii ambapo ana-respond kwa Kennedy kuwa kama akiondoa makombora Turkey na ku-guarantee Cuba basi yeye atayaondoa makombora Cuba!


cmc_nk_oct27_03.jpg


cmc_nk_oct27_04.jpg


cmc_nk_oct27_05.jpg


------------------

Baada ya Rais Kennedy kupokea majibu yake kutoka kwa rais wa USSR akaamua kumjibu hapo hapo kwa kumwandikia barua kumjibu juu ya kukubali kuondoa Nuclear Turkey na kuiacha Cuba kuwa huru bila ya kuingilia mambo yake ya ndani ili na wao Warusi waondoe makombora yao kutoka Cuba!

Ilikuwa ni nipe nikupe!

President Kennedy's October 27 letter to Chairman Khrushchev - hapa ni baada ya kukubaliana na Rais wa Urusi kuhusu usalama wa Cuba & kuondoa Nuclear Turkey

cmc_k_kh_oct27_01.jpg


cmc_k_kh_oct27_02.jpg


------------------

Baada ya hapo White House wakatoa tamko

cmc_excomm_oct28.jpg


------------------

Baada ya hapo Rais wa US Kennedy ili kutopoteza muda akaamua kuwahisha TELEGRAM kwa rais wa Urusi ili kuonyesha kuwa Marekani wamekubali kuwa Warusi waondoe Makombora yao na wao wataondoa Nuclear zao walizoziweka Turkey pamoja na ku-guarantee uhuru wa Cuba bila ya kuwavamia wala kuwaingilia mambo yao ya ndani!

Sasa Rais wa US alikuwa anawahi wapi mpaka kuandika Telegram haraka haraka?!

Telegram yenyewe hii hapa!

cmc_jfk_oct28_01.jpg


cmc_jfk_oct28_02.jpg


cmc_jfk_oct28_03.jpg
------------------

Sasa wewe Mkuu Mag3 unaleta hapa stori za kusema eti Urusi aliogopa?!

Yeye alitaka

  • Marekani i-guarantee usalama wa Cuba
  • Pamoja na kuondoa mabomu yao ya Nuclear waliyayaweka Turkey -
Sasa kapata guarantee na Wamarekani wakaondoa makombora yao Turkey pamoja na kutokuishambulia Cuba!

Sasa je? Cuba ilishambuliwa tena? .. (mpaka leo haijaguswa!) & je makombora ya Nuclear hayakuondolewa Turkey?! - so it was negotiated aggreement! na si kwamba Urusi ili-blink!

Siku nyingine ukitaka kubisha kitu uwe na data! - mimi nimekupa data mpaka nyingine ambazo ni classfied!

Wewe unaamini unachokiona na kukisikia kwenye TV na magazeti ambapo West /US wao huwa wanavutia kwako na hawasemi ukweli wote!


----
cc: ---- Nimewa-quote hawa … kwa faida ya waliokuwa wanafuatilia hii Thread Bukyanagandi Elungata mng'ato Extraterrestrial Gagnija JustDoItNow Bongolander TanzaniaLaw 2013 sodoliki mnyikungu MALCOM LUMUMBA Maziku Masunga Jr. Consigliere Chasha Poultry Farm Red Giant Kimweri Aleyn kui Ngongo mnyikungu Viva89 GAUTAMA PTER Mag3 RealMan FaizaFoxy SirChief Maswala 1954 Nyani Ngabu PHILE1879 kui 2013 The mountain lion Phillemon Mikael Mr ceragem Ndahani Kimweri Red Giant yonga Bill Cosby Aleyn Bulldog MBULAMATALI Mr. President ze kokuyo Chasha Poultry Farm Ngaramtoni Pianist gwijimimi Dragoon Noel 2014 Mdau TUJITEGEMEE
---
N.B:
Please usi-quote yote as post ni ndefu - there was no way as nilitaka niweke details nyingi though kuna nyingine sijaziweka - hii ni kwa faida ya watu wanaopenda kujua what real happened katika ile Missile crisis during cold war!
...
 
Dotworld

Ahsante sana kwa darsa la nguvu.

Reminds me of good old jambo forums.

Huyo Mag3 hana alijuwalo, kazi yake ni kupinga tu.

Asome na hii ya juzi juzi tu walivyofanyiwa USA:

[h=1]HARD PROOF: Russia can completely jam the U.S. Navy and subsequently blow it away[/h]
[h=3]This should have been HUGE NEWS, it is a game changer, and I have confirmed it is NOT a hoax[/h]
[h=3]Thus far, America has never in recent times done battle against a real military. Russia made an active demonstrated threat last April that never made the mainstream press which no doubt proves that Russia and all current Russian allies can probably blow the U.S. Navy away.[/h]
From Voltairenet.org

[h=2]What frightened the USS Donald Cook so much in the Black Sea?[/h]
The State Department acknowledged that the crew of the destroyer USS Donald Cook has been gravely demoralized ever since their vessel was flown over in the Black Sea by a Russian Sukhoi-24 (Su-24) fighter jet which carried neither bombs nor missiles but only an electronic warfare device. On 10 April 2014, the USS Donald Cook entered the waters of the Black Sea and on 12 April a Russian Su-24 tactical bomber flew over the vessel triggering an incident that, according to several media reports, completely demoralized its crew, so much so that the Pentagon issued a protest.
The USS Donald Cook (DDG-75) is a 4th generation guided missile destroyer whose key weapons are Tomahawk cruise missiles with a range of up to 2,500 kilometers, and capable of carrying nuclear explosives. This ship carries 56 Tomahawk missiles in standard mode, and 96 missiles in attack mode.
The US destroyer is equipped with the most recent Aegis Combat System. It is an integrated naval weapons systems which can link together the missile defense systems of all vessels embedded within the same network, so as to ensure the detection, tracking and destruction of hundreds of targets at the same time. In addition, the USS Donald Cook is equipped with 4 large radars, whose power is comparable to that of several stations. For protection, it carries more than fifty anti-aircraft missiles of various types.
Meanwhile, the Russian Su-24 that buzzed the USS Donald Cook carried neither bombs nor missiles but only a basket mounted under the fuselage, which, according to the Russian newspaper Rossiyskaya Gazeta [2], contained a Russian electronic warfare device called Khibiny.
As the Russian jet approached the US vessel, the electronic device disabled all radars, control circuits, systems, information transmission, etc. on board the US destroyer. In other words, the all-powerful Aegis system, now hooked up - or about to be - with the defense systems installed on NATO’s most modern ships was shut down, as turning off the TV set with the remote control.
The Russian Su-24 then simulated a missile attack against the USS Donald Cook, which was left literally deaf and blind. As if carrying out a training exercise, the Russian aircraft - unarmed - repeated the same maneuver 12 times before flying away.
Read more here

[h=3]This confirms that Russia has an inexpensive plane mounted device that can incapacitate the Navy and allow even an insignificant military force to blow it away. GAME CHANGER[/h]
 
Pamoja na kwamba nilisema sitaendelea kuchangia Dotworld, sijui 1962 ulikuwa na umri gani ila naomba nikupe tu taarifa kidogo kwamba ni hiyo Cuban Crisis ndiyo ilimtoa Krushchev madarakani...I very much hope you do know the reason. Hilo ni la kwanza, la pili ni kwamba USA bado ni intact lakini USSR baadaye ilikuja kusambaratika ingawa kama kuna nchi ilitakiwa kusambaratika, ni USA. Kwa nini nasema hivi? USA is such a diverse society. All in all, endelea kuamini unachoamini ila kaa ukijua wako binadamu wanaangalia mbele 50, 100 na kuendelea years.
 
Back
Top Bottom