USA are not able to overcome S-300 air defense system

USA are not able to overcome S-300 air defense system

Yeah.mkuu.. Kujua nchi ina atomic bomb in jambo moja. Kufahamu impact yake kwenye conventional war, ndio kitu cha kusema hakikujulikana kwa kina.

Na pengine kingejulikana mapema kisinge ishawishi Japan kuja kuipiga USA.
So utaona swali lake halijakaa kuhitaji jibu la dry Bali uchanganuzi yakinifu.
Japan ilipigwa Bomu la kwanza lakini haikusalimu amri mpaka Bomu la pili linapigwa ndio Wakaona hawana jinsi Bali kusalimu amri manake hasara ya mushroom bomb si kitoto.
Na ndipo utaona pi

KWANI MAREKANI HAWAJAWAHI ISHANBULIA KOREA YA KASKAZIN?
walishawhi tena kabla korea haijawa na nyuklia na zilipigwa mpaka marekani akaomba wayamalize,tena sasa marekani kama kawaida yake alikuwa na washirika wake.
kusema eti marekani haishambulii korea kwasababu hajui nguvu zake ,si kweli,marekani anajua kuishambulia korea ya kaskazini ndo itakuwa mwisho wa korea ya kusini,byebye hyundai,samsung,KIA etc.
loss itakuwa kubwa kuliko faida ya vita hiyo
 
Kwani Iran ki2gani broh mbona Saudi Arabia inawatoa iran jasho... Juzi juzi tu, Saudis wamezuia ndege za Iran kutoa msaada Yemen ,, Iran wakabaki wanabwabwaja

Na nikapata nyingine kwamba Iran costal guards walitaka kuikamata meli moja ya mizigo within international waters,, captain akaomba msaada Saudi ,, Iran wakanywea baada ya Saudis kuingilia kati

Xa Ka wananywea kwa wasaudi's kwa marekani wataweza kweli?

naona hukufuatilia,ile meli ilikamatwa na kurudishwa bandari abbas,na wakalipa faini waliyotakiwa kulipa kabla haijaachia.
kuhusu ndege ya iran kuzuia kutua yemen,ni kuwa saud waliweka no flyzone,so ndege yeyote ikiingia yemen ilitakiwa ilipuliwe.
sasa iran wakapeleka ndege makusudi,saudi kutaharuki ndege imo ndani ya anga la yemen.
wakashindwa kuilipua kwa kuihofia irani.walichofanya wakakimbilia kuharibu airport ambao ndege ingeenda kutua,ndo ile ndege ya iran ikakosa pa kutua na kurudi ilipotoka
 
Jambo moja USA hawajajua. Ni nguvu ya nuclear waliyonayo
north Korea. Otherwise wangesha ivamia siku nyingi.

Sasa Marekani ivamie North Korea kwa sababu zipi hasa?

Unaandika kama vile Marekani yenyewe kazi yake ni kuvamia tu nchi zingine pasipo na sababu.

Eti otherwise wangeshaivamia siku nyingi.....kwa sababu zipi?

Unaweza kuziorodhesha hapa hizo sababu?

Mbona Marekani haijawahi kuivamia Venezuela? Mbona haijawahi kuivamia Msumbiji? Mbona haijawahi kuivamia Lesotho? Mbona haijawahi kuivamia Romania?

Sasa huko North Korea kuna sababu zipi za kuifanya Marekani itake kuivamia lakini inaogopa tu eti kwa vile kuna tetesi kwamba Kim anaweza akawa na silaha za nyuklia.

Kuna nini huko North Korea hadi Marekani itake kuvamia?
 
Yeah.mkuu.. Kujua nchi ina atomic bomb in jambo moja. Kufahamu impact yake kwenye conventional war, ndio kitu cha kusema hakikujulikana kwa kina.

Na pengine kingejulikana mapema kisinge ishawishi Japan kuja kuipiga USA.
So utaona swali lake halijakaa kuhitaji jibu la dry Bali uchanganuzi yakinifu.
Japan ilipigwa Bomu la kwanza lakini haikusalimu amri mpaka Bomu la pili linapigwa ndio Wakaona hawana jinsi Bali kusalimu amri manake hasara ya mushroom bomb si kitoto.
Na ndipo utaona pi

KWANI MAREKANI HAWAJAWAHI ISHANBULIA KOREA YA KASKAZINi?
walishawhi tena kabla korea haijawa na nyuklia na zilipigwa mpaka marekani akaomba wayamalize,tena sasa marekani kama kawaida yake alikuwa na washirika wake.
kusema eti marekani haishambulii korea kwasababu hajui nguvu zake ,si kweli,marekani anajua kuishambulia korea ya kaskazini ndo itakuwa mwisho wa korea ya kusini,byebye hyundai,samsung,KIA etc.
loss itakuwa kubwa kuliko faida ya vita hiyo
Sababu zako za just historia sizikatai. Lakini kumbuka Japan, Seol zipo upande wa marekani. Ni kwa vipi nchi 2 zishindwe na nchi moja. Impossible.
Kitu kimoja najua ni kuwa wewe na Mimi tunatofauti moja hapa .
Wewe Elungata unajua ukweli uko wapi. But umejikita kwenye loser side.ambapo unajengea hoja wakati Mimi nipo upande wa ushindi na najengea hoja huko. Nipo upande wa ushindi kwasababu kuna hoja za kutosha kujaza vitabu na kuandika thesis kuthibitisha kuwa USA is the most powerful country in the whole world.

Sitashangaa ukisema USA haiwezi kupigana na Vietnam ukitolea historia ya miaka ya nyuma. Ama uje na hoja kuwa USA ilikimbia somalia. Ama usa Haiwawezi somalia.

Really marekani yenye population ya watu Zaidi ya milioni 400 washindwe na mkorea wa kaskazi..?!?!. And you believe that.?!

Lakini jambo moja liko wazi kabisa. Ni kwamba linapokuja swala la implementation na results ni lazima utaibuka mwongo. Kwasababu unajenga hoja kwa wanyonge dhidi ya wababe.
Na unajikita kwenye sababu zile zinazofavor hoja yako na kupuuuza zile zinazodhohofisha hoja yako japo unajua fika zipo. Kitu ambacho ni impractical.

Elungata Tujiulize maswali.kwanini unaamini iran inaweza KUIADABISHA ISRAEL peke yake.?
NAJUA JIBU KUBWA LINALOTOLEWA MARA ZOTE na wale wachambuzi wengi NI UDOGO WA ENEO LA ISRAEL. Geography.

UKILINGANISHA NA IRAN. PIA JESHI LA iRAN LITAKUWA KUBWA KULIKO LA ISRAEL.

NA Iran IMEENDELEA KITEKNOLOJIA YA JESHI, si rahisi Israel ipate mteremko.

OKEY TUKIJA KWA NORTH KOREA. JE USA NA NK IPI INA SAIZI NDOGO.?
IPI IMEENDELEA KIJESHI, IPI INAJESHI KUBWA ?

JE HIZI SABABU HAZITOSHI KUKUFANYA WEWE UONE KUWA NK HAWANA UWEZO DHIDI YA USA?
 
Last edited by a moderator:
Sasa Marekani ivamie North Korea kwa sababu zipi hasa?

Unaandika kama vile Marekani yenyewe kazi yake ni kuvamia tu nchi zingine pasipo na sababu.

Eti otherwise wangeshaivamia siku nyingi.....kwa sababu zipi?

Unaweza kuziorodhesha hapa hizo sababu?

Mbona Marekani haijawahi kuivamia Venezuela? Mbona haijawahi kuivamia Msumbiji? Mbona haijawahi kuivamia Lesotho? Mbona haijawahi kuivamia Romania?

Sasa huko North Korea kuna sababu zipi za kuifanya Marekani itake kuivamia lakini inaogopa tu eti kwa vile kuna tetesi kwamba Kim anaweza akawa na silaha za nyuklia.

Kuna nini huko North Korea hadi Marekani itake kuvamia?

Sababu USA walizotumia kuivamia iraq baada ya kuitaja kuwa ni mhimili wa uovu duniani sambamba na Iran na North Korea.

Sababu zake hazikuwa na mashiko lakini bajeti ilipitishwa na seneti Marekani ili bush akamnyang'anye sadamu silaha.

Sababu hizi zimepelekea mpaka leo Iran na NK kuhisi kuvamiwa na USA na ndio.maana uhusiano wao umeparaganyika zaidi.

plus sababu za Korea kuleta vitisho dhidi ya USA . mfano kutishia kuipiga USA na nuclear ikiwa itaendeleza mazoezi ya kijeshi na south korea . Na USA ikiwa Na haki ya kujiihami dhidi ya NK.
Kuhusu Pyongyang kumiliki nuclear missiles sio tetesi, kama ambavyo kuhusu Iran kurutubisha madini ya uraniam kwa kiwango cha kuweza kuunda Bomu sio tetesi.

Na kuhusu George Bush kutambua hatari ya haya mataifa dhidi ya maslahi yake sio tetesi otherwise asingekuja na proposal ya kuyaita mataifa haya matatu kama mhimili wa uovu duniani. (Axis of evil ) These things are real.
 
Sababu USA walizotumia kuivamia iraq baada ya kuitaja kuwa ni mhimili wa uovu duniani sambamba na Iran na North Korea.

Sidhani hata kidogo.

Hapo inaonekana unahisi na kudhani tu kuwa Marekani inaweza au inataka kuivamia NK lakini huna taarifa wala ushahidi wowote ule.

Sababu zake hazikuwa na mashiko lakini bajeti ilipitishwa na seneti Marekani ili bush akamnyang'anye sadamu silaha

Ni kweli hazikuwa na mashiko kwa sababu zilikuwa ni za uongo na wote waliopiga kura kuunga huo uvamizi ni wapumbavu kabisa maana walidanganywa nao wakadanganyika.

Iraq hakukuwepo na silaha za maangamizi kama walivyoaminishwa watu.

Sababu hizi zimepelekea mpaka leo Iran na NK kuhisi kuvamiwa na USA na ndio.maana uhusiano wao umeparaganyika zaidi.

Suala la uvamizi wa Iraq walau lina historia yake. Hao NK na Iran wanajihisi tu ingawa siwalaumu kwa wao kufanya hivyo.

plus sababu za Korea kuleta vitisho dhidi ya USA . mfano kutishia kuipiga USA na nuclear ikiwa itaendeleza mazoezi ya kijeshi na south korea . Na USA ikiwa Na haki ya kujiihami dhidi ya NK.

Hahahaaaa vitisho vya NK sidhani kabisa kama vinamnyima usingizi Mmarekani. Nimeshasema mara nyingi tu humu kuwa ikija kwenye mikwara tu basi NK sijaona mpinzani wake kabisa.

Na kusema kweli hiyo mikwara ya NK huwa inachekesha sana. Kwangu imeshakuwa kama burudani sasa.

Na kwa hilo ndo kabisa sidhani kama Marekani ataivamia NK kisa tu eti NK huwa inachimba mikwara kwamba itaisambaratisha Marekani.

Mazoezi ya Marekani na SK yapo tokea siku nyingi tu na kama kweli NK huwa anamaanisha anachosema basi angekuwa walau keshajaribu kulianzisha na SK lakini nadhani hata yeye [NK] anajua kwamba akilianzisha tu ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wake.

Vitisho wala siyo sababu kabisa ya kuanzisha vita ambavyo vinaweza kusababisha maafa makubwa mno.

Kuhusu Pyongyang kumiliki nuclear missiles sio tetesi, kama ambavyo kuhusu Iran kurutubisha madini ya uraniam kwa kiwango cha kuweza kuunda Bomu sio tetesi.

Hata kama anayo mawili au matatu sidhani kabisa kama yako sophisticated kivile. Huwa nahisi ipo siku yatawalipukia wenyewe humo humo NK.

Na kuhusu George Bush kutambua hatari ya haya mataifa dhidi ya maslahi yake sio tetesi otherwise asingekuja na proposal ya kuyaita mataifa haya matatu kama mhimili wa uovu duniani. (Axis of evil ) These things are real.

George W. Bush hana credibility yoyote ile ikija kwenye mambo ya kutambua nani ni hatari na nani si hatari.

Huyu mtu kasababisha vifo vya watu wengi tu wasio hata na hatia kutokana na uongo wake.

Niliupinga uvamizi wa Iraq ile mwaka 2002/03 na nilikuwa sahihi.
 
Sidhani hata kidogo.

Hapo inaonekana unahisi na kudhani tu kuwa Marekani inaweza au inataka kuivamia NK lakini huna taarifa wala ushahidi wowote ule.



Ni kweli hazikuwa na mashiko kwa sababu zilikuwa ni za uongo na wote waliopiga kura kuunga huo uvamizi ni wapumbavu kabisa maana walidanganywa nao wakadanganyika.

Iraq hakukuwepo na silaha za maangamizi kama walivyoaminishwa watu.



Suala la uvamizi wa Iraq walau lina historia yake. Hao NK na Iran wanajihisi tu ingawa siwalaumu kwa wao kufanya hivyo.



Hahahaaaa vitisho vya NK sidhani kabisa kama vinamnyima usingizi Mmarekani. Nimeshasema mara nyingi tu humu kuwa ikija kwenye mikwara tu basi NK sijaona mpinzani wake kabisa.

Na kusema kweli hiyo mikwara ya NK huwa inachekesha sana. Kwangu imeshakuwa kama burudani sasa.

Na kwa hilo ndo kabisa sidhani kama Marekani ataivamia NK kisa tu eti NK huwa inachimba mikwara kwamba itaisambaratisha Marekani.

Mazoezi ya Marekani na SK yapo tokea siku nyingi tu na kama kweli NK huwa anamaanisha anachosema basi angekuwa walau keshajaribu kulianzisha na SK lakini nadhani hata yeye [NK] anajua kwamba akilianzisha tu ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wake.

Vitisho wala siyo sababu kabisa ya kuanzisha vita ambavyo vinaweza kusababisha maafa makubwa mno.



Hata kama anayo mawili au matatu sidhani kabisa kama yako sophisticated kivile. Huwa nahisi ipo siku yatawalipukia wenyewe humo humo NK.



George W. Bush hana credibility yoyote ile ikija kwenye mambo ya kutambua nani ni hatari na nani si hatari.

Huyu mtu kasababisha vifo vya watu wengi tu wasio hata na hatia kutokana na uongo wake.

Niliupinga uvamizi wa Iraq ile mwaka 2002/03 na nilikuwa sahihi.

Miongoni mwa changanuzi zako. Umepuuza mkono Wa CHINa katika kumdhibiti mkorea asi push too far... Yule dogo Kim jong na serikali yake ya kiimla sio watu wa kuwaamini hata kidogo. They are daring people. Wale sio kama wakina Fidel Castro..na ukizingatia wanamiliki chuma cha Reli* .
Wale jamaa wenye sura za kiChina naskia ni sumu kuliko waarabu, ikiwa watakamia jambo. Yaani waarabu ni mashoga tu kwa hawa jamaa hata sisi blacks tuna nafuu.

Nitatafuta artical ya vita ya dunia nikuwekee intro. hapa ili uwafahamu hawa wenye macho kama wametoka kulia walivyo .

Pili ume-take ishu ya George Bush too personal. Umepuuza ukweli kuwa Bush anao washauri na kwamba wamarekani ni
lifestyle yao ni watu wenye EGo na arrogant sana dhidi ya mataifa mengine duniani. Wakiwa namba 2 baada ya Jews.

Zaidi sana umepuuza ukweli kuwa sera ya Marekani nchi za nje haiwezi kamwe kubadilishwa na individual president.
Ndio maana Obama ameshapigwa mkwara mapema kabisa, kuwa hata akipatana Na Iran ajue ni makubaliano yake binafsi. Rais ajaye hata yatambua.
Na hii inampa obama headache sasa hivi.
 
Mti wenye matunda ndo hupopolewa mawe.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Mti wenye matunda ni russia, ambapo kila mtu anaushambulia. USA, EU na wengine wasioelewa kama wewe. Kiongozi mmoja anachangiwa na viongozi kama 40 hivi............ Putini ni habari nyingine mkuu.
 
Kama tunatamka kiukweli bila biased yoyote.. MTi wenye matunda ni ChIna kwa sasa na UsA Duniani.
Russia wenyewe anajikomba kwa China, ile kwasana tu. Tena kuhusu china, Pale Putin adabu anayo....for sure.
Nchi zote za ulaya zinaiangalia China kama superpower inayokuja kui-overtake USA. China inapopulation Kubwa. Ina uchumi Mkubwa unaokuwa kwa kasi.
Ina fanya biashara nyingi duniani kuliko USA.
Wazungu wanaona inakolelekea ni kuhamisha power ya dunia kutoka west kuhamia mashariki.

Na kwanini ni USA. Ni kwasababu hata jambo lolote likitokea arabuni Uwe vita ama migongano ya ugaidi, Marekani analaumiwa kuhusika hata kama si sehemu ya equation.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kama tunatamka kiukweli bila biased yoyote.. MTU wenye matunda ni ChIna kwa sasa na UsA Duniani.
Russiawenyewe anajikomba kwa China. Tena kuhusu china, Pale Putin adabu anayo....for sure.

fafanua mkuu
 
Tukirudi kuhusu Russia. Nafikiri Russia ni failure nyingine duniani.
Ukraine imejitenga tu.wameshapeleka jeshi kiwavuruga.
Russia anajiona insecure ikiwa atazungukwa na wasio.marafiki. na ndio.maana anataka sana arudishe uhusiano na China ili wawe na nguvu.
Ni kweli.Russia ana mabomu lakini kuwa na mabomu haisaidii. Kwani Hakuna atakayekula hayo mabomu.
Uchumi wa Russia ndio sababu ya wao kuwa chini ya China.
China ina advance kiteknolojia kuliko Russia .

Russia wametungua hadi ndege ya abiria ya uholanzi na hawajaomba radhi.

Na kwa bahati nzuri China amezieleza nchi za west kuwa kama zinataka mgogoro wao na Russia uishe. Inabidi zitambue haja ya kuihakikishia Russia usalama(ulinzi). Yaani ni kwamba kiongozi Wa china anajua fika ujeuri wa Russia umetokana na HOFU(FEAR) ya kiusalama.

Ukitafakari utaja gundua Russia inalazimisha urafiki wa kisoviet urudi. Imemiss the old times.
Wakati China inasimamia integrity yake tangu enzi za zamani.
 
Tukirudi kuhusu Russia. Nafikiri Russia ni failure nyingine duniani.
Ukraine imejitenga tu.wameshapeleka jeshi kiwavuruga.
Russia anajiona insecure ikiwa atazungukwa na wasio.marafiki. na ndio.maana anataka sana arudishe uhusiano na China ili wawe na nguvu.
Ni kweli.Russia ana mabomu lakini kuwa na mabomu haisaidii. Kwani Hakuna atakayekula hayo mabomu.
Uchumi wa Russia ndio sababu ya wao kuwa chini ya China.
China ina advance kiteknolojia kuliko Russia .

Russia wametungua hadi ndege ya abiria ya uholanzi na hawajaomba radhi.

Na kwa bahati nzuri China amezieleza nchi za west kuwa kama zinataka mgogoro wao na Russia uishe. Inabidi zitambue haja ya kuihakikishia Russia usalama(ulinzi). Yaani ni kwamba kiongozi Wa china anajua fika ujeuri wa Russia umetokana na HOFU(FEAR) ya kiusalama.

Ukitafakari utaja gundua Russia inalazimisha urafiki wa kisoviet urudi. Imemiss the old times.
Wakati China inasimamia integrity yake tangu enzi za zamani.

Hivi unajua Russia ni ya Ngapi kwa mataifa yenye powerfull economy Duniani? Russia ipi unaongelea?
Sukhoi_Superjet_100_prototype.jpg


Hii mfano ni ndege za abilia wanazo unda orodhesha nchi za ulaya zinao unda ndege zenyewe hata Asia kwenyewe hakuna
 
Maziku Masunga [* said:
Kuhusu Ukraine, kama unafuatilia siasa za ukanda "geopolitics" kati ya Ukraine na Urusi, ni dhahili kabisa unafahamu chanzo cha migogoro ni masilahi kutokana na usafirishaji wa mafuta na umiliki wa ghuba ya bahari nyeusi. Tunafahamu ni nani aliye nyuma ya mzozo huu hadi kusababisha vita kutokea, ni Amerika na washirika wake.!!
.

Xorry naomba unielezee jinsi America na washirika wake walivo husika katika kuanzisha mgogoro?? ..

bcz kwa mie nilivokua naona kwenye news ni kwamba mgogoro umeanzia pale Yule former president alipokataa kujiunga na European Union (EU)

Huoni tatizo lilikua humoumo ndani ambapo kulikua na pande mbili zinapingana?

ambapo moja ilitaka president aiunganishe nchi yao na Europe ( majority of em are Real Ukrainians)

Na upande wapili walikua (pro- russians/,Russian speaking people) ambapo walianza upinzani baada ya president anaesupport Ukraine kuangalia upande wa russia kung'olewa madarakani

Na Russia ikachukulia advantage kuchukua Crimea kibabe...jambo ambalo likafanya West waingilie Kati??

...Maziku hebu nielezee hapo....
 
Siku
Unaposema Urusi ni failure nyingine duniani ina maana unaiweka pamoja na nchi kama Somalia, nchi ambayo imeshindwa kujiendesha yenyewe kutokana na vita vya ndani vilivyodumu kwa kipindi kirefu. Jambo ambalo si la kweli, Urusi ni nchi iliyokuwa ikiamini mifumo isiyowazi "closed system" katika sera za mambo ya nje. Wao walikuwa wakiamini ni bora kuliko mataifa mengine kutokana na uwezo wa kisayansi na kimalighafi waliokuwa nao katika kipindi cha ukuaji wa viwanda "industrial revolution". Sio siri, hii imewagharimu.!!!
Lakini Putin ameibadilisha Urusi kwa kiasi chake kwa kulegeza falsafa za Lenin miongoni mwa jamii za kirusi. Na kuweza kutambau uwepo na umuhimu wa mataifa mengine duniani, kitu ambacho kilikuwa ni nadra sana kwa jamii za kirusi kwa wakati huo. Tofauti na hapo awali, leo warusi wanachangamana na watu wa kutoka mataifa mengine hadi Afrika, Tanzania wanaenda kufanya kazi na kufundisha taasisi za elimu ya juu ili kuweza kubadilisha uelewa katika mambo ya kisayansi na kiuchumi.
  1. Kuhusu Ukraine, kama unafuatilia siasa za ukanda "geopolitics" kati ya Ukraine na Urusi, ni dhahili kabisa unafahamu chanzo cha migogoro ni masilahi kutokana na usafirishaji wa mafuta na umiliki wa ghuba ya bahari nyeusi. Tunafahamu ni nani aliye nyuma ya mzozo huu hadi kusababisha vita kutokea, ni Amerika na washirika wake.!!
  2. Kuhusu uhusiano wa Uchina na Urusi ni "win-win situation" hakuna atakaepoteza wala kufaidi zaidi ya mwingine. Ni pigo kwa serikali ya Amerika kiuchumi na kijeshi, kwani Uchina ni dola kuu ya kiuchumi upande wa mashariki na ya pili duniani baada Amerika "China has the highest GDP in the world, but the lowest GDP per capital compared to US on PPP valuation". Vile vile Urusi imeendelea sana katika uzalizashaji wa malighafi kwa ajili ya viwanda, teknolojia ya kijeshi na dhana za kivita na kuwa na uhakika katika sekta ya ulinzi na usalama.
Urusi bado itaendelea kuwa ni kikwazo kwa Amerika kuanzia kijeshi na kiuchumi. Kwa sababu, Amerika anatumia nchi washirika kujinufaisha, kuanzisha vita na kuuza silaha katika sehemu husika na kukushanya mapato kupitia uwekezaji katika nchi masikini kama riba kwa misaada anayoitoa kusaidia nchi za ulimwengu wa tatu. Tofauti na hapo, hana sehemu nyingine ya kushika kwani China ni nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa bidhaa duniani na Urusi ni nchi inayotengeza dhana bora kabisa za kijeshi ukilinganisha na Amerika na nchi nyingine za ulaya.

USA ni venturesome just like China.
Wanapambana kusimamisha uchumi, japan nayo Imerudi kwenye race.
Japokuwa hali ya hewa ya China ni polluted like no other.

Russia ni kopi n pesti.
Hitler aliwahi kusema kujilinganisha na MTU aliyekuzidi ni Sawa na kujitukana wewe mwenyewe. Russia iliyokuwa bosi wa USSR iikilinganishwa na USA iliyobosi wa NATO mpaka hivi sasa .. At least that's is a fair comparison.
Kila MTU anajua kwenye cold war nani aliibuka mshindi.

Russia iliwekeza kwenye kuunda makombora mengi ya kijeshi na kuwekeza kwenye vita na kusahahu welfare za wananchi.
Hatimaye makombora hawajayatumia ipasavyo na wameishiwa pesa.
Tena wamshukuru Mikhail Gorbachev kwa kuliona hilo mapema.

Kwahiyo utaona russia wanajaribu kurudi ili kushindana kiuchumi. Nani ambaye hajui USA ilikuwa inawalipa posho wa Russia baada ya vita baridi?na haikuathiri uchumi wa USA.
China baada ya kuona madharau ya Russia under USSR ilijitenga nao rasmi. Ingawa Russia waliomba radhi lakini China ilikataa kurudi kwenye USSR. China ikasimama yenyewe. Na Leo inaheshimika. Kwakuwa imeweza kuibiti Japan kiuchumi na nchi za ulaya. Though wazungu Bado wanakula bata duniani. Hii haina shaka. Wana enjoy freedom, siasa safi, na utulivu. China is very much controlling kind of government. But at least wao kile walicho kipigania kimewabeba wakapiga hatua. Wakati Russia kila taifa ilikuwa linaikimbia kujitenga nao. Sita wasahau waislamu wa Chechnyia,

Na utaona kuwa USSR has died 2decades ago. NATO is still running the world wild.
Russia iliyopo Leo imemegwamegwa. Na sababu ya wenyewe kulazimisha uhusiano na Ukraine ni kwasababu Ukraine imehamishia majeshi yake ulaya magharibi. Hii ni kama aibu kwa Russia. Nani ambaye hajui kuwa jiografia ya Russia haikuwa hii.?! Tena juzi wamepora Crimea kibabe.

Russia inajua kabisa pesa ya ulaya magharibi INA nguvu. Ndio maana kuhusu gesi wanasita kutumia kama kikwazo, japo wamepata soko China. Qatar imeweka wazi utayari wake wa kuuza gesi yake ulaya magharibi ikiwa Russia itatumia gesi yake kama vikwazo dhidi ya west. So ulaya bado wana replacable source of energy ambayo ni reliable from Qatar. Unazingumza kuhusu GDP China inanguvu serikalini tu. lakini
Wananchi wake tuko nao hata huku bongo kitaani wanauza Karanga na kutaabika mitaani kama sisi walami. Wachina mfanyakazi mmoja hana marupururupu na mshahara mkubwa kama mmarekani.
Kwahiyo USA ni higher spender kuliko wachina.

Wa Russia wanakimbilia kufanya ukahaba ulaya magharibi, kwenye Neema.
Kuna chuo Fulani watu weusi walikuwa wanauwawa sana na warussia. Kinaitwa Lumumba. Na hii ni umaskini wa hawa wa Russia ukawapelekea wawe wabaguzi kama kule kwa madiba.

Russia vs somali. Kimsingi itakuwa unfair kumlinganisha samaki na nyani katika uwezo wa kupanda/kukwea mti.
Like I said earlier, Russia is a failure state na Somali is a dead state.
Somali ilikufa tangu zamani. Sina cha kuisemea. Hii ni nchi ya ashashababu. Kenya wanajaribu kuifufua but I don't think they can make it.. I still have a doubt l... Cancer haitibiki
 
Hivi unajua Russia ni ya Ngapi kwa mataifa yenye powerfull economy Duniani? Russia ipi unaongelea?
Sukhoi_Superjet_100_prototype.jpg


Hii mfano ni ndege za abilia wanazo unda orodhesha nchi za ulaya zinao unda ndege zenyewe hata Asia kwenyewe hakuna

Mataifa yenye kutawala mwenye sekta ya anga dunia na ndege za abiria.

Boeing,
RR -Rolls Royce's hawa kwenye engine bora,
Airbus ya ufaransa.

BOEING ikiwa ndio kinara. Sasa sijajua Russia wanauzia wapi hizo.ndege zao...?!
 
Xorry naomba unieleweshe ... America na washirika wake wame husikaje katika kuanzisha mgogoro?? ..

bcz kwa mie nilivokua naona kwenye news ni kwamba mgogoro umeanzia pale Yule former president alipokataa kujiunga na European Union (EU)

Huoni tatizo lilikua humoumo ndani ambapo kulikua na pande mbili zinapingana?

ambapo moja ilitaka president aiunganishe nchi yao na Europe ( majority of em are Real Ukrainians)

Na upande wapili walikua (pro- russians/,Russian speaking people) ambapo walianza upinzani baada ya president anaesupport Ukraine kuangalia upande wa russia kung'olewa madarakani

Na Russia ikachukulia advantage kuchukua Crimea kibabe...jambo ambalo likafanya West waingilie Kati??

...Maziku heb nieleweshe hapo....

Mkuu, Hapa umeongea ukweli na sio conspiracy.
Nashauri Futa hilo neno nieleweshe kwasababu unajua kuliko mwalimu.
 
Hivi unajua Russia ni ya Ngapi kwa mataifa yenye powerfull economy Duniani? Russia ipi unaongelea?

Hii mfano ni ndege za abilia wanazo unda orodhesha nchi za ulaya zinao unda ndege zenyewe hata Asia kwenyewe hakuna
Unachekesha sana. Hivi Airbus zinatengenezwa wapi? Hii ndege mrusi anamuuzia nani?
 
Siku

USA ni venturesome just like China.
Wanapambana kusimamisha uchumi, japan nayo Imerudi kwenye race.
Japokuwa hali ya hewa ya China ni polluted like no other.

Russia ni kopi n pesti.
Hitler aliwahi kusema kujilinganisha na MTU aliyekuzidi ni Sawa na kujitukana wewe mwenyewe. Russia iliyokuwa bosi wa USSR iikilinganishwa na USA iliyobosi wa NATO mpaka hivi sasa .. At least that's is a fair comparison.
Kila MTU anajua kwenye cold war nani aliibuka mshindi.

Russia iliwekeza kwenye kuunda makombora mengi ya kijeshi na kuwekeza kwenye vita na kusahahu welfare za wananchi.
Hatimaye makombora hawajayatumia ipasavyo na wameishiwa pesa.
Tena wamshukuru Mikhail Gorbachev kwa kuliona hilo mapema.

Kwahiyo utaona russia wanajaribu kurudi ili kushindana kiuchumi. Nani ambaye hajui USA ilikuwa inawalipa posho wa Russia baada ya vita baridi?na haikuathiri uchumi wa USA.
China baada ya kuona madharau ya Russia under USSR ilijitenga nao rasmi. Ingawa Russia waliomba radhi lakini China ilikataa kurudi kwenye USSR. China ikasimama yenyewe. Na Leo inaheshimika. Kwakuwa imeweza kuibiti Japan kiuchumi na nchi za ulaya. Though wazungu Bado wanakula bata duniani. Hii haina shaka. Wana enjoy freedom, siasa safi, na utulivu. China is very much controlling kind of government. But at least wao kile walicho kipigania kimewabeba wakapiga hatua. Wakati Russia kila taifa ilikuwa linaikimbia kujitenga nao. Sita wasahau waislamu wa Chechnyia,

Na utaona kuwa USSR has died 2decades ago. NATO is still running the world wild.
Russia iliyopo Leo imemegwamegwa. Na sababu ya wenyewe kulazimisha uhusiano na Ukraine ni kwasababu Ukraine imehamishia majeshi yake ulaya magharibi. Hii ni kama aibu kwa Russia. Nani ambaye hajui kuwa jiografia ya Russia haikuwa hii.?! Tena juzi wamepora Crimea kibabe.

Russia inajua kabisa pesa ya ulaya magharibi INA nguvu. Ndio maana kuhusu gesi wanasita kutumia kama kikwazo, japo wamepata soko China. Qatar imeweka wazi utayari wake wa kuuza gesi yake ulaya magharibi ikiwa Russia itatumia gesi yake kama vikwazo dhidi ya west. So ulaya bado wana replacable source of energy ambayo ni reliable from Qatar. Unazingumza kuhusu GDP China inanguvu serikalini tu. lakini
Wananchi wake tuko nao hata huku bongo kitaani wanauza Karanga na kutaabika mitaani kama sisi walami. Wachina mfanyakazi mmoja hana marupururupu na mshahara mkubwa kama mmarekani.
Kwahiyo USA ni higher spender kuliko wachina.

Wa Russia wanakimbilia kufanya ukahaba ulaya magharibi, kwenye Neema.
Kuna chuo Fulani watu weusi walikuwa wanauwawa sana na warussia. Kinaitwa Lumumba. Na hii ni umaskini wa hawa wa Russia ukawapelekea wawe wabaguzi kama kule kwa madiba.

Russia vs somali. Kimsingi itakuwa unfair kumlinganisha samaki na nyani katika uwezo wa kupanda/kukwea mti.
Like I said earlier, Russia is a failure state na Somali is a dead state.
Somali ilikufa tangu zamani. Sina cha kuisemea. Hii ni nchi ya ashashababu. Kenya wanajaribu kuifufua but I don't think they can make it.. I still have a doubt l... Cancer haitibiki

With due respect, mkuu umeandika kama una reference ya stori za vijiweni. You still have a lot yo learn mkuu
 
Back
Top Bottom