Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,145
- 143,763
america is failed state!!
In your dreams.
america is failed state!!
USA kachemsha Somalia ,na ameapa harudi tena kwa Conventional Warfare,etc.amewapa wakenya pesa,sasa wanakiona cha moto.
Tofauti ya USA na Russia ni sawa na Tigo na TTCL.
Tigo (USA)wanajua marketing ,kupiga domo, ila call quality is zoo poor,they drop calls etc.
.
not in my dream, wait and you will see!!In your dreams.
Inawezekana, kwa criteria zipi?Mkuu Bulldog ... nimeona post zako kadhaa ulizokuwa unataka kujua zaidi kuhusu hawa Spetsnatz.
Hawa wapo mpaka leo na ni best Special Forces in the world
Ntajitahidi kukueleza ingawa kuna aina ya Spetsnatz ambao hawajulikani mpaka leo as bado ni siri (hawajawa de-classified).
Mkuu this combination is very deadly, tatizo ni kuwa hadi sasa watu hawataki kukubali kuwa Russia is best in air defense. Having said that i agree with those who say that it can be beatable, in deed it can be penetrated unconventionally. Kama mnaweza kukumbuka jinsi waisrael walivyoweza kuiba radar za Misri. Lakini ukiangalia S 300 inatafuta target iliyo mbali, na Tor M1 inatafuta targets za karibu. Ndio maana wenye akili wanasema at best a surgical strike can delay Iran's nuclear ambition (only to speed it up)
not in my dream, wait and you will see!!
Watu wengi wanadhani USA amelala. Yeye anatengenexa vingine kwa siri hata hakuna anaejua. Ukute wanawaacha Russia watambe kuwa wana hiki ili wajue uwezo wao wao watengeneze kitu kingine kupitia black budget zao ila hawasemi ni kipi. Siku ikitokea vita ndo mtaamini kuwa USA ana nguvu kuliko Russia.
USA haijaanza leo imeanza zamani na inajua michezo yote na inajua threat kwake ni zipi na jinsi gani itazekabili nyie ongeeni tuuu ila ombeni hiyo siku isitokeee
Hakuna cha kusubiri na kuona.
Urusi haina chochote mbele ya Marekani wewe.
syria wamechemsha, yemen mambo yana noga....! kama ni wanaume waijaribu IRAN...!!!
Watu wengi wanadhani USA amelala. Yeye anatengenexa vingine kwa siri hata hakuna anaejua. Ukute wanawaacha Russia watambe kuwa wana hiki ili wajue uwezo wao wao watengeneze kitu kingine kupitia black budget zao ila hawasemi ni kipi. Siku ikitokea vita ndo mtaamini kuwa USA ana nguvu kuliko Russia.
USA haijaanza leo imeanza zamani na inajua michezo yote na inajua threat kwake ni zipi na jinsi gani itazekabili nyie ongeeni tuuu ila ombeni hiyo siku isitokeee
Kwani Iran ki2gani broh mbona Saudi Arabia inawatoa iran jasho... Juzi juzi tu, Saudis wamezuia ndege za Iran kutoa msaada Yemen ,, Iran wakabaki wanabwabwaja
Na nikapata nyingine kwamba Iran costal guards walitaka kuikamata meli moja ya mizigo within international waters,, captain akaomba msaada Saudi ,, Iran wakanywea baada ya Saudis kuingilia kati
Xa Ka wananywea kwa wasaudi's kwa marekani wataweza kweli?
wajua napata ugumu kubishana na washabiki wa CNN na BBC
Mi nataka niulize ...
Ivi kipindi cha WW2 kuna nchi yeyote ilikua inatambua ka USA ana atomic bombs?...
Umeelewa swali alilouliza retroviridae ???