Us Green Card Lottery

Nilishinda DV Lottery miaka kama 10 iliyo pita.
Kabla sijaja majuu nikajitolea kuwaelekeza watu wengi namna ya kucheza, wengi wao walinielewa lakini walikuwa na swali moja kubwa sana.

Ukishinda wanakutumia Tiketi ya ndege?

Nikawauliza anaye taka kwenda America ni wao au ni wewe?

Nikaambiwa Sasa bila Tiketi nitakwendaje na faida yake ni nini? Au unatuficha namna ya kupata tiketi?

Wewe tiketi umepata wapi?
Nikawaeleza namna nilivyo jikusanya na kugharamia safari yangu.

Jibu la mwisho likawa.
Ah! kama ndo hivyo si heri nibaki Bongo tu.

Sasa kama Watanzania walio wengi wana mawazo kama hao nilo kutana nao mimi DV Lottery is not for them.
Baadaya ya kuapply ile form ya D-260... Majibu ulipata baada ya mda gan?
 
Nadhani kuna upendeleo fulani wa baadhi ya nchi, Kenya ikiwa mojawapo. Miaka ya karibuni idadi ya Watanzania wanaoshinda bahati nasibu hii imeanza kuongezeka ukilinganisha na miaka ya nyuma. Lakini ni vizuri kuhakikisha unafuata masharti yote yaliwekwa ili kuhakikisha application yako haiwekwi kapuni.
Mkuu we utakua mzee sana,toka 2007 upo kwenye forum hadi leo na mada zako za ujana kinoma
 
si kweli kwamba kuna upendeleo wa nchi fulani.....................tatizo letu Watanznia ni kuwa habari nyingi we DO NOT SHARE.................leo hii ukiwauliza Watanzania wengi wanajua kuwa hii GreenCard Lottery ni mpaka upitie kwa Maagent.................hata ukiangalia magazetini Bongo utakuta baadhi ya watu wanafanya biashara...............simply because they have Internet Access!! thats all.......and they scoop a lot of money out of tanzanians tena wale walio na uwezo tu!!!!

Nafikri wanaoongoza ktk kupata zaidi hii Lottery kwa Afrika ni NIGERIA...........you know why......it is because Nigerians are very aggressive ktk kupata informations kama hizi so as Kenyans......na wenzetu hupeana hizi habari kwa saana tu.

Kwa hiyo ni kweli utaona hivi karibuni idadi ya Watanzania wapatao hii GreenCard imeongezeka simply because mambo ya mtandao nayo yameongezeka na watu wameanza kuchacharika..............though nina imani wanafanya hivyo through agents.

Cha MSINGI FUATA MASHARTI (especialy ktk picha) kama yalivyoainishwa............na usichoke ukijaribu mwaka huu ukashindwa jaribu hata mara sita hata kumi utakuja pata tu...............my experience kuna watu wamejaribu mpaka mara ya tatu au nne ndio wanapata, na kuna wengine wakijaribu once wanapata..............i.e. its really a lottery!!

Zoezi zima ni bure...no need ya kutumia Agent.....soma kwenye hiyo link nilizoweka utakutana na hiyo statement...............na mtandao nilioutoa ni wa Serikali ya US sio wa kitapeli........so just try your LUCK! you never know

Nawaomba sana Watanzania wenzangu tubadilike na tupeane informations na pia tuwe AGGRESSIVE kuzitumia i.e. KU-APPLY.............informations kama za SCHOLARSHIPS kama alivyotoa ndg yangu Steve D na Mwl Prof Kichuguu.................nafasi za kazi kama anavyozitoa mzee mzima Mac De Melo....kwa kweli hawa nawapongeza sana.

Pia kuna Professional Immigration Schemes ktk nchi ya Canada na Uingereza unapewa permanent residence with a right to work...................hii ni kwa fani mbali mbali, kama system yetu ya nyumbani haiwezi kutu-absorb wote basi lets try sehemu zingine....na tukapate experience huko kwani professionals wanahitajika saana tu.

Kwa mfano Juzi juzi hapa Uingereza walitangaza wazi katika HOme Office yao kuwa wana Uhaba wa Quantity Surveyors and other professions......kw ahiyo jamani tuchangamkie hizi nafasi

Kwa walio Interested na Profession Immigration to Canada link ni hapa chini
http://www.cic.gc.ca/english/information/applications/skilled-simple.asp
na fomu zao ni hizi hapa
http://www.cic.gc.ca/english/pdf/kits/forms/imm0008e_SW.pdf

Kwa walio na Interest na Profession Immigration to UK link ni hii hapa
http://www.workingintheuk.gov.uk/working_in_the_uk/EN/homepage/schemes_and_programmes/hsmp.html
Click hiyo sehemu iliyoandikwa Highly Skilled Migrant Program

Jamani tuzitafute huku kwa watu halafu turudi Nyumbani tuwekeze

Kila la kheri Bandugu
Kipindi hiko kabla jamii forum haijvamiwa na wala tunda kimasihara
 

Ogah na wengine wote mlioshauri na kuchangia kwenye thread hii nawashukuru sana kwa ushauri na mafunzo niliyoyapata kwenu. Kwa kupitia links ulizozitoa hapa kwenye post hii, nilifanya application yangu mwaka jana 2007 November. Nafurahi kuwajulisha kwamba leo asubuhi nimepokea barua kutoka Kentucky Consular Centre kwamba nipo kati ya wale waliochaguliwa kupata Green card mwaka huu!!!

Nashukuru sana na nahitaji tena muongozo wenu zaidi na zaidi ili niweze kufanikiwa kupata hiyo VISA. Nilijiandikisha na watoto wadogo wawili na sijui kama wote watapata pamoja na mama yao ambaye sikuwa na picha yake wakati huo kwa hiyo hajakuwepo kwenye entry.

Naomba mnisaidie whats next?? and I will be contacting you now and then muweze kunisaidia nisiipoteze nafasi hii wakuu wangu
Mkuu,ulifanikiwa kufika U.S.A....unafanya shughuli gani kwa sasa?
 
Acha ujinga wewe!!! Hunijui nani alikudanganya kuna umri huwezi kuingia online? 😳😳😳😳
Haha msamehe bure tu ! Mimi nakumbuka naingie kwenye internet café hata kushika mouse yenye kigoroli hile ilikuwa tabu ..

na site nilikuwa naitembelea ya bongo ni muzibo.com kabla ya hiyo kulikuwa na nyingine

inaitwa marafiki chat sijui ile mpaka u install java ndio site inafunguka ! Na nilikuwa mdogo hata 17 sijafika...!

Haha jamaa ana assume tu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom