Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,202
- 1,077,344
Nawajua family friends ambao walipata na familia nzima wakahamia. Baba akasoma PhD ya Economics, mama Pharmacy. Wana watoto sita na wote wamesoma vizuri - engineers, MDs na kabinti kao ka mwisho kanasoma Robotics na Artificial intelligence/Renewable Energy/Environmental Engineering Cambridge UK.Kikubwa ni kupeana taarifa tu mkuu ASAP, kuhusu kuweka taarifa za uongo siwezi fanya hicho kitu. Always niko serious kwenyw vitu serious na hii kitu nilitaka kushiriki hata mwaka jana ila sikupata mtu wa karibu anaeujua huu mchezo vizuri wa kunielekeza. Mwaka huu acha nataka nijaribu. unavyosema kwamba huyu jamaa anaufuta huu mchezo, hata mimi nna mashaka lakini tusiwe pessimistic kiivyo.
Ukipata hii kitu ukifika tu fanya kila uwezalo usome hata kama ni kwenda kumwangukia Bill Gates miguuni. Uzuri pia karibu vyuo vyote vina program za kusomesha watoto masikini na wewe ukisema kuwa u mgeni kutoka Afrika na unataka urudi home baada ya shule unaweza kujikuta unaingia hata Harvard kupiga kitabu bure.
Na ukiomba mara moja ukakosa usikate tamaa - omba tena na tena....