si kweli kwamba kuna upendeleo wa nchi fulani.....................tatizo letu Watanznia ni kuwa habari nyingi we DO NOT SHARE.................leo hii ukiwauliza Watanzania wengi wanajua kuwa hii GreenCard Lottery ni mpaka upitie kwa Maagent.................hata ukiangalia magazetini Bongo utakuta baadhi ya watu wanafanya biashara...............simply because they have Internet Access!! thats all.......and they scoop a lot of money out of tanzanians tena wale walio na uwezo tu!!!!
Nafikri wanaoongoza ktk kupata zaidi hii Lottery kwa Afrika ni NIGERIA...........you know why......it is because Nigerians are very aggressive ktk kupata informations kama hizi so as Kenyans......na wenzetu hupeana hizi habari kwa saana tu.
Kwa hiyo ni kweli utaona hivi karibuni idadi ya Watanzania wapatao hii GreenCard imeongezeka simply because mambo ya mtandao nayo yameongezeka na watu wameanza kuchacharika..............though nina imani wanafanya hivyo through agents.
Cha MSINGI FUATA MASHARTI (especialy ktk picha) kama yalivyoainishwa............na usichoke ukijaribu mwaka huu ukashindwa jaribu hata mara sita hata kumi utakuja pata tu...............my experience kuna watu wamejaribu mpaka mara ya tatu au nne ndio wanapata, na kuna wengine wakijaribu once wanapata..............i.e. its really a lottery!!
Zoezi zima ni bure...no need ya kutumia Agent.....soma kwenye hiyo link nilizoweka utakutana na hiyo statement...............na mtandao nilioutoa ni wa Serikali ya US sio wa kitapeli........so just try your LUCK! you never know
Nawaomba sana Watanzania wenzangu tubadilike na tupeane informations na pia tuwe AGGRESSIVE kuzitumia i.e. KU-APPLY.............informations kama za SCHOLARSHIPS kama alivyotoa ndg yangu Steve D na Mwl Prof Kichuguu.................nafasi za kazi kama anavyozitoa mzee mzima Mac De Melo....kwa kweli hawa nawapongeza sana.
Pia kuna Professional Immigration Schemes ktk nchi ya Canada na Uingereza unapewa permanent residence with a right to work...................hii ni kwa fani mbali mbali, kama system yetu ya nyumbani haiwezi kutu-absorb wote basi lets try sehemu zingine....na tukapate experience huko kwani professionals wanahitajika saana tu.
Kwa mfano Juzi juzi hapa Uingereza walitangaza wazi katika HOme Office yao kuwa wana Uhaba wa Quantity Surveyors and other professions......kw ahiyo jamani tuchangamkie hizi nafasi
Kwa walio Interested na Profession Immigration to Canada link ni hapa chini
http://www.cic.gc.ca/english/information/applications/skilled-simple.asp
na fomu zao ni hizi hapa
http://www.cic.gc.ca/english/pdf/kits/forms/imm0008e_SW.pdf
Kwa walio na Interest na Profession Immigration to UK link ni hii hapa
http://www.workingintheuk.gov.uk/working_in_the_uk/EN/homepage/schemes_and_programmes/hsmp.html
Click hiyo sehemu iliyoandikwa
Highly Skilled Migrant Program
Jamani tuzitafute huku kwa watu halafu turudi Nyumbani tuwekeze
Kila la kheri Bandugu