changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,613
- 9,216
Kwani chini kabisa mstari wa mwisho umeelewaje mkuu?Simba akishinda zote za nyumbani anakuaje na point 9 wakati tayari ana point 1 ya ugenini??
Kwani chini kabisa mstari wa mwisho umeelewaje mkuu?Simba akishinda zote za nyumbani anakuaje na point 9 wakati tayari ana point 1 ya ugenini??
Ila kuna ukweli hapa japo sio wote but majorityMashabiki ya yanga mengi hayajaenda shule
Hii game ilipaswa Kanoute acheze na mkude pale katikati.Hawa mbuzi ilioaswa tuwafunge, ndio basi tu, Kanoute kazingua.. Halafu mimi huyu kanoute bado kumuelewa, pass accuracy yake ni mbovu. Game hii alihitajika kiungi mnyumbukifu kuwa maliza pale kati, wajomba wanakaba kama game za ndondo.
Mwalimu wa somo la hesabu? Unaona hesabu zako zilivyokua fake?Sawa mkuu maana inaonekana somo la hesabu limekuwa ugonjwa wa taifa. Kaa chini piga hesabu endspo timu tatu zote yaani Simba, Assec na Berkane wakishinda nyumbani kwao je kitakachoipa timu nyingine ziada ya kufuzu ni nini kama sio point zilizovunwa kwenye mechi za away dhidi ya USGN?
Rudi hapa useme tena kwamba kila team itaifunga USGN.Sawa mkuu maana inaonekana somo la hesabu limekuwa ugonjwa wa taifa. Kaa chini piga hesabu endspo timu tatu zote yaani Simba, Assec na Berkane wakishinda nyumbani kwao je kitakachoipa timu nyingine ziada ya kufuzu ni nini kama sio point zilizovunwa kwenye mechi za away dhidi ya USGN?
utopolo utawaweza basiRudi hapa useme tena kwamba kila team itaifunga USGN.