Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Uwezekano wa Obama, kuwa rais wa US huo bado haupo, US ina majimbo 51 so far ni uchaguzi wa jimbo moja tu ambalo hata Bill Clinton mwenyewe hakuweza kushinda, in fact ushindi wa Clinton ulianzia jimbo la Georgia, Iowans ni Conservatives na 93% ni wazungu, weusi ni only 3%, sheria za kura ni kwamba unajiandikisha tu na ukiingia kwenye chumba cha kupiga kura sio lazima ukipigie chama fulani, meaning kwamba unaweza kujiandikisha kama Republican na uakingia kumpigia kura mgombea wa Democrat, that is exactly what happened,
Conservatives Republicans wameenda kumpigia kura Obama, kwa sababu hawamtaki Mama Clinton, thinking kwamba hiyo momentum inaweza ku-catch a fire kwa US nzima, kwa sababu kwa kura alizoshinda Obama, in maana kwamba kama Iowa ingekuwa ni nchi, bsi ukifanyika uchaguzi wa rais leo Obama atakuwa rais wa Iowa, politically, does this make a sense? No way!
Obama, ni a good candidate, tena very clean the black nation huko US limekuwa likihangaika sana kutafuta a hero here they have one, smart, articulative na charismatic, isipokuwa tatizo ni kwamba he is not Black enough kwa weusi wa huko US, so far bado Mama Clinton anaongoza kwenye polls among weusi, na nafahamu for a fact kuwa weusi huko huwa hawatutaki Afrikans,
Binafsi I like Obama, kwa sababu zile zile za kumkosesha tembo usingizi, huwezi kujua time zimefika bila ya kujaribu and that is what Obama is doing now, cha muhimu ni kumpa support as much as we can, kwa sababu the more Obam tries, ni the more anavyo-elevate race yetu weusi na kutupatia heshima zaidi, na kutuweka kwenye ramani ya dunia, it worthy kum-support Obama, kuliko the rest of the candidates!
I hope he wins it all!
Mukulu, kula kumi kabisa! Hicho ulichokisema ndio mimi nimekuwa nakisema. Marekani ina majimbo 50. Na kati ya hayo 50, jiulize ni mangapi yana statewide elected officals? Georgia ambayo asilimia 29 ya wakazi wake ni weusi haijawahi kutoa hata seneta mmoja achilia mbali gavana. Mississipi yenye weusi asilimia zaidi ya 36 haina statewide elected official kwenye congress ya Marekani.Yaani deep south yote kuanzia North Carolina hadi Texas Obama hana fighting chance. I can't imagine a democrat winning the presidency without winning at least 2 or 3 states in the south. Watu wanakuwa wepesi mno kusahahu kuwa hata Jesse Jackson alishinda primary kadhaa ile '84 na nadhani hata '88. Yaani haya ya Obama kushinda hiyo caucus (though it's a good thing anytime you win something) imenikumbusha yale ya Taifa Stars kuishinda sijui timu gani ile ktk mechi za mtoano kwenda kwenye kombe la mataifa huru ya Afrika. Ushindi wa Stars haukuwa na maana yoyote (ktk context ya ku-qualify) lakini watu walivyopagawa utadhani labda tumeshinda kombe la dunia. Zikachangwa hadi shilingi zaidi ya millioni 400 kwa muda wa siku chache tu!! wakati huo huo kuna wanafunzi wanahitaji msaada Ukraine. Jamani mambo ndio yameanza tu. Kuna New Hampshire, kuna South Carolina, kuna Super Tuesday n.k....halafu pamoja na kwamba Iowa overwhelming majority ni wazungu lakini ni very progressive state. Utashangaa Georgia na Alabama ambazo zote zina idadi kubwa ya weusi kuwa na ubaguzi zaidi kuliko Iowa. Kwa hiyo sishangai hata kidogo Obama kushinda Iowa. Kwangu mimi akishinda Georgia, Alabama, Mississipi, Louisiana, South Carolina, Tennessee, hapo ndo ntasema kweli jamaa kiboko. But so far I'm withholding my enthusiasm....