US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

vlcsnap-2606560.png


90% of yesterdays caucus voters in IOWA were whites

The United States is way much more than just Iowa which has 2.9 million people. Below the Mason Dixon line, he ain't got nothing. I can guaran-damn-tee you that.
 
Dont fool urself, Americans arent ready for Rais M-matumbi mwenye arabic middle name Hussein na Baba Mkenya. Hata huyo mvaa sketi nae msindikizaji tu....

Dont get me wrong I would love Obama to win not because he is african/american rather bcoz he is smartest and capable candidate. But its very unfortunate the afore-mentioned things will prove to b difficult to overcome.

Hayo unayosema ni kweli kabisa! Kitu kingine watu wanachoshindwa kuelewa ni kwamba Caucus siyo general election ya majimbo yote 50. Ni wapi kuanzia Virginia mpaka Idaho ambapo Obama atashinda? Caucus za jana nadhani mtu yoyote ulikuwa unaruhusiwa kwenda kushiriki bila kujalisha chama. Sasa sitashangaa Republicans kushiriki kwenye Caucus ya Democrats kum-boost Obama. Nawaambieni hakuna uchaguzi utakaoukuwa slam-dunk kwa Republicans kama Democrats wakimteua Obama kugombea.Wanasema siasa mchezo mchafu....
 
Inabidi tukubali ukweli tu kuwa Obama ameprove watu wengi wrong from the day alivyotangaza nia yake ya kugombea mpaka jana usiku, whether akiwa nominated au hapana still ukweli unabaki kuwa amewasurprise watu wengi.
Kwa wale mlioko US sijui kama mlishawahi kwenda kwenye rally zake, ila nimebahatika kwenda kwenye moja alipokuja hapa kijijini na uwa nina volunteer kwenye Local Campaign Office yake hapa, nimeshuhudia watu wakitokwa na machozi wakimsikiliza jamaa anaongea kumbuka wengi wa hawa watu wanaokuja kwenye mikutano yake ni Republicans na Independents.
Winning formula yake inaanzia kwenye grass root ambayo kila mgombea alisema itabackfire, Obama has shown good, solid judgement. Anaweza asiwe na miaka mingi ya experience in Washington, which ni kitu kizuri kuwa he isn't tainted by the Beltway.
 
Ni vizuri kuwa excited kuhusiana na ushindi wa Obama, na wakati huo huo ni lazima pia tuwe realistic kuhusu uwezekano wa yeye kushinda Urais kama mgombea wa Democrats. Powell achievements zake ni nyingi mno ukilinganisha na Obama, lakini alipotangaza intention ya kushiriki katika kinyang'anyiro hicho mnamo mwaka 2000 basi wakaanza kumtupia madongo mazito mazito likiwemo la kushindwa kumng'oa Saddam katika vita vya 1981.

Republicans wanadai kwamba watakuwa na wakati mgumu kupambana na Hillary Clinton au John Edwards ukilinganisha na Obama, nadhani wanajua wanazungumza nini.

Hii hapa ni biography ya Powell. Mzungu ambaye angekuwa na achievements kama hizi angeutaka Urais basi angeupata kirahisi kabisa, lakini siyo mgombea mweusi.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Former Secretary of State, United States of America

Colin Powell Date of birth: April 5, 1937

Print Biography



Colin Luther Powell was born in Harlem in 1937. His parents were Jamaican immigrants who stressed the importance of education and personal achievement. Powell grew up in the South Bronx, where he graduated from high school without having formed any definite ambition or direction in life. He entered the City College of New York to study geology and it was there, by his own account, that he found his calling when he joined the Reserve Officers Training Corps (ROTC). He became commander of his unit's precision drill team and graduated in 1958 at the top of his ROTC class, with the rank of cadet colonel, the highest rank in the corps.

Powell was commissioned a second lieutenant in the United States Army, and was one of the 16,000 military advisors dispatched to South Vietnam by President Kennedy in 1962. In 1963, Lieutenant Powell was wounded by a punji-stick booby trap while patrolling the Vietnamese border with Laos. He was awarded the Purple Heart, and later that year, the Bronze Star.


Powell served a second tour of duty in Vietnam in 1968-69. During this second tour he was injured in a helicopter crash. Despite his own injuries, he managed to rescue his comrades from the burning helicopter and was awarded the Soldier's Medal. In all, he has received 11 decorations, including the Legion of Merit.

Powell earned an MBA at George Washington University in Washington, DC, and after being promoted to major, won a White House fellowship. Powell was assigned to the Office of Management and Budget during the administration of President Nixon, and here he made a lasting impression on the Director and Deputy Director of the Office: Casper Weinberger and Frank Carlucci. Both of these men were to call on Powell when they served as Secretary of Defense and National Security Advisor, respectively, under President Reagan.


Powell, now a Colonel, followed his term as White House Fellow with service as a battalion commander in Korea and with a staff job at the Pentagon. After study at the Army War College, he was promoted to Brigadier General and commanded a Brigade of the 101st Airborne Division.

In the administration of President Carter, Powell was an assistant to the Deputy Secretary of Defense, and to the Secretary of Energy. He was promoted to Major General. He again assisted Frank Carlucci at the Defense Department during the transition from the Carter to Reagan administrations.

Powell served as assistant commander and deputy commander of infantry divisions in Colorado and Kansas before returning to Washington to become senior military assistant to Secretary of Defense Casper Weinberger, whom he assisted during the invasion of Grenada and the raid on Libya.

Powell was called upon to testify before Congress in private session about the covert shipment of American arms to Iran; he was one of only five persons in the Pentagon who knew about the operation. Powell was not implicated in any wrongdoing in the matter.


In 1986, Powell left Washington to serve as commander of the Fifth Corps in Frankfurt, Germany, but was recalled to Washington to serve as deputy to Frank Carlucci, after Carlucci was appointed national security adviser in the wake of the Iranian arms scandal. A year later, Carlucci was appointed Secretary of Defense and Powell, now a Lieutenant General, became the Assistant to the President for National Security Affairs. In this capacity, he coordinated technical and policy advisers during President Reagan's summit meetings with Soviet President Gorbachev. He was the first African -American to serve in this position, as he has been in every office he has held since.

In 1991, as Chairman of the Joint Chiefs of Staff under President Bush, Powell became a national figure during the successful Desert Shield and Desert Storm operations which expelled the Iraqi army from Kuwait.


General Powell continued as Chairman of the Joint Chiefs during the first months of the Clinton administration, publicly disagreeing with the President's plan to permit gay men and women to serve in the military, although he eventually accepted a compromise on the issue. Powell retired from the military shortly thereafter and returned to private life.

In 1994, Powell joined former President Carter and Senator Sam Nunn on a last-minute peace-making expedition to Haiti, which resulted in the end of military rule and the peaceful return to power of the elected government of that country.


In his years in public service, General Powell never disclosed his political sympathies; he was registered to vote as an independent. Although he was known to have supported the 1964 campaign of President Lyndon Johnson, a Democrat, he had served in both Republican and Democratic administrations.

The General's great popularity has led many people to urge him to run for President, but thus far he has declined to seek elective office. In 1995 he announced that he had registered as a Republican, and did not forswear future political efforts. He concentrated for the next few years on his work with young people as Chairman of America's Promise: the Alliance for Youth. In 2001, newly elected President George W. Bush appointed Colin L. Powell to be Secretary of State. Powell was the first African-American to hold this office. As Secretary of State, he took a leading role in rallying America's allies and the United Nations to the war against terrorism, and to the enforcement of UN resolutions regarding the disarmament of Iraq. Shortly after President Bush's re-election in 2004, Colin Powell announced his intention to step down as Secretary of State.
 
Nathani GT na Choveki mmeshindwa kumuelewa Masatu.

Back to the topic...Obama has done great to say the least. Sina matumaini wala uhakika sana kuwa atashinda New Hamp na States nyingine mpaka asimamishwe rasmi na Democrats for Nov election. Ila kwa hapo alipofikia anastahili pongezi sana, amefungua macho Weusi wengi USA na duniani kwa namna moja au nyingine. Laiti kama weusi wa UK nao wangekuwa wamepiga hatua kiasi hiki..

Akifanikiwa kusimamishwa rasmi na Democrats nitakuwa na furaha sana kuweza kupata nafasi ya kushuhudia historia ikiwekwa kwenye nafasi ya Uraisi USA....

Out of topic...kwa UK natabiri kuwa mtu mweusi ambaye atakuja kufikia au kukaribia mafanikio ya Obama...90% atakuwa na damu ya ki-Nigeria au Ghana...!!

Habari za kutisha ni kuwa CLINTON CAMP wameaapa wataanza kwenda NEGATIVE on OBAMA huko NH na sijui watu wa huko wata react vipi

You can always read hapa:

Hillary Camp Hints: Knives Out For Obama..negative blitz to come

Penn hinted that the Clinton campaign may be poised to mount a more aggressive campaign in New Hampshire than in Iowa. "Time and again in the Democratic primaries," he said, ...

... "you've seen people latch onto the new, seemingly fresh candidate only to then take a sobering look at the choice they have when it comes down to the end of it. I think you're going to see that again.''

He claimed that Obama's record is comparatively unexplored and he suggested the news media should ask itself about taking a closer look at Obama's history. "Does everyone know everything they need to know about Barack Obama?'' Penn asked. "That's a decision you're going to have to make. I think at this point his record is not very well-known. And she is really well-known. She's fully vetted, fully tested. And I don't think that process has occurred with Barack Obama.''

For weeks now Clinton aides have been threatening on and off the record to use some bad stuff against their chief opponent. First, two of them told conservative columnist Robert Novak that the Clintons had very damaging information on Obama, but they weren't going to use it. Then Billy Shaheen, her New Hampshire co-chair, said that though no Democrat would use Obama's admitted youthful drug use against him, boy, would the Republicans have a field day with that later this year.

Early this morning, Penn told Nicholas that he didn't believe Obama was positioned to win in New Hamsphire, which votes Tuesday. "The only thing Obama has going for him in New Hampshire," Penn added, "is some sense of momentum. Let's see whether or not that sustains itself ... when people really focus in on the choice of picking a president.''

http://latimesblogs.latimes.com/wash...ond-thoug.html




Kuhusu UK dont put your hopes up

Aliyekuwa akitegemewa na conservatives UK ni huyu Bwana, anaitwa ADAM AFIRIYIE...in short jamaa anawakilisha jimbo la almost all white la Windsor kwa Queen:

109_3.jpg


David Lammy ni just another stat kwani hana jipya zaidi ya kuwa poodle hivi ushamwona mkewe ?



2005.09.08_12-58-12david_lammy_London.jpg




Kisha kuna huyu hapa huyu Mama anaitwa DAWN BUTLER..inshort shule yake ni ndogo haya waziri HAWA GHASIA ana afadhali

DawnButlerPicD.jpg


Huyu anaitwa Baroness Valerie aMOS...SHULE YAKE NI NZURI NA SASA NI MWAKILISHI WA aFRICA KULE ue (whatever that means) alikuwa very instumental kutaka waafrica wapige kura ya kuruhusu Vita vya Iraq

_1852053_blair_amos300.jpg



unless ulikuwa unamzungumzia huyu bwa PAUL BOATENG na vitimwi vyake ambayo gazeti la the SUN liiweka kwenye front page

boatengsm1.jpg


sasa hivi kajipolish kisha wakampa Ubalozi South Africa

_40947987_boateng203.jpg


sasa kama ulikuwa unawafikiria any of the above then niambie kisha nikuchambulie kila mmoja wao na vitimwi vyao

 
Pamoja na kumpongeza lakini bado wako Wamarekani wengi weupe Republicans and Democrats mbao wanasema 'America is not ready for a black president or a woman president' pamoja na kuwa watasherehekea miaka 232 ya uhuru wao hapo July 4, 2008.

Huo ndio ukweli. Itakuwa ni maajabu ya hali ya juu kama mgombea wa Democrats akiwa Obama halafu apite katika uchaguzi hapo Nov, 2008.


Karl Peters aliimwaga Sumu yake kwa watu weusi zamani zile lakini inaelekea nguvu yake bado inafanya kazi mpaka leo hii.

Inaelekea kwamba kuna weusi au wa njano wawezao kujikomba kwa KKK na kuwashabikia kwa siasa na misimamo yao ya white supreme tu kwa sababu ni wazungu, hata kama wao wanatengwa maili millioni.

Mzungu ndo awezaye kila kitu hapa Amerika wakati viwanja vyote vya Research za Technolojia vimejaa Watu wasio wazungu.

Hii ni karne ya 21 hata hivyo hatulazimishi mtu kuishi karne hii aweza fanya time travel akaishi karne ya 19 au hata 18. Ruksa

Zamani hizo watu waligoma wakaahidi hata kujiua kwa kudai kwamba Meli ya Chuma haito weza elea. Kiko wapi?

Wengine mwishoni mwa karne ya 19 walicheka wazo la kutengeneza chombo cha kusafiria angani wakidai binadamu aliumbwa kutembea ardhini. Wako wapi? Watu tunasafiri na mapipa kama tunaria.

Makundi hayo mawili ya wapingaji yalikuwa na kitu kimoja common.
Walifikia upeo wa njozi zao.
 
Hillary kwa maoni yangu hahitaji kuwa negative dhidi ya Obama ili kujihakikishia ushindi.

Amtumie sana Bill na pia azungumze kwa confidence na pia awe tayari kuomba sahamahi kwa kuruhusu uvamizi wa Iraq ambao haukustahili.

Akiamua kuwa negative basi ndio asahau ndoto zake za kurudi WH.
 
Tangu lini Mwantumu Malale amekuwa Waziri?
 
Well- Obama is ok though not experienced kama Clintons- in addition he is not black enough!

However, I like his honesty na unavyoweza kuongea kuvutia audience!

Je history itawezekana US? Abama- a black Afro-American or Hillary a white woman? Or someone else?

Utakuwa mchuano mkali!
 
Karl Peters aliimwaga Sumu yake kwa watu weusi zamani zile lakini inaelekea nguvu yake bado inafanya kazi mpaka leo hii.

Inaelekea kwamba kuna weusi au wa njano wawezao kujikomba kwa KKK na kuwashabikia kwa siasa na misimamo yao ya white supreme tu kwa sababu ni wazungu, hata kama wao wanatengwa maili millioni.

Mzungu ndo awezaye kila kitu hapa Amerika wakati viwanja vyote vya Research za Technolojia vimejaa Watu wasio wazungu.

Hii ni karne ya 21 hata hivyo hatulazimishi mtu kuishi karne hii aweza fanya time travel akaishi karne ya 19 au hata 18. Ruksa

Zamani hizo watu waligoma wakaahidi hata kujiua kwa kudai kwamba Meli ya Chuma haito weza elea. Kiko wapi?

Wengine mwishoni mwa karne ya 19 walicheka wazo la kutengeneza chombo cha kusafiria angani wakidai binadamu aliumbwa kutembea ardhini. Wako wapi? Watu tunasafiri na mapipa kama tunaria.

Makundi hayo mawili ya wapingaji yalikuwa na kitu kimoja common.
Walifikia upeo wa njozi zao.

DUH! EBWANA UMENIACHA HOI ILE MBAYA HAPO..COULDNT PUT IT MUCH BETTER THAN THAT

KUDDOS!
 
Well- Obama is ok though not experienced kama Clintons- in addition he is not black enough!
Lets see where this OBAMA IS NOT BLACK ENOUGH is coming from



LAKINI HUYO HUYO andrew young AMBAYE amaburuza JK anavyotaka huko nyuma alikuwa hivi:



"In 1994, President Bill Clinton appointed Young as chairman of the Southern Africa Enterprise Development Fund, a $100 million privately managed fund to provide equity to businesses in 11 countries."
http://aysps.gsu.edu/people/YoungA.htm

'nuff said.

patronage signed sealed sponsored now delivered.
 
First of all, I congratulate Sen. Obama for beating the Clinton machine. I know its gonna get ugly starting today in NH, going forward. But I think this is the guy who can rewrite the history of America. Why? Obama's campaign for President is built on the premise of uniting America to solve issues of historic importance. He is focusing on his ability to overcome partisan bickering, to work across the aisle, and to produce real results. The idea that someone would be able to unite America and get the government to productively work on important issues sounds idealistic. Understanding that cynicism, Obama stresses that Americans must embrace the "Audacity of Hope." Hope is an irrational belief, a faith in optimism, but hope is also a unifying emotion, one that resonates with people across the globe. By emphasizing that Americans should all believe in the possibility of a new type of politics, not negative or smearing politics. Obama has converted many people, including Republicans, to believe in the possibility of the anti-Bush, a non-ideological leader that respects those who disagree with him and works to find not the Democratic solution, not the Republican solution, but the best solution. Obama, has struck a chord across the country as shown by various polls, and enormous crowds.
Winning Iowa was a very big step, although not everybody who wins Iowa ends up being nominated as a party's candidate. However, I think the country had seen what had happen in Iowa last night, and I am hoping that they are going to carry the momentum. I would say that when it comes down to selecting a nominee for the Dems, if the choices are Obama vs. Clinton, I think the party will go with Obama. Mama Clinton atasumbuliwa sana na GOP machines...ana some skeletons kwenye closet yake kwa mfano, zile secret documents zake akiwa White House alizoomba zisiwe released kwa Public until after election, her authorization of Iraq war vote in the Senate vs. Obama who is the fresh face, well educated, charismatic politicians, although Fox News and the right wing knuckleheads like Sean Hannity, and Rush tried to link him with some fundamental Islam back in the days.
To conclude, I think after 8 years of Clintonians and 12 years of the Bushes in the White House, Americans are ready for a change and I will assure you.....Barack Obama akishinda NH.....He's going be the first nominated African American candidate from the Dems...lets sit back and watch this cinderella story unfloding.
 
First of all, I congratulate Sen. Obama for beating the Clinton machine. I know its gonna get ugly starting today in NH, going forward. But I think this is the guy who can rewrite the history of America. Why? Obama's campaign for President is built on the premise of uniting America to solve issues of historic importance. He is focusing on his ability to overcome partisan bickering, to work across the aisle, and to produce real results. The idea that someone would be able to unite America and get the government to productively work on important issues sounds idealistic. Understanding that cynicism, Obama stresses that Americans must embrace the "Audacity of Hope." Hope is an irrational belief, a faith in optimism, but hope is also a unifying emotion, one that resonates with people across the globe. By emphasizing that Americans should all believe in the possibility of a new type of politics, not negative or smearing politics. Obama has converted many people, including Republicans, to believe in the possibility of the anti-Bush, a non-ideological leader that respects those who disagree with him and works to find not the Democratic solution, not the Republican solution, but the best solution. Obama, has struck a chord across the country as shown by various polls, and enormous crowds.
Winning Iowa was a very big step, although not everybody who wins Iowa ends up being nominated as a party's candidate. However, I think the country had seen what had happen in Iowa last night, and I am hoping that they are going to carry the momentum. I would say that when it comes down to selecting a nominee for the Dems, if the choices are Obama vs. Clinton, I think the party will go with Obama. Mama Clinton atasumbuliwa sana na GOP machines...ana skeletons kibao kwenye closet yake vs. Obama who if this fresh face, charismatic politicians, although Fox News and the right wing knuckleheads like Sean Hannity, and Rush tried to link him with some fundamental Islam back in the days.
To conclude, I think after 8 years of Clintonians and 12 years of the Bushes in the White House, Americans are ready for a change and I will assure you.....Barack Obama akishinda NH.....He's going be the first nominated African American candidate from the Dems...lets sit back and watch this cinderella story unfloding.

Interesting OBSERVATIONS
 
Wengi tungependa Bro Barack Hussein Obama ashinde moja kwa moja mpaka pale Nyumba Nyeupe. Lakini, ni mapema mno kwa sasa kuanza kusherehekea. Tumuombe Mwenyezi Mungu. Hawa jamaa, hawatabiriki. Sikujua wangmchagua GWB kwa mara ya pili.

Kama walivyokwisha sema walionitangulia, tungependa Obama ashinde sio kwa Ujaluo wake au sura yake, bali kwa msimamo na dhamira yake nzuri. Ile hotuba yake ya jana ilikuwa na mvumo, mvuto na msisimko usiokuwa wa kawaida
 
Nasoma Associated Press hapa Clinton goes for young voters na AP nina quote "Just seconds into her speech Friday morning, Clinton was declaring herself the candidate for America's youth - stealing a page from the new Democratic presidential front-runner, Barack Obama." Kweli I think its getting interesting from here forward...Jana usiku na leo kwenye morning news programs kila candidate alikuwa anadeclare kwambe they are for change.
 
Skeletons zote za Hillary zimeshaanikwa hadharani hakuna jipya, lakini Republicans hawatasita kuzirudia. Skeletons za Obama nyingi zitakuwa mpya ambazo wengi hawazijui hivyo zitakuwa na negative impact kubwa kuliko za Clinton. Republicans' machine wapo kazini wakikusanya data zote za Obama kuhusiana na 'mabaya' aliyoyafanya akiwa kijana ambayo yatamrahisishia mgombea wao kutinga tena WH kwa awamu nyingine ya miaka 4.

The Iowa Independent piece mentions two relevant polls which touch on the issue, and the results are telling:

A survey of 1,010 adults conducted by Scripps Howard News Service and Ohio University finds many Americans voice concerns about candidates who've used cocaine.

Adults in the survey were equally troubled over prospects of a president who tried cocaine in his youth, something Sen. Barack Obama has admitted. Only 34 percent said they think most Americans would accept this while 58 percent said it would not be acceptable.

In a New York Times poll in June, 74 percent of respondents said they did not think most people they know would vote for a presidential candidate who has ever used cocaine.
 
Guys nimeshindwa kujizuia na nimeona why not have it here in SIASA after all he has proved kuwa wazee muda wao umekwisha and whats more? I have a friend ambaye ame camp na team OBAMA in New Hamshire so i will be giving you first hand data from inside. This guy inspires from a place of majority, not minority. When you stop believing in division, as Obama has, you stop living in a minority mind and start believing in Humanity. Humanity won last night. Obama refuses to be labeled, divided or reduced. He asks people to think, feel and do. Use your head, heart and hand.

IF you look at my avatar on the left you will understand where i am coming from. Politicians always ask us to simply trust them, they will take care of us, they will do the hard work and all they want from us is our vote. Obama asks the opposite. Maybe watawala wetu can learn a thing or two from this guy


brk.jpg

GAME THEORY,
Ahsante sana kwa kuanzisha thread hii na kuonyesha kuwa unam-support Bwn. Obama.

Labda kwa kuanza tu kabisa niji-preempt tu kuwa, mimi siyo mtaalam wa mambo ya International Relationships au geopolitic issues kama jinsi wewe na wengine wengi mlivyo hapa JF. Na ninawashukuru kwa michango yenu mingi kwa kweli.

Basi nikisha sema hivyo, kuna maswali ambayo najikuta nikijiuliza, IMEKUWAJE all of a sudden on your part there is a 'change of heart'...Imekuwaje ndugu Game ghafla tu umeelemea upande wa Obama? MAANA KWENYE THREAD HII KUMHUSU OBAMA uliyo anzisha mwenyewe ulikuja juu kuhusu kutoridhishwa kwako na mambo yake na hilo kama ulivyo elezea lilitokana na tamko moja tu lililoenda kinyume na ujuayo wewe. Maneno yako ni kama ifuatavyo:

http://thescotsman.scotsman.com/int...m?id=1202662007

I liked Obama, but it seems he's as nutty as the rest of US politicians.Pathetic little coconut.
pia..

Here is what he actually said.

"I understand that President Musharraf has his own challenges. But let me make this clear. There are terrorists holed up in those mountains who murdered 3,000 Americans. They are plotting to strike again. It was a terrible mistake to fail to act when we had a chance to take out an al Qaeda leadership meeting in 2005. If we have actionable intelligence about high- value terrorist targets and President Musharraf won’t act, we will."

Its a very stupid statement because of the political ramifications in Pakistan if such an attack ever went ahead. You would fuel resentment in the ISI, military and on the street and bring Pakistan one step close to going hostile to the US.

Hammering AQ with a few strikes in the tribal areas is not worth putting the whole of Pakistan at risk.

Katika hiyo thread, baada ya tamko lako, hukusema kingine bali ku-comment tu kuwa, chochote walichosema wana JF ni 'interesting'. Sasa ndugu, nikiwa mtu wa kupenda kueleweshwa, ili nami ni muunge Bwn. Obama katika mwangaza ambao umekufanya wewe ubadili mawazo kwa mara nyingine na kum-endorse tena, tafadhali sana, nitafurahi kama utaeleza yaliyokufanya kurudi kundini kwake.


Na nikiwa na swali la nyongeza, Ikitokea kuwa ametamka maneno mengine ambayo hayataendana vizuri na knowledge yako au yatapingana na msimamo wako (wowote ulionao sasa hivi), je, utakuwa tayari kuanzisha thread nyingine ya kumbondea? Au safari hii umeweka msingi imara na hutamgeuka Senator huyo?! Ni haya tu, Ahsante.


SteveD.
 
Well- Obama is ok though not experienced kama Clintons- in addition he is not black enough!
However, I like his honesty na unavyoweza kuongea kuvutia audience!

Je history itawezekana US? Abama- a black Afro-American or Hillary a white woman? Or someone else?

Utakuwa mchuano mkali!

He is not black enough....in America who is black enough? And what is black enough? You must not know well the history of America
 
Back
Top Bottom