US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Hiyo hiyo media ikianza kum-scrutinize Obama utaona watu wanaanza kusema iko biased against him. Kwa kweli mpaka sasa hajapata scrutiny kama aliyopata Mama..tena kwa miaka mingi tu....

wewe na huyo mama 'ako mna-whine too much.........kama umeangalia debate ya juzi, ulichoona ndio miongoni ya mambo yanayofanya mama anakuwa na maadui wengi!!

ile rant yake in Cincinatti, "the sky will open and blah bla..." in DC na kile kituko kwenye ile factory............anapata bad coverage, kwasababu ni yeye mwenyewe anajitakia!!!. blame billary for billary's misfortunes with the media
kimsingi anakuwa too "animated," kusema robot linaloweza ku-switch emotions kama negative feedback yeyote!!! she is unreal.....i truly believe, she is a psycho case!!!.
.
 
Hivi ni mimi tu au babu McCain vimikono vyake ni kama anataka kupata Seizure. Jana katolewa nishai ile kinoma and It's On. Yeye amesema watakaa Iraq for 100 more years.

Mccain because of the injuries he suffered after his plane went down and the ensuing beatings he received over five years of torture, he cannot raise his arms above shoulder height when gesturing or waving.
 
Nyani Ngabu nasubiria mamako Hillary atoe kituko kingine kabla ya siku ya Primary on Tuesday..
 
Nyani Ngabu nasubiria mamako Hillary atoe kituko kingine kabla ya siku ya Primary on Tuesday..

Kheee keshakuwa mamangu tena...haya bana...

Sasa subirini...IRS wamemshikia bango Jeremiah Wright (Pastor wa Osama)...halafu huyu Jeremiah mbaguzi kishenzi....keshawahi kumpa mbaguzi mwenzake Farrakhan tuzo...Halafu ndio aliowafungisha ndoa Osama na mke wake...Bill O na Sean Hannity watakuwa na field day...in fact wameshaanza...
 
hajapata scrutiny? jinsi unavyomchukia Obama wewe ungemwachia kweli kama una chochote...au mnasubiri aingie WH ndio muanze,mseme tuu hamna kitu hapo na kawashinda kila kitu!

Huwezi kulinganisha scrutiny ya Mama ambayo imeanza kabla hata Obama hajabalehe na scrutiny ambayo imeanza kwa Obama sasa hivi....huwezi kulinganisha hata kidogo. Utakuwa umepungukiwa akili kama unaamini scrutiny aliyoanza kupata Obama inalingana na ya Mama
 
Hiyo hiyo media ikianza kum-scrutinize Obama utaona watu wanaanza kusema iko biased against him. Kwa kweli mpaka sasa hajapata scrutiny kama aliyopata Mama..tena kwa miaka mingi tu....

Jamani, ngoja niweke ushabiki pembeni na tujadili na Nyani suala hili la upendeleo ya media:
Kwanza nakubali kwamba Hillary amekuwa scrutinized sana na media kwa miaka mingi, lakini this is what we call political baggage. Walikuwa na scandals kibao katika WH miaka ile ya Bill, personal na professional. But we have to also take into consideration that hiyo '35 years of experience' ina price. On the other hand, mimi naamini media wamejaribu kutafuta story kuhusu Barack lakini ni ngumu kupata meaningful juicy story. Walijaribu hiyo ya Renzo wakakuta hamna kitu,wamejaribu issue ya bangi wamegonga mwamba, wakaanza kusikiliza rumours kama ni mwislam etc lakini sika-backfire. Ndiyo maana Karl Rove amewaambia GOP wasijaribu kum-smear Obama maana watachemka. I think that in all fairness Hillary ana kazi kubwa zaidi na media kuliko Obama but she cannot cry foul kwa sababu she WAS part of Bill's WH (ndo maana anajifagilia na mume wake anakazana kuwa ana hiyo experience ya 35 yrs). It's a catch 22!
 
Kheee keshakuwa mamangu tena...haya bana...

Sasa subirini...IRS wamemshikia bango Jeremiah Wright (Pastor wa Osama)...halafu huyu Jeremiah mbaguzi kishenzi....keshawahi kumpa mbaguzi mwenzake Farrakhan tuzo...Halafu ndio aliowafungisha ndoa Osama na mke wake...Bill O na Sean Hannity watakuwa na field day...in fact wameshaanza...

...fear monger!
 
Jamani, superdelegate mwingine kahama from Hillary bandwagon to Barack bandwagon!
http://www.dallasnews.com/sharedcontent/APStories/stories/D8V385V00.html

On a day when Barack Obama appealed to thousands of Texas supporters to add momentum to his surging campaign, the Illinois senator received boosts from two influential superdelegates.

State Rep. Senfronia Thompson of Houston defected from Sen. Hillary Rodham Clinton's presidential campaign Wednesday and joined a growing list of superdelegates to endorse Obama for president.

"I'm honored to have earned the support of Representative Thompson and am pleased that she'll play an important role in advancing our grassroots movement for change in Houston and across Texas," Obama said in a statement. "Throughout her three decades in the Legislature, she's been a tireless advocate for working families and when I'm president we'll work together to put the American dream within reach of every child in Texas and across our country."

Thompson, one of the longest serving Democrats in the state House, is one of the party insiders who, as a superdelegate, help choose the Democratic nominee at the national convention this summer in Denver. In recent weeks, more than two dozen superdelegates have climbed aboard Obama's campaign.

Her defection was the second loss of the day for Clinton. Civil rights leader and Atlanta congressman John Lewis, a Democratic congressman from Atlanta, is the most prominent black leader to defect from Clinton's campaign in the face of recent near-unanimous black support for Obama.
 
Wanafiki wote hao wanao-defect...sasa tuseme Mama anaishia kupata nomination watafanya nini....washenzi kabisa hao....ningekuwa mimi Osama ningewatosa tu kwani nisingependa endorsement za kinafiki
 
Wanafiki wote hao wanao-defect...sasa tuseme Mama anaishia kupata nomination watafanya nini....washenzi kabisa hao....ningekuwa mimi Osama ningewatosa tu kwani nisingependa endorsement za kinafiki

Hawa superdelegates are opportunist walikuwa wanajua Hillary atashinda kiulaini sasa wameona mambo yamekuwa tofauti na walivyotarajia wameamua kubadili mawazo yao. Lakini mi nasema hii ni siasa. Na huwezi kuavoid watu kama hawa. Lakini hebu tuseme ule ukweki ingekuwa the other way around unafikiri, Nyani, Hillary angekataa endorsements zao? I think NOT.
Mi nadhani hii ni dalili ya kuwa Barack ameongeza perception ya kuwa anaweza kushinda hata general elections that's why anapata so much attention.
 
Wanafiki wote hao wanao-defect...sasa tuseme Mama anaishia kupata nomination watafanya nini....washenzi kabisa hao....ningekuwa mimi Osama ningewatosa tu kwani nisingependa endorsement za kinafiki

....mbona waliompa mama hawaitwi wanafiki,bora obama zinamfuata bila kuziomba lakini mama nasikia ana campaign kabisa...nasikia mnataka Florida na Michigan ziwepo na zenyewe,kazi ipo!
 
Wanafiki wote hao wanao-defect...sasa tuseme Mama anaishia kupata nomination watafanya nini....washenzi kabisa hao....ningekuwa mimi Osama ningewatosa tu kwani nisingependa endorsement za kinafiki

Nyani acha kuchemsha, jina gani hilo unatumia hapo? stick to the issues, that is a tactic used at the times of desparation, mimi nilifikiri campaign ipo bado tight sasa nini kukata tamaa mapema hivyo and start calling people strange names?

By the way mwambie Mama Clinton aache jazba, inamuharibia tu ile watu wanaanza kumuogopa na kuhamisha support kwa Obama.
 
....mbona waliompa mama hawaitwi wanafiki,bora obama zinamfuata bila kuziomba lakini mama nasikia ana campaign kabisa...nasikia mnataka Florida na Michigan ziwepo na zenyewe,kazi ipo!

Hawa wanao-defect sasa tunawaita wanafiki kwa sababu wana-jump ship katikati ya safari tena wakati meli imekumbwa na kadhoruba kadogo. Kwa nini hawakuweka kambi huko tokea mwanzo...motive yao ni nini hasa...?
 
Hawa wanao-defect sasa tunawaita wanafiki kwa sababu wana-jump ship katikati ya safari tena wakati meli imekumbwa na kadhoruba kadogo. Kwa nini hawakuweka kambi huko tokea mwanzo...motive yao ni nini hasa...?

Aliyesema Kwenye siasa hakuna marafiki au maadui wa kudumu bali MASLAHI ya kudumu hakukosea.

NN Check hizi quotes

I had no idea how bizarre it is,” Sen. Clinton told reporters last week. “We have grown men crying over it.”

SOURCE: Two-Step Vote Could Trip Up Clinton

“None of this is surprising to me,” Hillary Clinton told Woodruff. “You know, last spring when I looked at how the race was shaping up, I knew that it would be a close contest and I assumed it would be with Sen. Obama and at that time I said, ‘We have got to start thinking about Texas. We have to start thinking ahead.’”
SOURCE: Clinton: Saw Texas Shootout with Obama Coming

Sasa kama she saw far enough into the future mbona aliplan campaign ya muda mfupi ambayo iliishiwa na hela?
 
Aliyesema Kwenye siasa hakuna marafiki au maadui wa kudumu bali MASLAHI ya kudumu hakukosea.

NN Check hizi quotes

I had no idea how bizarre it is,” Sen. Clinton told reporters last week. “We have grown men crying over it.”

SOURCE: Two-Step Vote Could Trip Up Clinton

“None of this is surprising to me,” Hillary Clinton told Woodruff. “You know, last spring when I looked at how the race was shaping up, I knew that it would be a close contest and I assumed it would be with Sen. Obama and at that time I said, ‘We have got to start thinking about Texas. We have to start thinking ahead.’”
SOURCE: Clinton: Saw Texas Shootout with Obama Coming

Sasa kama she saw far enough into the future mbona aliplan campaign ya muda mfupi ambayo iliishiwa na hela?

........mzushi huyu mama, she did NOT saw it coming!!.
Umesikia na wao leo wame-denounce and reject ile rhetoric ya yule mama latino in TX aliyepiga madongo kwanini latinos hawa-vote blacks....
 
........mzushi huyu mama, she did NOT saw it coming!!.
Umesikia na wao leo wame-denounce and reject ile rhetoric ya yule mama latino in TX aliyepiga madongo kwanini latinos hawa-vote blacks....

Kwani kasema uongo...? Uhasama kati ya weusi na walatino upo ila watu wanafiki wanadai haupo....
 
........mzushi huyu mama, she did NOT saw it coming!!.
Umesikia na wao leo wame-denounce and reject ile rhetoric ya yule mama latino in TX aliyepiga madongo kwanini latinos hawa-vote blacks....

Jana alipoulizwa kuhusu hiyo issue majibu yake yalikuwa haya

Q (paraphrase) Is this something you reject and denounce?

"People have every reason to express their opinions. I just don't agree with that. I think that we should be looking at the individuals who are running."

Q - Do you still want her support, though?

Clinton laughed and said, "You know This is a free country. People get to express their opinions. A lot of folks have said really unpleasant things about me over the course of this campaign. You can' take any of that as anything other than an individual opinion."

"I would urge all of my supporters and Sen. Obama's supporters to stay focused on the two of us,. Don't vote on race don't vote on gender, vote on the qualifications each of us present for the presidency."

Q- But you criticized Obama for not rejecting the support from Farrakhan.

"I don't see any comparison at all with what you're referring to and I don't know the facts of what you're telling me over the TV. So I'm just going to repeat that I want people to judge us on the merits."
 
Aliyesema Kwenye siasa hakuna marafiki au maadui wa kudumu bali MASLAHI ya kudumu hakukosea.

NN Check hizi quotes

I had no idea how bizarre it is,” Sen. Clinton told reporters last week. “We have grown men crying over it.”

SOURCE: Two-Step Vote Could Trip Up Clinton

“None of this is surprising to me,” Hillary Clinton told Woodruff. “You know, last spring when I looked at how the race was shaping up, I knew that it would be a close contest and I assumed it would be with Sen. Obama and at that time I said, ‘We have got to start thinking about Texas. We have to start thinking ahead.’”
SOURCE: Clinton: Saw Texas Shootout with Obama Coming

Sasa kama she saw far enough into the future mbona aliplan campaign ya muda mfupi ambayo iliishiwa na hela?

Unajua siasa ni mchezo wa maneno...na nina uhakika kabisa hakuna mwanasiasa ambaye hajawahi kusema mambo yanayojikanganya...ni kawaida hiyo
 
Back
Top Bottom