YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,243
- 111
tatizo kubwa la Dick Morrison na Clintons ni loyalty!!
matatizo yalianza kule kwenye ile scandal ya whitewater, ndio maana Dick alikuwa reluctant kujiunga na team clinton....maana kulikuwa tayari na ka-pattern flani hivi ka kina clinton kuwatosa marafiki mambo yanapokuwa mabaya(remember the McDougals na Gavana Guy).
Dick analia na betrayal ya kina Clintons, ana amini mpaka leo, ile issue ya prostitute ilikuwa ni setup, ana amini kwamba alikuwa used na baadae kutoswa vibaya licha ya ku-run a successful campaign!!
hasira zikamzidi baada ya lewisky scandal kufumuka(connect dots hapo, DOUBLE STANDARDS)............
lakini kina Billary wanakatabia kabaya sana ka ku-betray marafiki, kumbuka Vincent Foster(the rumor has it kwamba,huyu alikuwa ana msaidia unyumba Bill kwa Hilly, alijiua akiwa kama sehemu ya whitewatergate investigation, wakti huo alikuwa whitehouse attorney). mfarakano wao na mtu kama Louis Freeh(FBI chief), the McDougals, Gov. Guy, Miss Trippi, Al Gore.....na list goes on and on!!!
Billary ni wabaya sana, all they care ni themselves and power.......dizaini ya Machiavelli bila modifications.!!!
matatizo yalianza kule kwenye ile scandal ya whitewater, ndio maana Dick alikuwa reluctant kujiunga na team clinton....maana kulikuwa tayari na ka-pattern flani hivi ka kina clinton kuwatosa marafiki mambo yanapokuwa mabaya(remember the McDougals na Gavana Guy).
Dick analia na betrayal ya kina Clintons, ana amini mpaka leo, ile issue ya prostitute ilikuwa ni setup, ana amini kwamba alikuwa used na baadae kutoswa vibaya licha ya ku-run a successful campaign!!
hasira zikamzidi baada ya lewisky scandal kufumuka(connect dots hapo, DOUBLE STANDARDS)............
lakini kina Billary wanakatabia kabaya sana ka ku-betray marafiki, kumbuka Vincent Foster(the rumor has it kwamba,huyu alikuwa ana msaidia unyumba Bill kwa Hilly, alijiua akiwa kama sehemu ya whitewatergate investigation, wakti huo alikuwa whitehouse attorney). mfarakano wao na mtu kama Louis Freeh(FBI chief), the McDougals, Gov. Guy, Miss Trippi, Al Gore.....na list goes on and on!!!
Billary ni wabaya sana, all they care ni themselves and power.......dizaini ya Machiavelli bila modifications.!!!