US Election Coverage 2008

Mambo vipi wadau...? Duh poleni kwa mkasa ulioikumba forum..
NN nadhani juzi kwenye debate na kwenye mkutano wa Bill Clinton in Beaumont TX ni dalili za wao kukubali matokeo.

Issue ya emails, hazikuanza kutumwa leo wala jana its been going on for weeks if not months sasa iweje mama azione leo ebo?
 
Watu weusi ni Wamarekani pia. Tatizo lenu nyinyi mmeshalewa u-Obama na sasa hamtumii vichwa vyenu kuchanganua mambo badala yake mnatumia hisia...ndio maana hajibu hoja kwa hoja bali mnajibu hoja kwa shutuma....kwikwikwiiiiii

nadhani ni kinyume chake!!LOL
issues zipo wazi, kila mtu anajua nini ni tatizo na wapi panahitaji fixing!! kukutana in NO hakuta solve chochote zaidi ya lipservice.
Kwenye debate ya juzi huyo HRC nini cha maana alichofanya au kuongea?? zaidi mie niliona anajipendekeza tu..........tuna tumia vichwa vyetu na ndio maana tunataka nu blood in washington!! tumechoka na "franchise politics" zinazoendeshwa kiukoo utafikiri tupo saudi arabia!!
 
Watu weusi ni Wamarekani pia. Tatizo lenu nyinyi mmeshalewa u-Obama na sasa hamtumii vichwa vyenu kuchanganua mambo badala yake mnatumia hisia...ndio maana hajibu hoja kwa hoja bali mnajibu hoja kwa shutuma....kwikwikwiiiiii

Baadhi ya Watu weusi hao hao wakiongozwa na viongozi wao walisema he is not black enough, sasa leo amekuwa dili?

cheza kidogo na Obama hapa
 

Mkuu Icadon,
Nice to see you burazakaka, sema wewe bwana, sie wengine tukisema tuna onekana ni obama-maniacs!!!.
ile ya leo ni stunt kama ya NH na CT.....juzi kwenye debate alikuwa conciliatory, leo ghafla bin vuu ana swing kusema Tyson!! sasa huyu mama vipi? mbona flipflopping kama kadata........anatumia tactics ambazo zime-prove failure. Unakukumba in WS, alikuja na "P-bomb" it didn't work. Hii ya leo inadhihirisha kwamba, she is a "mad candidate."

Ralph Nader kesho kwenye MEET THE PRESS....kuna wasiwasi kwamba anaweza kutangaza kugombea kama alivyofanya 2000!!! what do you think.....?
 

Huyu Nader anakuja kuchukua kura za Dems sasa..naye si atulie tuu hasomi alama za nyakati?

alafu mnaonaje McCain Camp yake kuongozwa na malobbyst?
 
Huyu Nader anakuja kuchukua kura za Dems sasa..naye si atulie tuu hasomi alama za nyakati?

alafu mnaonaje McCain Camp yake kuongozwa na malobbyst?

McCain ana skeletons nyingi sana kwenye closet, yaani ni mwepesi sana kumkamata uwongo!! kwanza ishu yake na Vicky Iseman bado haijatulia ingawa NYT hawana evidence nzuri zaidi ya anecdotes.
Kuna issue ya paxicco na ma-lobbyst wengi wengine!! campaign chair wake, congressman from AZ yupo indicted na "big brother" kwa shady land deals!!? Ikifika fall hapa patakuwa patamu sana, nasubiri hizo negative ads tuone.

Babu kumbe bado wamo, mambo ya "mechi za ugenini." Ni male version ya "Urban Cougars." kwi kwi kwi kwi.......
 

He he mzee nahisi alikula kizigo..Swali, Mitt Romney atarudisha majeshi?
 
He he mzee nahisi alikula kizigo..Swali, Mitt Romney atarudisha majeshi?

Mitt hawezi kurudi, he was going to lose anyway. Pia kesha endorse McCain, its a done deal!!.
 

Ralph Nader kugombea....that's great
 

Yaani hili li-New York Times ni gazeti la kinafiki kweli!! Wanam-endorse halafu wanakuja kumzushia skendo....ndio maana naichukia liberal media
 
Wote wanalipwa maishani mwao kutokana na midomo yao. Angalia mwenye mdomo mpana zaidi ili kujua yupi atakuwa rais wa Marekani baada ya Bush.

 


...matatizo ya kulala kwenye radio za kina rush limbaugh haya,wakati anaanza campaign mlianza kumuita ooooh this guy is too much policy wonk sasa leo naona mnamwita no substance baada ya kuwapa vipigo mfululizo,nakuambia kila kitu alichojaribu Clinton naona kimeshindikana sasa tunamsubiri babu aje na vita vyake vya miaka 100,hata Gingrich kishawaambia babu has a ZERO chance!
 

Kupata platform ya kuongea behind the Internet siyo nafasi ya kubwabwaja bila facts. Soma thread hii

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=852&highlight=obama

nilipost 21st November 2006, 08:08 AM pengine kabla ya wewe kujiounga JF. Read what I said then na linganisha na mambo nayoongea sasa kama nimetoa kwa huyu Rush. Hivyo vipigo hata JK alitupa vipigo lakini kitu nachokataa hata kama ame brainswashed most of Americans and the rest of the world hawezi kufanya hivyo kwa kila mtu. There is nothing that he is talking about. Yes, anaweza kuwa president but I am not on his side. I have no reason why I should support him. Do I have to support him because he wants to create a system so employers can verify that their employees are legally eligible to work in the U.S.? We must be very stupid.
Is Iraq the problem? Kama akiondoa majeshi ya Marekani Iraq hate dhini ya wamarekani itaisha? Kwa kuwa wamarekeni ni wajinga wa kutosha wanadhani Iraq ndiyo tatizo. Haya matatizo yo ya waislam yanaanza kwa marekani kuweka base kwenye so called holy land. Kwa nini asisema atayaondoa huko na kuyapeleka Vatican?
 
Nyani
Huyu jamaa kwa kweli ameshawachota akili watu wengi sana wakati mwingine namkumbuka Mtikila na Mrema walishawahi kufanya kitu kama hiki. Tutapambana hadi dakika ya mwisho. Eti anasema ata unite DC wakati amei divide Dems kuliko mtu yeyote. Hawa Democrats wameshashindwa kwa ajiri ya upumbavu wao. GOP wako very smart baada ya uchagusi tutasikia tu kuwa kura zimeibiwa.
 

It is already a law my friend. Check out the new I9 forms and you will know. Each employer is now (since December 07) is required to use a new form I9 which does force an applicant to show prrof of being US citizen, PR or work permit. Gone are state ID, and SSN!
 


Sam: Hata mimi nilikuwa naamini hivyo. Lakini niliamua kufanya jitihada kidogo kuhusu nini hasa issues anazosimamia Obama beyond yale anayoyaongea jukwaani. Nilipoenda kwenye website yake nimeona jamaa ana mawe makali sana na kwa maoni yangu kuna maeneo ana sera nzuri zaidi kuliko hata Hillary. Kwa hiyo, yes, hata mimi bado simuungi mkono kabisa huyu mshikaji lakini sababu zangu sasa hivi sio kwamba hana substance. Hebu jaribu kupitia hizi website halafu nenda kwenye issues niambie kama hamna substance huko.

http://www.barackobama.com/index.php
Nimependa zaidi sera yake kuhusu elimu hii hapa: http://www.barackobama.com/issues/education/

Unaweza pia linganisha na za Clinton hapa: http://www.hillaryclinton.com/?splash=1
 

maneno makali makali ya nini?? kwani ni ugomvi?? kikubwa ulichofanya hapo juu ni kuchekesha!! una imply kwamba woooote wana-support Obama ni wajinga kwasababu wapo brainwashed!!! sio kweli...ni wewe ulie brainwashed kwasababu unashindwa kuwa na mawazo binafsi!!
hiyo ya employers ku-verify "status" ya employees ni kila mgombea ana support hiyo. tena tayari ni sheria, na kwa taarifa yako ni kwamba haina meno na mbingu hazina mpango wa kuanguka.....illegals wataendelea kuajiriwa kama kawa!! hiyo sheria ni moja ya DC's show games ambazo watu kama wewe mnaingia "kingi" bila kuelewa the real intentions!!!.
Iraq war....wapi Obama kasema tatizo ni islam?? hata huyo clinton ana mpango wa kuondoa US GIs out of Iraq!!!
Eti JK naye alichota akili za wabongo........yaani unathubutu kum-compare JK na Obama?? unadhani hata Obama akishinda itakuwa ni kwa asilimia 80??
hii ni kampeni kaka........
 
Yes we can...ahahahahahaaa...hii inanikumbusha nguvu mpya, ari mpya, na kasi mpya....

Yaani nyie watu mnaomdharau McCain you have something coming your way. They will paint Obama an unpatriotic and believe me with John McCain the war hero...that is going to resonate. Tayari kina Obama wameshaanza ku-gaffe....sikiliza comment za Michelle...
 

Hahaha naona na wewe kaka sasa umeshaanza kuchotwa na Obama-mania...hawa wawili ktk sera hawana tofauti..kumbuka wote ni Democrats..kwa hiyo huwezi kuona tofauti kubwa sana. Tofauti kubwa iliyopo ni ya personality na style.

Mimi kinachoniudhi ni hawa washabiki wa Obama na wao kushambulia na kumtukana Mama hadi kufikia kusema kama akipata nomination hawatampigia kura. Come on, that's low down for them to be that way...they are both Democrats and whoever gets the nomination then all should rally behing him or her in November. Lakini hata iweje Republicans will win in November because they always resonate with the majority of the people in the US
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…