Nyani,
If you can't beat them join them. It is not too late to join the bandwagon. I voted today and it was Obama all the way. Achana na huyo McCain. Kwanza ni mzee na hana lolote. Na hata wale ambao wangemnyanyua wanasema he is not conservative enough.
.............thanks YNIM kwa kumuelewesha majita............nilipata wageni hapa tukawa tunashuhudia Obama anavyokanyaga.........woow!!
NN,
kwani una fikiri haya ma-tsunami yote ya ushindi yanatoka wapi?? ni after shocks ya zile endorsements, sasa ndio zina settle in ktk vichwa vibovu vya hawa wamarekani wavivu wa kufikiria.
Moveon.org, hawakugaragazwa, ila John Kerry alikuwa reluctant ku-utilize huduma zao....hiyo ni historia lakini, tunasonga mbele.
Uncle Teddy na Sura Ndefu, wame-deliver ile stimulus.....subiri check ya up to $$600 toka kwa Uncle Sam, halafu ooooooh Teddy hafanyikazi!!! ebo, huyo ndio legendary and veteran power broker in DC.
Siku Obama aliposhinda Iowa Caucas...kulikuwa na nay sayers. Nafikiri tukiangalia mitundiko ya mwanzoni mwa hii thread tutaona...I wish these people I am not naming them could come here now kama ambavyo Democrats walienda kutubu na kusema kura zao za kuidhinisha vita ya Iraq ilikuwa ni a Major mistake na hawa wana JF wenzetu wawe tayari kusema kwamba they under estimated Obama, kwa sababu what we are about to see katika hii nchi ya wenzetu ni HISTORIA in the making. Moto wa huyu jamaa (Obama) hauzimiki...ana support ya Republicans, Undecided, Democrats, young, old, whites, blacks, some latinos are starting to come his way, educated, uneducated, high income, low income, everything naangalia MSNBC hapa sasa hivi kwa sababu I cant stand Wolf Blitzer wa CNN na ma graph yao na I cant watch FIX NEWS. Nways wanamuonyesha Hillary anahutubia gallery kule El Paso, Texas. Mama anajitahidi kutoa tabasamu maskini lakini sura inaonyesha mambo sio mazuri. Kampeni yake imeanza kuchomoka magurudumu tena ya mbele...wana down play defeats kutoka super tuesday na leo usiku. Campaign manager mmoja ameondoka (quited) jana na kulikuwa na shake up pia... fundings zinakuwa ni issue..last week after super tuesday Hillary aliingia mfukoni kuikopesha kampeni yake $5 million. Sasa hivi they are not sure kama wataweza kushinda Ohio, Texas na Penn State, kwa sababu polls zina change na wapiga kura wana jump into the exciting Barack Obama's train. Inavyoonekana na pundits wanavyosema..leo usiku Obama atakuwa na another big Victory.
Lets sit and wait. Because this is more than the audacity of hope.
--Don't tell Mama, I am for Obama---
Nimeona comment yake...dah!!
Youve got conservative whites here, and I think there are some whites who are probably not ready to vote for an African-American candidate,Gov. Ed Rendell
Loh! Kwa kweli Obama sasa ni unstoppable! After tonight atakuwa ameshinda contests 8 to zip. At some point reality has to set in and for me this is it. I still have lots of admiration for Hillary, my girl. I blame it all on the media who haven't been nice to her. Oh well...such is life. Like I said before if she doesn't get the nomination I'm rooting for McCain.
Mzee hakuna haja ya kwenda kwa MacCain. Preference order yetu siku zote ilikuwa Hillary, Barack then MacCain. Sasa usiruke bwana. Acha huyu kijana achukue hii kitu, sasa kama ameweza kuiangusha hii machine kubwa ya akina Clinton hawezi kushindwa kuangusha hawa Republicans ambao wameganwanyika sana. Na usisahau pia kwamba hawa republicans tayari wana psychological disadvantage kwa sababu watu wengi wanaamini kwamba this time lazima Democrats wachukue hii kitu.
Lakini nimekubali hawa wenzetu wa Amerika wanaitangulia hii dunia kwa kila kitu. Yaani kwao hapendwi mtu, ni misifa tu ya mtu. Hii kitu nakwambia haiwezi kutokea kokote hapa duniani isipokuwa huko kwao tu. Sisi kwa uzuzu wetu tuliweza kumkataa Salim kwa sababu ya karangi kake kuwa na element za kiarabu, sisi kwa kweli tumepigwa zuzu!
This presidential race further entrenches the position of the USA as a very special country in the world!
Feb. 12 (Bloomberg) -- Wisconsin has lots of blue-collar, older and female voters who form the backbone of Hillary Clinton's base. It also has plenty of college students, progressives and upper-income independents who favor Barack Obama.
With an earlier start and more support from the state's political establishment, including the governor, Obama may have the edge in Wisconsin's Feb. 19 contest for the Democratic presidential nomination.
``Obama's got the momentum in this state, but I never rule out a Clinton,'' said Wisconsin Democratic Party Chairman Joe Wineke, who supported North Carolina Senator John Edwards. Both Obama, 46, and Clinton, 60, are vying for the endorsement of Edwards, who dropped out of the race Jan. 30.
Obama's campaign, according to an internal document published by Bloomberg News last week, projects a 7-point victory over Clinton in Wisconsin, garnering him 40 of the state's 74 delegates. Obama, a senator from neighboring Illinois, expects a close race statewide, except in Milwaukee, where blacks comprise a large share of the Democratic vote and he is likely to win decisively.
Victories
With at least one poll showing her ahead in Wisconsin, Clinton, a New York senator, is trying to slow her rival's momentum. Obama swept five contests last weekend, and is favored to win the Virginia, Maryland and District of Columbia primaries today.
A November battleground, Wisconsin is the only major contest next week. Hawaii will hold a caucus on the same day, though few delegates are at stake.
Wisconsin's socio-economic landscape mirrors the nation's: cities, suburbs and farmland, blue-collar and college towns, manufacturing communities that lost jobs to free trade, and a growing minority population in larger cities. The issues for Democrats -- health care, jobs, college costs, energy prices and the Iraq war -- echo concerns across the country.
To win, a candidate must ``excite the liberal Democratic base'' in Milwaukee, the largest city, and in Madison, the state capital and home to 40,000 college students, said Madison Mayor Dave Cieslewicz. Victory will also depend on a candidate's ability to ``excite independents, who are our largest voting group.''
Edwards' Backers
Cieslewicz, who had endorsed Edwards, said he believes most Edwards supporters will migrate to Obama, as some political and labor leaders already have.
Independents can vote in Wisconsin's primary, and according to exit polls from last week's Super Tuesday contests, these voters prefer Obama over Clinton by a 23-point margin. Even some Republicans said they would cross over.
``This is the first time I'll vote Democratic in my life,'' said Timothy Baldwin, 37, a Milwaukee lawyer. Four years ago, Baldwin attended the Republican National Convention; last week, he offered a nightclub he owns for a Super Tuesday party for Obama supporters.
Kathleen Falk, the top elected official in Dane County, disagrees.
Clinton, she said, is ``the first woman who excites independents, especially women independents.''
Obama Offices
Unlike Clinton, Obama has had offices for some time in Milwaukee and Madison, which has one of the largest Students for Obama chapters in the nation. He also has support from party figures such as Governor Jim Doyle, Representative Gwen Moore and Milwaukee Mayor Tom Barrett, and at least 16 state legislators. Both campaigns say they have volunteers in all 72 counties.
Clinton's top endorsements are from Falk, Lieutenant Governor Barbara Lawton and Representative Tammy Baldwin.
Neighboring states have chosen Obama. Minnesota, Iowa and Illinois favored him by large margins. Only Michigan, where Clinton was alone on the ballot, didn't.
In Wisconsin, where more than one in four voters is from a union household according to 2004 exit polls, labor is divided over which candidate to back.
The American Federation of State, County and Municipal Employees is mobilizing for Clinton; the Obama campaign rented its Milwaukee phone bank and office from the Service Employees International Union, which supports him.
And while the American Federation of Teachers endorsed Clinton nationally, the state's second and third largest AFT locals recently endorsed Obama.
Lyn Hildenbrand, 49, who works for a non-profit group and organized a Super Tuesday gathering for Clinton supporters in a bar she owns in Milwaukee, said ``the working-class population wants someone to show, not tell, us what they'll do.''
Nafta
Clinton, however, has been hurt in eastern Wisconsin's manufacturing corridor by her association with President Bill Clinton's support for the North American Free Trade Agreement, which many factory workers believe cost thousands of jobs in the region, said Peter Behrenstrung, United Auto Workers president for the Kohler Co. plumbing fixtures plant in the Sheboygan area.
Obama was the choice of 60 percent of UAW members from Wisconsin, Illinois, Minnesota and Iowa in a vote last November. The one-term senator has never voted on it and both he and Clinton now criticize Nafta.
Congressman Dave Obey, a former Edwards loyalist who endorsed Obama last week, said his rural and blue-collar constituents in northern Wisconsin hold anti-Nafta and anti-war views that could favor Obama.
Obey, 69, said he fears the hard-fought campaign could leave scars. He remembers the 1960 Wisconsin primary when John Kennedy defeated Hubert Humphrey: ``There are still Democrats in this state who won't talk to each other since.''
To contact the reporter on this story: Indira Lakshmanan in Wisconsin at ilakshmanan@bloomberg.net .
http://www.bloomberg.com/apps/news?p...GtwgA&refer=us
Mzee hakuna haja ya kwenda kwa MacCain. Preference order yetu siku zote ilikuwa Hillary, Barack then MacCain. Sasa usiruke bwana. Acha huyu kijana achukue hii kitu, sasa kama ameweza kuiangusha hii machine kubwa ya akina Clinton hawezi kushindwa kuangusha hawa Republicans ambao wameganwanyika sana. Na usisahau pia kwamba hawa republicans tayari wana psychological disadvantage kwa sababu watu wengi wanaamini kwamba this time lazima Democrats wachukue hii kitu.
Lakini nimekubali hawa wenzetu wa Amerika wanaitangulia hii dunia kwa kila kitu. Yaani kwao hapendwi mtu, ni misifa tu ya mtu. Hii kitu nakwambia haiwezi kutokea kokote hapa duniani isipokuwa huko kwao tu. Sisi kwa uzuzu wetu tuliweza kumkataa Salim kwa sababu ya karangi kake kuwa na element za kiarabu, sisi kwa kweli tumepigwa zuzu!
This presidential race further entrenches the position of the USA as a very special country in the world!
Indeed my friend, the US of A is a special country. Actually a lot of Americans believe this is the promised land. Love Tanzania but I also love the USA. This country has given me opportunities that I would not even have gotten in my own country. Right now I'm set to receive a $600.00 tax rebate check in the spring. I love America!!!
Mkuu nakubaliana na wewe 100% sisi wengine ni watoto wa pesants Tanzania na tunatoka familia hohe hahe lakini we made it. Hapa haijalishi where you are coming from or which clan you belong to, hapa ni ubongo wako nikimaanisha brain smartness na uchapaji kazi wako tu. Simaanishi kuwa Tanzania huwezi ku break through kama wewe unatoka kwenye background ya ulala hoi, hapana, lakini ubabaishaji mwingi na watu wengi wetu nchini hatuna tabia ya kusifia (kutoa encouragement), watu wengi wako negative..kwa mfano unaweza kuwa na ideas ya kufanya kitu fulani, ukiwashirikisha watu wako wa karibu the very first thing ni kukatishwa tamaa kwa maswali "Hivi utaweza wewe?". Hapa U.S. tunaambiwa its OK to fail so long as you try hard. Sorry sikumaanisha kutoka nje ya topic.