Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Uwezekano wa Obama, kuwa rais wa US huo bado haupo, US ina majimbo 51 so far ni uchaguzi wa jimbo moja tu ambalo hata Bill Clinton mwenyewe hakuweza kushinda, in fact ushindi wa Clinton ulianzia jimbo la Georgia, Iowans ni Conservatives na 93% ni wazungu, weusi ni only 3%, sheria za kura ni kwamba unajiandikisha tu na ukiingia kwenye chumba cha kupiga kura sio lazima ukipigie chama fulani, meaning kwamba unaweza kujiandikisha kama Republican na uakingia kumpigia kura mgombea wa Democrat, that is exactly what happened,
Conservatives Republicans wameenda kumpigia kura Obama, kwa sababu hawamtaki Mama Clinton, thinking kwamba hiyo momentum inaweza ku-catch a fire kwa US nzima, kwa sababu kwa kura alizoshinda Obama, in maana kwamba kama Iowa ingekuwa ni nchi, bsi ukifanyika uchaguzi wa rais leo Obama atakuwa rais wa Iowa, politically, does this make a sense? No way!
Obama, ni a good candidate, tena very clean the black nation huko US limekuwa likihangaika sana kutafuta a hero here they have one, smart, articulative na charismatic, isipokuwa tatizo ni kwamba he is not Black enough kwa weusi wa huko US, so far bado Mama Clinton anaongoza kwenye polls among weusi, na nafahamu for a fact kuwa weusi huko huwa hawatutaki Afrikans,
Binafsi I like Obama, kwa sababu zile zile za kumkosesha tembo usingizi, huwezi kujua time zimefika bila ya kujaribu and that is what Obama is doing now, cha muhimu ni kumpa support as much as we can, kwa sababu the more Obam tries, ni the more anavyo-elevate race yetu weusi na kutupatia heshima zaidi, na kutuweka kwenye ramani ya dunia, it worthy kum-support Obama, kuliko the rest of the candidates!
I hope he wins it all!
wakuu dont underestmate this guy na dont compare him na kina Jesse jackson ni watu tofauti sana na historia/background zao ni tofauti sana,kwanza mjue Jesse alipoingia kwenye race tayari alikuwa na enemies kutokana na kujihusisha na zile civil rights movements,wasiwasi wangu ni rangi tuu maana siwaamini hawa wazungu ingawaje nilikuwa wrong kwenye American idol maana niliamini hakuna mweusi anaweza kushinda lakini i was wrong ingawaje walioshinda walikuja kuwa big dissapointment.
Mkuu Ngabu kuhusu South hiyo Democrats wanaijua na siyo siri hata wazungu wa Democrats huwa wanashindwa sana huko south na sometimes hata kampeni hawaendi kupiga maana ni kujisumbua na ujue wana uwezo wa kushinda WH bila hata state moja ya South na imetokea mara nyingi tuu,anyway big up to Obama hata akishindwa amesaidia kuonyesha mtu mweusi can do it na hope atampelekesha mama mpaka mwisho.....basi hata VP jamani asipokuwa nominated itakuwa nzuri tuu.
..inaelekea Obama atashinda ticket ya Democrats...nimesikiliza CNN na nikashangaa jinsi wanavyomsagia Hillary. Inaelekea hawamtaki kabisa.
Field Marshal,
..kama nimekuelewa ujumbe wako ni kwamba it is not over yet.
..mimi kilichonishangaza ni jinsi kila mmoja[anchors,commentators,consultants..] ktk CNN anavyomtabiria "mauti" Mama Clinton.
..siyo kwamba hawampi nafasi tu, bali inaelekea pia HAWAMTAKI.
..hisia zangu ni kwamba kuna kitu Mama Clinton amewatenda. si bure.
..ningependa Obama ashinde. sijui kama itatusaidia WAAFRIKA. nimemsikia mke wake akisema "Obama's father was not there, or he didnt have his father around."
..Uraisi wa Marekani ni TAASISI. Waafrika tunajipa matumaini kwamba huenda Obama atakuwa kama Papa John Paul alivyokuwa kwa Poland.
..Hivi Obama akiwa Raisi ataweza kufanya yafuatayo:-
1.kusitisha mauaji ya Darfur.
2.Kumuondoa Mugabe na kusitisha vikwazo vya uchumi dhidi ya Zimbabwe.
3.Kuanzisha Marshal Plan for Africa.
..How will US policies towards Africa change with Obama's presidency?
TRUTH muda unao?
Are you planning on explaining how someone with mediocre grades as Obama has admitted to had can get into Harvard Law School? To me it seems like affirmative action played a part in his admission. Let's remember affirmative action is a direct consequence of the 1964 Civil Rights bill that Ron Paul correctly voted against its renewal. We can probably make a connection that if Obama had not gone to Harvard Law School he would not have got to where he is today. So he is an affirmative action presidential candidate not necessarily the best qualified.
...nasmell hate hapo..hata Bush was not smart he got into Yale because he was a legacy( His father and grandfather were Yale men)....you can call rich affirmative action.
Nyani Ngabu said:Hapana. Obama akishinda uraisi atakuwa na wajibu wa kuitumikia Marekani ambayo na yenyewe ina matatizo kibao. Sidhani hata kwenye kampeni zake anaahidi kuifanyia hivi ama vile Afrika.
Ktk miaka 40 iliyopita nitajie mgombea uraisi mmoja wa Democratic aliyeshinda uraisi wa Marekani bila kushinda hata jimbo moja kusini. Nitajie mmoja tu.
...imebidi nicheke tuu na jibu utapata lakini sio unalotaka,sasa ni hivi kumbuka Al Gore & Kelly hakuna hata mmojawao alishinda state kutoka south lakini wote walikuwa wanahitaji just one state of Ohio(ambako now is getting more liberal) to beat GW Bush and win the presidency,hapo inakuonyesha Democrats can afford to lose every southern states and still win the WH
Ngabu...who cares about racist south,kuweka pesa kule ni kupoteza muda tuu na resource,na ukizingatia this time woman/black ndio wanaweza kuwa nominee wa Democrats,hapo ndio balaa zaidi....siasa za south ni za kibaguzi sana ujue,bora Dem wamwage pesa zao na muda states kama Nevada,Arizona & Colorado labda huko wanaweza kutoboa maana spanish na immigrant from north wameanza kubadilisha mambo huko lakini Mississippi,Alabama,Wyoming,Lousiana etc sahau kabisa na usijaribu kama wewe ni Dem or kinda of Obama or Hillary
...nasmell hate hapo..hata Bush was not smart he got into Yale because he was a legacy( His father and grandfather were Yale men)....you can call rich affirmative action.
And look how bad Bush's presidency was. Do you want Americans to elect another under qualified affirmative action candidate such as Obama? God help us all!
And look how bad Bush's presidency was. Do you want Americans to elect another under qualified affirmative action candidate such as Obama? God help us all!
Hapana. Obama akishinda uraisi atakuwa na wajibu wa kuitumikia Marekani ambayo na yenyewe ina matatizo kibao. Sidhani hata kwenye kampeni zake anaahidi kuifanyia hivi ama vile Afrika. Ahadi anazotoa ni kurudisha majeshi yake kutoka Iraq, Social security, medicare, na mengineyo. Sisi tuangalie ni jinsi gani tutavyojisaidia wenyewe badala ya ku-worry Obama atatusaidiaje.....