Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,141
Susu,
Nilikuwa namuangalai Anderson Cooper jana usiku. Donna Brazille impressed me kwa kuongea facts na kusema McBush anashindwa kujiuza kutumia sera anakimbilia kulalama na kuongea shombo kuhusu Obama.
By the way, Donna has started slurring words, is she okay?
Sasa kama ameanza kufanya hivyo alikui-impress kivipi? Halafi facts gani alizoongea? Ni kweli President McCain hapati coverage kama ya Obama. Unabisha?