US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Nyani: yaani umebaki kutafuta vitu vidogo kama eti Ludacris - sasa Ludacris ambaye ni mwimbaji (rapper) anayejitegemea anahusiana vipi , na in fact Obama ameshashutumu ishu nzima. Yaani naona GOP wanatafuta vijisababu ili waweze kumtajataja Obama. Obama yuko busy anapanga mambo, Mccain and his team wako busy whining alafu wanatumia tactic ya Mama lakini they come off very tin and hollow sounding. Sasa umepata habari kwamba Hillary anaanza campaining for Obama.... aisee babu yako atafyata mkia!
Yaani Mama tutamsema mengi lakini she's ruthless when it comes to whooping a**...sidhani kama Babu yako ataweza kuhimili.
So kumbuka after Denver, mambo ndo yataanza on the part of Democrats. McCain anatapatapa mapema hivi hata GOP wamebaki wanashika kichwa.
 
Ha ha eti Dar Dom Expressway....ebanae ulikuwa umepotelea wapi wewe?
NN, sidhani kama Obama alikuwa anatafuta bounce ilikuwa ni kujitambulisha kwa mataifa ya upande wa pili wa Atlantic...Akina Hannity, O'reilly na Greta walikuwa wanataka achemshe sana kwenye hiyo trip ila ndio hivyo Jaluo hakuchemsha sasa hivi mnaspin ooh bounce this oooh bounce that ila ukweli ni kuwa kimewauma kuwa hakuchemsha na kabla ya kuondoka alimtwanga dongo Hannity lol...!!!

YNIM, ningekuwa smart na extra tujisent mwaka 2000 ningewekeza kwenye moja ya hizi kampuni za mafuta...sasa hivi tungekuwa tunapuliza moshi wa cohiba tuu...

Icadon,
Salam mkuu, nilikuwa nachezea "illegal ban" toka kwa Painkiller..ati alinifungia kwa kumkosea heshima (yale yale ya Marhumu Wangwe kutaka kufukuzwa Chama kwa kuto kukubaliana na Mwenyekiti)..kuna kaaazi kweli ktk jamii yetu.

Hujachelewa Msee, unaweza kuwekeza sasa kwenye Exxon Mobile and the like, b'se trend bado inaendelea!! Licha ya "Straight talk express" kuchomoka matairi, bado inahitaji gas!! go figure.
 
Hivi Babu Mccain anatumia Viagra nini? kwa nini wakati ule alivyoulizwa swali la viagra alijikuna sana kichwa? (I'm just askin)
 
Hivi Babu Mccain anatumia Viagra nini? kwa nini wakati ule alivyoulizwa swali la viagra alijikuna sana kichwa? (I'm just askin)
Babu aliulizwa kuhusu birth control pill na Viagra because he voted for one and against the other, sasa alichanganyikiwa hakujua which is which, si unajua tena utu uzima.
 
Ha ha eti Dar Dom Expressway....ebanae ulikuwa umepotelea wapi wewe?
NN, sidhani kama Obama alikuwa anatafuta bounce ilikuwa ni kujitambulisha kwa mataifa ya upande wa pili wa Atlantic...Akina Hannity, O'reilly na Greta walikuwa wanataka achemshe sana kwenye hiyo trip ila ndio hivyo Jaluo hakuchemsha sasa hivi mnaspin ooh bounce this oooh bounce that ila ukweli ni kuwa kimewauma kuwa hakuchemsha na kabla ya kuondoka alimtwanga dongo Hannity lol...!!!

YNIM, ningekuwa smart na extra tujisent mwaka 2000 ningewekeza kwenye moja ya hizi kampuni za mafuta...sasa hivi tungekuwa tunapuliza moshi wa cohiba tuu...

Hahahaha...mnasema hivyo kwa vile hakupata bounce!! Sounds more like sour grapes to me.....kama angepata bounce mngekuwa....'unaona sasa Nyani".....lakini bounce hakuna sasa mmeishia kutoa spin
 
Hivi Babu Mccain anatumia Viagra nini? kwa nini wakati ule alivyoulizwa swali la viagra alijikuna sana kichwa? (I'm just askin)

Babu is a stud!! Umeona kifaa (mke) alichonancho? Huwezi kabisa kumlinganisha yule educated ghetto Michelle of Obama....
 
Babu is a stud!! Umeona kifaa (mke) alichonancho? Huwezi kabisa kumlinganisha yule educated ghetto Michelle of Obama....

Kifaa alichonacho nani? - you mean that robot aka Stepford wife? Yaani ukilala naye unaweza ku-freeze she is so cold!! Ndo maana Babu hahitaji viagra wala nini. Michelle is a beautiful Black woman! And most importantly smart, to keep a woman like that satisfied si mchezo!!
 
Kifaa alichonacho nani? - you mean that robot aka Stepford wife? Yaani ukilala naye unaweza ku-freeze she is so cold!! Ndo maana Babu hahitaji viagra wala nini. Michelle is a beautiful Black woman! And most importantly smart, to keep a woman like that satisfied si mchezo!!

Puh-lease!!! Say something else......
 
Please look at this website and you might be near to prove the speculation that Bayh is a possible running mate for presumptive Democratic nominee Barack Obama.


www.obamabayh08.com/
 
Please look at this website and you might be near to prove the speculation that Bayh is a possible running mate for presumptive Democratic nominee Barack Obama.


www.obamabayh08.com/

This has been debunked, the website was set up long time ago and linked way before. No need to specualte! Few more days we will know who is the VP of Obama. I do NOT think it is Bayh though but I am ready to wait and see.
 
Fair enough! We finally agree on this! Hahahahaaa

Don't jump the gun now....unless you agree with me that it doesn't matter who the Messiah picks as his running mate, McCain will still lay the smackdown
 
Don't jump the gun now....unless you agree with me that it doesn't matter who the Messiah picks as his running mate, McCain will still lay the smackdown

I agreed that it doesn't matter.... I didn't say I agree with the REASON that it doesn't matter. I agree it doesn't matter because McCain is doing a great job setting himself up for LOOSING the election with a wide margin.
 
I agreed that it doesn't matter.... I didn't say I agree with the REASON that it doesn't matter. I agree it doesn't matter because McCain is doing a great job setting himself up for LOOSING the election with a wide margin.

In your dreams....
 
In your dreams....

Dogo, kama huna cha kuongea basi tuliza "kijambio" hicho sio kutukatia kiuno kama tunakurushia "the great Lincoln."

Makopo anajichimbia shimo kadri siku zinavyokwenda..kila anachogusa ni cha moto! Attack ads zake zina backfire, die hard conservatives wanazidi kumwona ni paramecium na straight talk express dereva wake kalewa kibuku!! hiyo yote ni recipe for disaster.........

Virginia Gov ndio ana stand out kuukwa U-VP!!

Umemwona yule mamluki mweusi alivyotolewa nishai leo kwenye ile town-hall meeting!

Wana pull election year stunts za kitoto, sasa Ted Stevens nae katolewa kafara? yaani of all pple wamewmona "version" yao ya Ted Kennedy ndio kumtoa sadaka ili kushinda uchaguzi? how low GOP will go to win Camp-pain 2008? it stinks and shame on you grrrrrrr.

Gobama!.
 
Dogo, kama huna cha kuongea basi tuliza "kijambio" hicho si kutukatia kiuno kama tunakurushia "the great Lincoln."

Makopo anajichimbia shimo kadri siku zinavyokwenda..kila anachogusa ni cha moto! Attack ads zake zina backfire, die hard conservatives wanazidi kumwona ni paramecium na straight talk express dereva wake kalewa kibuku!! hiyo yote ni recipe for disaster.........

Virginia Gov ndio ana stand out kuukwa U-VP!! Umemwona yule mamluki mweusi alivyotolewa nishai leo kwenye ile town-hall meeting! Gobama!.

Naona leo uko off kufunga vidonda na sasa umeshalewa mi-spirit uliyoiba hospitalini......umeona Gallup daily tracking poll leo..?
 
Naona leo uko off kufunga vidonda na sasa umeshalewa mi-spirit uliyoiba hospitalini......umeona Gallup daily tracking poll leo..?

Mi-spirit ya hosiii haifai kunywa inaweza kukutia upofu!!

Hivi sio wewe ambae umekuwa ukisema hapa kila siku kwamba watu wasiamini polls? na kila siku una refer Dukakis in '88, sasa hapa inakuwaje? maswali ya kujibu ni je Makopo ni straight talker? je una explain vipi lead ya Obama in CO, VA, MO, NM na kwingineko ambapo GOP wamekuwa wakishida in recent yrs?? kuwa serious kidogo na inabidi uvue hivyo "visturi." aaaaah'
 
Mi-spirit ya hosiii haifai kunywa inaweza kukutia upofu!!

Hivi sio wewe ambae umekuwa ukisema hapa kila siku kwamba watu wasiamini polls? na kila siku una refer Dukakis in '88, sasa hapa inakuwaje? maswali ya kujibu ni je Makopo ni straight talker? je una explain vipi lead ya Obama in CO, VA, MO, NM na kwingineko ambapo GOP wamekuwa wakishida in recent yrs?? kuwa serious kidogo na inabidi uvue hivyo "visturi." aaaaah'

Nita explain hivi: polls zote zinanyesha kuwa McCain yuko statistically tied with The Messiah. Colorado McCain anaongoza. Kibaya au kizuri ni kwamba hii ni August tu na bado kuna muda wa mtu (Nobama) kujichimbia kaburi.....
 
Sticky Obama issue with these McKains leads to arrest

Sugar Land police say a woman confronted a couple who had a bumper sticker showing someone urinating on candidate's name

By ERIC HANSON Copyright 2008 Houston Chronicle

SUGAR LAND - In case their Plantation Bend neighbors had any questions about how Doug and Wendy McKain feel about Barack Obama, the bumper sticker on their pickup could be a clue.

But when Chynethia Gragg spotted the sticker - depicting someone urinating on the name "Obama" - Sugar Land police say, she stopped to express her disapproval, and that's when things got ugly.

Gragg, 35, has been charged with making a terroristic threat after confronting the McKains, telling them the sticker was racist, police said.

Gragg declined to comment, and her attorney, Roy Smith, said he would have to review the police report and talk with his client before commenting.

Doug McKain declined to comment.

According to court documents, police officer H. Norris went to the couple's house about 3 p.m. Tuesday to investigate a verbal disturbance.

Court documents said Gragg told Norris she saw the sticker on the back of a pickup and stopped in front of the McKain house. She told Norris she confronted McKain about the sticker, saying it was racist.

McKain told the officer he and his wife were driving home when they noticed a female motorist looking closely at his truck. The couple drove home then pulled into their driveway.

"Mr. McKain said shortly later the same person (Ms. Gragg) pulled up to his residence (blocking his driveway behind his truck.) Mr. McKain said Ms. Gragg began to rant and rave about the sticker on the back of his truck," the court document states.

McKain told police Gragg shouted numerous profanities at him and his wife.

"Mr. McKain said Ms. Gragg said she (would) get someone to take care of him later," the report said.

Gragg was issued a trespass warning and then arrested on the threat charge, a misdemeanor. She was released Wednesday from the Fort Bend County Jail on $500 bond.

eric.hanson@chron.com

http://www.chron.com/disp/story.mpl/front/5904413.html

The Obama Whiz Kid merchandise can be found here

http://www.cafepress.com/obamawhizkid

267826402v4_240x240_Front.jpg
 
Last edited:
Back
Top Bottom