Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,984
YN: kwamba wapiga kura wa TZ na US wanafanana, hapa inabidi nikubaliane na wewe kwa kiwango cha kutosha!
Nyani kaniambia eti tangu Obama apata ule ushindi wa NC unakunywa kishenzi?!! Nakukumbusha kuwa madaktari wanapendekeza kuwa mwanamume asizidishe 3-4 units kwa siku 🙂
YN: kwamba wapiga kura wa TZ na US wanafanana, hapa inabidi nikubaliane na wewe kwa kiwango cha kutosha!
Nyani kaniambia eti tangu Obama apata ule ushindi wa NC unakunywa kishenzi?!! Nakukumbusha kuwa madaktari wanapendekeza kuwa mwanamume asizidishe 3-4 units kwa siku 🙂
mama akiamua kurun kama independent itakuwaje?
Swali zuri ila duh haitaleta picha nzuri....itakuwa sio tena mapenzi kwa nchi bali ni tamaa na uroho wa madaraka especially baada ya kushindwa kwenye mchakato.
YNIM, hii kitu watu waliiwrap miezi miwili nyuma...sema ndio hivyo kama Dick Morris anavyosema ...apart from her stubbornness hesabu nazo zinamchanganya mama.
....BHO rasmi na kwa mara ya kwanza kachukua lead miongoni mwa super delegates ambao tayari wapo commited!!! mambo hayo, jamaa yupo mbele kila kitu sasa sijui argument ya HRC kuendelea na "camp-pain" ni nini?! kaaaazi kweli.
Kaka Kitila na Best NN mnaweza kutusaidia maelezo hapo....maana tunajua nini Wolfson(HRC 'camp-pain' communication director) atachosema!!. bwahahahaha.
...nadhani huyu mama alikuwa kapania sana kupata nomination na baadae urais, hakuwa na option ya kwamba kuna kushindwa (kama sio yeye basi hakuna mwingine)....yaani hii kushindwa ni kama ndoto mbaya na nadhani ndio maana inakuwa taabu kwake kuukubali ukweli!!! aibu sana, mtu anapokuwa na tamaa ya madaraka kwa kiasi kama hiki.
Jamani jamani, hivi ni kipi kinachomfanya Hillary aonekane ana tamaa ya madaraka kushinda wanasiasa wengine? Mlitaka afanyeje, yaani ajitoe tu ili aonekane hana tamaa ya madaraka?
...ndio ajitoe, tena ajitoe sasa ama sivyo sie tunamwona ni spoiler na mwenye tamaa ya madaraka!!.
mahesabu jinsi yalivyo, she does not have any chance to win this thing!! yaani wanategemea kudra tu za mwenyezi mungu.....hii inanikumbusha hadithi ya Fisi mwenye njaa na mkono wa binadamu apitae njia!! LOL....its not going to happen, hivi anataka mpaka ashindwe mara ngapi hizi primaries ndio atoke?? mbona wakina Romney walijitoaga mapema kule kwa GOP? huyu mama vipi.........?
... mbona wakina Romney walijitoaga mapema kule kwa GOP? huyu mama vipi.........?
...nadhani huyu mama alikuwa kapania sana kupata nomination na baadae urais, hakuwa na option ya kwamba kuna kushindwa kama sio yeye basi hakuna mwingine....yaani hii kushindwa ni kama ndoto mbaya na nadhani ndio maana inakuwa taabu kwake kuukubali ukweli!!! aibu sana, mtu anapokuwa na tamaa ya madaraka kwa kiasi kama hiki.
..mimi nafikiri HRC ni kama wale wakimbiaji mbio ambao humalizia ili kujua wametumia muda gani. mshindi tayari anajulikana kuwa ni Barack Obama.
..kinachonishangaza ni hawa wanaomsumbua huyu mama. wana wasiwasi gani?
..kama suala ni kuleta umoja ktk chama basi nadhani njia za kiungwana na kistaarabu zinapaswa kutumika kumshawishi Mama asitishe kampeni yake.
..nadhani HRC anapaswa kukaribishwa ktk timu ya ushindi ya Barack Obama. hii tabia ya kumfokea HRC ajitoe nadhani ndiyo inayotishia zaidi umoja wa Democratics.
NB:
..Ted Kennedy alikuwa na kura chache kuliko alizonazo HRC sasa hivi but he took his case all the way to the convention. tena he did that against a sitting President of his own party.
..nimefurahishwa na uungwana wa Senator.Mc Govern alipo-jump ship kuhamia kwa Barack Obama. hii ni tofauti na uhuni aliofanya Bill Richardson.
..I hope Obama atakuwa careful na huyu Bill Richardson. Kile kitendo chake cha ku-leak mazungumzo yake na HRC kwa waandishi wa habari kiliondoa heshima niliyokuwa nayo kwa Bill Richardson.
gamba la nyoka,
..mimi nadhani hawa liberal wataja toana macho jinsi wanavyomgombania Barack Obama.
..yaani wanajiaibisha sana wanavyopakaziana mambo ya u-racist ili mradi waonekane they are cool and comfortable with AA and Obama.
..hii habari ya kusema Obama anakosa support ya white-blue-color workers hakuianzisha HRC. tena kama unafuatilia kila network huchambua ushindi wa Obama/HRC na kuelezea umetokana na which demographic group.
..sasa ukianza kuchambua kura kwa kutumia demography ktk nchi kama Marekani basi huwezi kuepuka comments kama za HRC. lakini comments hizohizo tumekuwa tukizisikia kila siku kwenye hizi networks.
..ppl need to be very careful here b4 race becomes the theme, and major issue, in this presidential race.
jmushi1,
..hayo mambo ya kugawa wapiga kura white,black,latino, yellow, blue-color etc etc, Barack Obama amekuwa akiyapinga siku zote.
..vilevile mambo ya kuchongeana huyu RACIST huyu vile sidhani kama yanamsaidia Obama. sana sana yanaweza kuwa-galvanize weupe dhidi yake.
..Obama ndiyo alikuwa mgombea wa kwanza kurusha tangazo kwamba HRC "hawaheshimu" Hispanics. Hiyo ilikuwa wakati wa primaries za Nevada.
..sikuelewa alichosema Bill Richardson wakati anamu-endorse Obama. kama hicho ndicho alichokisema basi kinaenda kinyume na kauli mbiu ya kampeni ya Obama kuwaunganisha Wamarekani wote.