YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,238
- 63
SUV,
nimeona jamaa mmoja wa GOP in MS ana run TV ads zinazo m-link opponent wake na Obama, kwamba ni Limousine liberal democrat, kwamba pastor wake kasema "NO NO NOOOO GD America......." cha ajabu jamaa wa DNC ana ji-distance na Obama, its a test na sio sign nzuri hasa kama jamaa akishindwa!!. Ni argument ambayo HRC watafanya kwa super delegates, kwamba Obama ni liability, too much of a baggage na anaweza kusababisha dems wakapoteza house na senate come November.....ipo tricky, though!!.
nimeona jamaa mmoja wa GOP in MS ana run TV ads zinazo m-link opponent wake na Obama, kwamba ni Limousine liberal democrat, kwamba pastor wake kasema "NO NO NOOOO GD America......." cha ajabu jamaa wa DNC ana ji-distance na Obama, its a test na sio sign nzuri hasa kama jamaa akishindwa!!. Ni argument ambayo HRC watafanya kwa super delegates, kwamba Obama ni liability, too much of a baggage na anaweza kusababisha dems wakapoteza house na senate come November.....ipo tricky, though!!.