..jamani mimi ndiye niliyeuvuta mjadala kuelekea kwenye matarajio ya mahusiano kati ya serikali ya Obama au Hillary na bara la Africa/the rest of the world.
..mahusiano hayo siyo lazima yawe kwenye budget support. sote tunaelewa kwamba mahusiano kati ya Marekani na Africa yana-entail mambo mengi zaidi ya budget support.
..ninachojaribu kuuliza ni jinsi gani Barack au Hillary watashughulika na matatizo kama Israel,Iran,Lebanon,Zimbabwe,Darfur,Somalia,Congo etc etc.
..vipi kuhusu masuala ya AIDS/HIV, na mambo ya Global Warming.
..pia ningependa kujua ni jinsi gani watashughulikia mahusiano ya Afrika na multi-national corporation.
..naamini hayo yote ni sehemu ya AMERICAN FOREIGN POLICY.
NB:
..pia hakuna makosa kujadili misaada toka serikali ya Obama au Hillary. nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba bajeti za nchi nyingi za Kiafrika bado zitategemea misaada come Jan 2009 wakati Raisi mpya wa US anapoapishwa.
*** Denis Ross yuko kwenye kampeni ya nani?