US Election Coverage 2008

Kumbe unakubali majamaa yako effective eeehhh...lol!!
"
Na hii issue ya Fox news ambayo jamaa yangu yourname ameibatiza "Fix" unajaribu kuwa somewhat illucinating...at least sort... of coz the s**t you've been talking about ain't even existing bro!Lazima ukumbuke kuangalia station flani sio lazima kukubaliana ama kukipenda kinachosemwa!Niwazi kuwa watu wanaflip to different stations depends on who's the favorite or what favorite program is on..the likes of Wolf Blitzer etc!others just wanna see how naive other people are when discussing politics!Pundits watch each other so as to find the basis for their counter argument when contributing to the issues that ofcourse they have different ideas on!KUNA WAKINA OLBERMAN WENGI TU WANAOTIZAMA FOX NEWS!
 

Wakati mwingine inakuwa vigumu sana ku-reason na wewe!! Mimi nimeomba namba (mgawanyo) za Democrats na Republicans, kwa mfano Democrats wako 49, Republican wako 48, na Independents wako 3. Huu ni mfano tu. Sasa nipe namba za kweli. If this is too complicated for you let me know and I will dumb it down further for you.
 

Pure tripe!!!
 
...no one listening to Clinton campaign anymore,waseme wanachotaka lakini nomination hawapati,time to face mpenda vita Mccain,Ngabu subiri babu yako aanze kupewa thrash & cut,hiyo imaginary GOP machine mnayoisubiri wawaulize clinton machine watapata jibu.
Obama08.
 

...sasa hutaki au? kubali 06 ilikuwa landslide labda kama unaishi Mars!
 

..unanikumbusha zile diploma zilizokuwa zinatolewa kule eastern europe enzi za cold war!
 

Nyani ,

Hoja yako aijitoshelezi , suala sio kuangalia katika Senate mgawanyo wa Democrats na Republican tuu . Hiyo aitatosha kutoa picha halisi ya huo ushindi , ni muhimu pia kuangalia kabla yao uchaguzi mgawanyo ulikuwa vipi !
 
..unanikumbusha zile diploma zilizokuwa zinatolewa kule eastern europe enzi za cold war!

sijakuelewa, ila na assume kwamba umenitukana..........naona wasee wengine, mnakuwa mmepaniaaaaaa!!! haya bwana unanikumbusha hadithi ya "sharifu" na mayai ya kuchemsha kwenye sinia la biriani!!.
 
Hebu nipeni shule kidogo hapa wakuu, hivi mwaka huu ushindi utaamuliwa kwa popular vote au kwa electoral college kama miaka ya nyuma? Nauliza hivi kwa sababu hili jambo hatujalijadili sana hapa, na ninaona maongezi yote yamekuwa kwenye popular vote as if hizi ndizo zitakazotoa mshindi. Hebu nipeni shule kidogo hapa.
 

Uchaguzi mkuu bado kaka ndio maana hatuzungumzii electoral college votes...kwa sasa ziko irrelevant mpaka hapo Dems watakapopata mgombea wao. Mwaka huu eti kuna mtu humu ndani amesema Dems wata-sweep the deep south including Georgia and Mississippi....Lol
 
Nyani ,

Hoja yako aijitoshelezi , suala sio kuangalia katika Senate mgawanyo wa Democrats na Republican tuu . Hiyo aitatosha kutoa picha halisi ya huo ushindi , ni muhimu pia kuangalia kabla yao uchaguzi mgawanyo ulikuwa vipi !

Haya...hii ndiyo unaiita landslide?

Democratic Party 17 22 27 44 49 +5 33,929,202 53.91%
Republican Party 15 9 40 55 49 −6 26,674,169 42.38

The new Senate will have 49 Democrats, 49 Republicans and two independents, Joseph I. Lieberman of Connecticut and Bernard Sanders of Vermont.

Hii ndio landslide victory kweli? Basi labda hii lugha mimi siielewi...
 

hizo numbers umeziokota wapi? mbona hata hazieleweki bana?...ilikuwa landslide, inategemea unaangalia kwenye angle gani!? republicans walipoteza viti kwenye congress zaidi ya 25, prominent GOP senators kama George "makaka" Allen, R-Va na Rick Santorum, R-Pa walibwagwa......uchaguzi ule ndio ulimkimbiza Dennis Hastert, Bill Frist, wakina Duke Cunningham na wengineo!! sasa ukisema haikuwa landslide, sijui wewe unataka landslide iweje??
 
Nyani,
hivi umesoma leo postings za kwenye "the politico."??....kuna good stuffs huko, chungulia!!
 
Nyani,
hivi umesoma leo postings za kwenye "the politico."??....kuna good stuffs huko, chungulia!!

Huko politico kuna nini kizuri?

Halafu hawa wachungaji wa Trinity wakoje...mbona wanapenda sana kupiga mayowe? Huyu mchungaji bwa mdogo Otis Moss naye inaelekea yuke kama Wright....umeona alivyokuwa anapayuka jana?
 
Sitashangaa kusikia McCain is "our" next President. Pamoja na kuwa general Public in US na current conditions zinamtaka Obama, there is always a plan of sidelining a nig out of the main stream. Dubya did just that to sideline Kerry, when US needed Kerry the most.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…