US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

hii arguments ya hillary kuwa he is electable cause she won big states is just a gimmicks,take a closer look with numbers,kumbe yuko nyuma,inabidi media wangalie vizuri waanze kumchallenge na hii case yake

Consider the top 9 "big" states that have voted so far
State . . . . . . . Obama . . . . . . . .Clinton
California . . .2,126,000 . . . . . . .2,553,000
Texas . . . . . 1,358,000 . . . . . . .1,459,000
New York. . . . . 698,000 . . . . . . .1,003,000
Illinois. . . . 1,302,000 . . . . . . . .662,000
Ohio . . . . . . 982,000. . . . . . . 1,212,000
Georgia . . . . . 704,000 . . . . . . . .330,000
New Jersey. . . . 492,000 . . . . . . . .603,000
Virginia . . . . 627,000 . . . . . . . .350,000
Washington . . . 354,000 . . . . . . . .316,000

Total . . . . . 8,643,000 . . . . . . .8,487,000

number dont lie!

Wewe uelewa wako uko mdogo sana. Anachosema Mama ni kwamba, yeye kashinda majimbo makubwa pamoja na yale ambayo ni LAZIMA Democrats washinde novemba ili kuchukua White house. Sasa hapa umeweka GA na TX ambazo ni reliable GOP strongholds na hayo mengine yaliyobaki ni Democratic. Argument hapa ni swing state. Kama Kerry angebeba Ohio it would have been a wrap for Bush.

Jimbo nyeti hapa ni Ohio na Florida ambayo yote Mama kashinda kwa nguvu. Virginia ni GOP stronghold
 
Haka kasentesi mkuu unakapenda, nakumbuka ulisema hivihivi wakati wa mchakato wa kampeni za Ohio. Baada ya Hillary kushinda, nikakuuliza vipi ile dream imekuwa true, kimya hadi leo! There is nothing with dreaming by the way!

...numbers dont lie,angalia sasa delegate gap imeongezeka baada ya ushindi wenu wa OH & TX na popular vote ndio ime skyrocket to almost a million,sasa kama sio ndoto ni nini/ mmebaki kuplay spoiler tuu huku mkijua no way mtashinda hiyo kitu,you guys are so arrogant nina uhakika Obama angekuwa position yenu sasa hivi angekuwa ashawarushia endorsement huku akiwapigia campaign za nguvu,mtamaliza campaign kwa aibu tuu inaonekana na damage kubwa to democratic party!
 
Wewe uelewa wako uko mdogo sana. Anachosema Mama ni kwamba, yeye kashinda majimbo makubwa pamoja na yale ambayo ni LAZIMA Democrats washinde novemba ili kuchukua White house. Sasa hapa umeweka GA na TX ambazo ni reliable GOP strongholds na hayo mengine yaliyobaki ni Democratic. Argument hapa ni swing state. Kama Kerry angebeba Ohio it would have been a wrap for Bush.

Jimbo nyeti hapa ni Ohio na Florida ambayo yote Mama kashinda kwa nguvu. Virginia ni GOP stronghold

....wewe ndio huelewi unaonekana,hayo majimbo ya California,New York,Illinois hata Obama guarantee atashinda,Democrats sio lazima washinde Fl or OH to take white house maana hata AL Gore hakushinda hayo ila alikuwa chini for only 4 electoral vote,kwa akili yako kwa sababu kashinda OH primary basi ndio atashinda hiyo state in GE,hata Gore & kerry walishinda hizo primary lakini walishindwa GE,na sasa kwa taarifa yako virginia & Colorado zipo in play na Dems wana chance nzuri sana ya kushinda hizo states..angalia ndugu yako makaka kilichomkuta huko virginia na angalia exit polls za virginia ndio utaelewa.
 
Wewe uelewa wako uko mdogo sana. Anachosema Mama ni kwamba, yeye kashinda majimbo makubwa pamoja na yale ambayo ni LAZIMA Democrats washinde novemba ili kuchukua White house. Sasa hapa umeweka GA na TX ambazo ni reliable GOP strongholds na hayo mengine yaliyobaki ni Democratic. Argument hapa ni swing state. Kama Kerry angebeba Ohio it would have been a wrap for Bush.

Jimbo nyeti hapa ni Ohio na Florida ambayo yote Mama kashinda kwa nguvu. Virginia ni GOP stronghold

I thought you were for McCain...ooops I was wrong you are for McClinton
 
....wewe ndio huelewi unaonekana,hayo majimbo ya California,New York,Illinois hata Obama guarantee atashinda,Democrats sio lazima washinde Fl or OH to take white house maana hata AL Gore hakushinda hayo ila alikuwa chini for only 4 electoral vote,kwa akili yako kwa sababu kashinda OH primary basi ndio atashinda hiyo state in GE,hata Gore & kerry walishinda hizo primary lakini walishindwa GE,na sasa kwa taarifa yako virginia & Colorado zipo in play na Dems wana chance nzuri sana ya kushinda hizo states..angalia ndugu yako makaka kilichomkuta huko virginia na angalia exit polls za virginia ndio utaelewa.

Jidanganyeni basi kwamba VA na CO ziko kwenye play....

VA mara ya mwisho kuvote Democratic ilikuwa lini...unajua?
 
Wewe uelewa wako uko mdogo sana. Anachosema Mama ni kwamba, yeye kashinda majimbo makubwa pamoja na yale ambayo ni LAZIMA Democrats washinde novemba ili kuchukua White house. Sasa hapa umeweka GA na TX ambazo ni reliable GOP strongholds na hayo mengine yaliyobaki ni Democratic. Argument hapa ni swing state. Kama Kerry angebeba Ohio it would have been a wrap for Bush.

Jimbo nyeti hapa ni Ohio na Florida ambayo yote Mama kashinda kwa nguvu. Virginia ni GOP stronghold

r1361885596.jpg
 
You got it...I'm for McClinton...so if Mama doesn't make I've somewhere to fall on, now what?

Nyani best don't let your emotions carry you away...we still have some seats in our Bus (Barack Coach) and if the going gets tough remember you are always welcome here especially after November.
 
Nyani best don't let your emotions carry you away...we still have some seats in our Bus (Barack Coach) and if the going gets tough remember you are always welcome here especially after November.

Hell to that naw...
 
Kumbe ndio maana unawatetea maana hata hujui kauli zao za kibaguzi!!

Ok, this is what happened: Rev. Jesse Jackson referred to Jews as "Hymies" and to New York City as "Hymietown" in January 1984 during a conversation with a black Washington Post reporter, Milton Coleman. Jackson had assumed the references would not be printed because of his racial bond with Coleman, but several weeks later Coleman permitted the slurs to be included far down in an article by another Post reporter on Jackson's rocky relations with American Jews.

So at the Democratic convention when he gave a speech he apologized and said God wasn't finished with him yet.

Duh! Nyani, man you keep a grudge! Hii statement ya Jesse haizungumzwi tena maana alishaomba radhi na it's mea culpa. Naomba tusije tukachanganya remarks kama hii na hizi za Rush Limbaugh ambaye day after day anaongea racist remarks. Au Falwell ambaye alikataa ku-integrate his college.
Bado hujani-convince that Jesse Jackson na Al Sharpton who were presidential hopefuls are same as Rush Limbaugh and Jerry Falwell. Hata Pat Buchanan alikuwa ana some comments ambazo I think border on prejudiced thinking lakini bado namkubali zaidi kama conservative than hao Rush and Falwell.
 
Nyani Ngabu,

..ku-oppose vita wakati uko nje ya Senate ni tofauti sana na ukiwa ndani.

..nafikiri hapa Obama naye anapaswa kulaumiwa kwa kuongeza "chumvi."

..Obama anajidai kana kwamba alikuwa confronted with the same facts na intelligence briefing walizopewa Hillary,John Kerry etc.

..Obama anataka kujiweka kundi moja na watu kama Kucinich ambao kwa kweli wanastahili sifa kwa ku-oppose hii vita. hao walipata intelligence briefings na wakakataa kuunga mkono vita.

..vilevile wale waliopinga vita hawakupinga kutokana na "judgement" bali "PRINCIPLES."

..Intelligence facts were very convincing, but equally wrong. siamini kama kuna aliyeweza ku-oppose vita on "judgement."

..Wanaopaswa kubeba mzigo wa lawama ni watu wa Intelligence. kuwalaumu kina Hillary, John Kerry,Colin Powell,..ni siasa na ujanja-ujanja.

..Nilitegemea watu makini wangemuuliza Obama, yeye Intelligence alikuwa anatoa wapi, mpaka akaweza kuvipinga vita vile?

NB:

..Namkubali Obama awe Raisi wa USA, lakini kuna mambo madogo madogo yananifanya nimuone naye ni kama wanasiasa wengine.

..Vilevile ni change gani huyu bwana ataileta kwa Wamarekani weusi?

Joka Kuu, nimekuelewa lakini kinachogomba hapa ni kwamba kuna kitu kinaitwa Judgement. Unaangalia the information you have and you judge what is right and wrong. Sasa what Obama is talking about judgement na kumbuka wakati ule ilikuwa very unfashinable and un-American to oppose the war. Hajatia chumvi na hajawahi kusema kwamba ali vote against the war, he always said he opposed the war! Unlike Hillary who claimed to bring peace to Ireland, Macedonia and the whole world! Alithubutu hata kumention Rwanda! Come on!
 
Duh! Nyani, man you keep a grudge! Hii statement ya Jesse haizungumzwi tena maana alishaomba radhi na it's mea culpa. Naomba tusije tukachanganya remarks kama hii na hizi za Rush Limbaugh ambaye day after day anaongea racist remarks. Au Falwell ambaye alikataa ku-integrate his college.
Bado hujani-convince that Jesse Jackson na Al Sharpton who were presidential hopefuls are same as Rush Limbaugh and Jerry Falwell. Hata Pat Buchanan alikuwa ana some comments ambazo I think border on prejudiced thinking lakini bado namkubali zaidi kama conservative than hao Rush and Falwell.

Of course itakuwa vigumu kukushawishi kuwa hawa jamaa ni race baiters kwa sababu ni makada wa chama unachokiunga mkono.

Sijasema kwamba hao wawili wanafanana na Rush au Falwell. Ni wazi wote ni controversial lakini huwezi kusema hata kidogo kwamba Jesse na Sharpton sio controversial. Utakuwa kipofu wa ukweli ukikataa hilo.

Katika pande zote mbili kuna watu ambao watakuwa polarizing. Sasa nikuulize, kama Jesse na Al unawaona mashujaa wa civil rights, basi kwa hiari yako mwenyewe nakuomba unitajie watu ambao ni Democrats na ambao ni wabaguzi au ambao wameshatoa kauli za kibaguzi.

Just an FYI: John McCain has repudiated both Rush and Jerry...in case you didn't know
 
its real really funny watu kama kina Nyani Ngabu ambao nimeanza kupata wasiwasi kama wanajua History ya hii nchi na struggle za kina Sharpton na Jesse,hana idea hao kina sharpton ndio sasa atleast wamemfanya aonekane naye ni binadamu katika nchi anayoishi,Nyani refer mambo ya Equal housing bill na Equal Employment,Brown Vs Board of education,profiling,loan etc utaelewa jinsi kina Jesse walivyohangaika ambao ndio hao unaowatukana leo,hao republican walikuwa busy to block kila bill ambayo ingesaidia mtu mweusi,labda mwenzetu mzungu...sikulaumu lakini unaonekana you dont know shit zaidi ya kuwa fanatic tuu!
 
its real really funny watu kama kina Nyani Ngabu ambao nimeanza kupata wasiwasi kama wanajua History ya hii nchi na struggle za kina Sharpton na Jesse,hana idea hao kina sharpton ndio sasa atleast wamemfanya aonekane naye ni binadamu katika nchi anayoishi,Nyani refer mambo ya Equal housing bill na Equal Employment,Brown Vs Board of education,profiling,loan etc utaelewa jinsi kina Jesse walivyohangaika ambao ndio hao unaowatukana leo,hao republican walikuwa busy to block kila bill ambayo ingesaidia mtu mweusi,labda mwenzetu mzungu...sikulaumu lakini unaonekana you dont know shit zaidi ya kuwa fanatic tuu!

Mimi ninakuwa fanatic...okay!

Unamjua Al Gore Sr...? Unamjua Senator Robert Byrd?
 
Mimi ninakuwa fanatic...okay!

Unamjua Al Gore Sr...? Unamjua Senator Robert Byrd?

Mi nadhani getting trivia and throwing around some historic facts is not my forte and not because I could not but I believe in synthesis.
It is a fact that until 1968, there were Southern Democrats ambao walikuwa racists and prejudiced na after 1968 convention wakahama kwenda Republican party and effectively the Democrats lost the South, at least that is the general convention.
This brings us to the current election: Jimmy Carter won the South and so did Bill Clinton that is how they became presidents. Lakini kumbuka hata white Northern states like Virginia, this year have elected Democrats in some southern states even women. Also Obama did very well with whites in many states. In fact the states ambapo white men voted more for Hillary is Alabama and Mississipi na Ohio. All have a 'history'.
So I think that Republicans have been able to able to the blue collar less educated white men who are known to have racial prejudices and that's what HIllary is doing as well. But when it comes to McCain and Hillary these white men will vote for McCin. On the other hand the republicans in Maine who should have voted super tuesday in the then tight Republican race decided to vote for Obama will probably vote for Obama in the general elections.
 
nyani ngabu whats wrong with affirmative action? najua kwa akili yako uko against it!
 
Back
Top Bottom