Urusi watengeneza Satan 2

Urusi watengeneza Satan 2

Nnmnhh
Mwenzako Russia aki-endorse kopo lake la nyuklia hiyo navy na anga na ardhi utavitumia wapi na atakuwa kashaifanya nchi majivu pamoja na hiyo mibomu yenu(us)
Kumbuka Russia ni Mobile missile hahitaji kuja kwako yeye yupo ofisini anpoga na azam mango anakudondoshea tu kwako.
Sorry sijui juice ya Russia
Ja
 
Ok ni draw fact zangu kutoka kwa watanzania wenzetu.. Ambao wanazijua hizi nchi vizur.. Kama ukikumbuka kuanzia kpind Cha cold war during 19..Urusi tulikuwa na uhusiano nao mzur tu.. Ko Kuna wanajeshi wetu wengi waliopata mafunzo ya ndani ya kiusalama ndani ya jeshi la Urusi.. Na pia ndo hao hao baada ya tz kutoumana na na upande wowote walinusa pia upande wa pili.. Ko nlipata uchambuzi mkubwa toka kwa jamaa hao.. Kias kwamba Kama ulivyosema kuna vitu vingine u can't write them here..
Watu hao ndo walinchambulia kwa kina na mifano..
Confident naamin Russian army is the best Army in relation to American.

Tafuta wataalum wa nyuklia dunian.. Ukiwapata Angalia the list ni wangapi wanaotoka nje ya Urusi.
Nimekuelewa vizur kabisaa

Kuzalisha wataalamu wengi sio kwamba ww ni bora, Tz tuna madaktari bingwa kibao ila tunahitaji wa india, Tupo ma geologist kbao ila bado tupo nyuma katika tafit za kijiolojia, Fct ni jins gan wanatumika hao wataalamu

Kumbuka hata hao waliosoma huko russia na usa sio kwamba ndio wanajuuua naomba utambue kuwa katika jeshi vitu vinaenda kwa clearance level(kwa uelewa wangu mimi) sio kila kitu kitaanikwa hadharan au kwa kila mwanajeshi,
Mfano mwanajeshi wa kawaida hawezi kujua siri ambazo zipo level ya nuclear,

Kama ushawah kuona unaambia missile flan range yake ni approx 100km ila real range ni classfied?
So anaejua real range anakua ni mtengenezaji na watu ambao wamepangwa kwenye squad ya kuoperate hiyo missile,

So sidhan KAma maelezo yako yanatosha kujusfy hili suala, Kwa uelewa wangu

Anyway we are jus a bunch of misfits discussing huge things
 
Mimi nina muelekeo labda walipue familia yako, mda huu nipo ofisini (Serikalini) jioni nitakua na wahudumu wangu wa Saloon zangu na Mgahawa wanipe Taarifa huku nikipata bia mbili tatu, jana nimelipa ada zote za wadogo wangu wawili waliokosa Mkopo UD na UDOM, Kesho naenda Kiwangwa kusimamia chanjo ya kuku shambani kwangu nikitoka huko narudi home nikae na familia yangu, jioni naelekea sehemu nimesikia patakua na Bendi. Kesho kutwa Jpili tukitoka ibada na familia tunaelekea Beach tukapigwe upepo mpaka jioni, then Jumatatu ratiba ya kazi inaendelea.... baada ya kusema hivi naomba tusilipuliwe mimi nafurahia maisha
Inaelekea una hasira kichiz,
Umefanya siku yangu iwe ya furaha sana
 
Mwenzako Russia aki-endorse kopo lake la nyuklia hiyo navy na anga na ardhi utavitumia wapi na atakuwa kashaifanya nchi majivu pamoja na hiyo mibomu yenu(us)
Kumbuka Russia ni Mobile missile hahitaji kuja kwako yeye yupo ofisini anpoga na azam mango anakudondoshea tu kwako.
Sorry sijui juice ya Russia
Kumbuka USA Ana base nyingi sana katika nchi tofauti ambazo hizo ni anti-missile,

Pia usikarir hizo silo launched missile, Kuna air launched, Kuna submarine launched, Kuna ship launched


Naomba nitoe mfano mdogo tu, unaofana kwa mbaali na hili suala
Hivi unaujua ukubwa wa rockets launched by hamas, Je unaujua ukubwa wa mortars fired by hamass,
Ila zinakua intercepted by IRON DOME,


KasomE PATRIOT DEFENSE SYSTEM, THAAD
 
Ha ha ha rambo style ilikua ndio last option, Maana wale waungwana wakikukamata lazima wakuchinje au wakutie moto, So rambo akaona ni bora afe kwa milipuko, Ni roho ya kishujaa, Ambayo hata ww ungewazia mziki wa isis lazima ungeipata.
Jeshi morali mkuu, kijana alikuwa na moyo wa kizalendo.
 
Nakuunga mkono, Ila hata ingekua mimi wallah nisingekubali wale waungwana wanikamate, Niliona walichomfanya yule pilot wa jordan aisee nilitokwa machoz

Uzalendo+pinned + mziki wa isis+mavideo ya kuchinja= rambo style
Hutakiwi kusalimu amri maadui zako, unatakiwa kupambana hadi mwisho.
 
NI kweli kabisa yan unajua hata kama una roho ya kukata tamaa ukiwazia tu kuhusu wale jamaa lazima mzuka wa vita uje
Hata huyo dogo nae alipata mafunzo ya ukatiri, ni nidhamu na moyo wa kizalendo tu ndio uliomtuma kujitoa mhanga kulinda heshima ya jeshi lake.
 
RUSSIA SIKU ZOTE NI SHOW OFF TU HIYO MIKITO YA KAWAIDA SANA WATU WANAMCHEKI AKIJIKASIRISHA NA KUJIFURAHISHA TU
 
Warusi, wamarekani nk. wana silaha nzuri sana kwa mapambano lkn falsafa ya medani za vita kuwa na silaha nzur ni kuwa na filosofia nzuri ya kushinda vita.
Cos, lengo la mapambano si kuangamiza bali ni kushinda.
 
Kuzaliwa mwanzo sio hoja ya kufanikiwa ,kuna waliotangulia lkn wakachelewa kufikia malengo.naaamini rusia ipo juu zaidi
mkuu kipi kinakuaminisha hivo??
tetea hoja yako kwa mifano halisi kama huyu alivofanya!!
Inawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,

My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.

US army still ni strongest n the best
 
Hua najiuliza hivi! Kama USA mwaka 1960 hivi (sukumbuki vzuri) waliipiga Japan Kwa Bomu la atomic.
Na wakat huo technology ilikua si kama hivi Leo.

Je Leo hii USA si atakua ni balaa
 
Back
Top Bottom