Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,121
Sio kweli kabisaa, mimi nabisha,Nakunga mkono kwa hilo Shickland vita vya sakafuni kumbuka pia walienda Somalia miaka ya 90s waliuawa over 80% na wasomali walisalimu amri mpaka Leo mmarekani hamini jinzi gani mkenya alivyo mpiga msomali na kuweka kambi huko huko somali
Kama ni kweli weka source yako hapa nione otherwise ni propaganda tu,
Ila ni kweli kwa somalia walikutana na changamoto nzito na walipoteza vijana wengi


