Mataifa ya Ulaya yameelewa somo la Hamas.Wanataka taifa la Palestina liundwe haraka.Netanyahu ana tamaa ya ushindi na Hamas wana shaka na juhudi hizo

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,922
Mataifa kadhaa ya Ulaya miezi minne tangu vita vianze bila Israel kupata ushindi ilioutarajia yameunga mkono kuundwa kwa taifa la Palestina.

Baadhi ya mataifa hayo ambayo yamekuwa yakpeleka wajumbe wao mataifa ya mashariki ya kati ni pamoja na Uiengereza,Ufaransa,Italy na Spain.

Kuundwa kwa taifa hilo lenye mamlaka kamili ikiwemo uwanja wake wa ndege,fedha na kudhibiti mipaka imeonekana ndio itazuia vita vinavyozidi kuenea eneo hilo.

Kikwazo cha kwanza cha juhudi hizo imekuwa ni waziri mkuu wa sasa wa Israel pamoja na chama chake ambao wamekuwa na tamaa za fisi za ushindi kupatikana karibuni.

Kwa upande mwengine Hamas wenyewe wana shaka sana na juhudi hizo kwamba hazina ukweli na huenda zikawazunguka na mamlaka kukabidhiwa vibaraka wa nchi hizo pamoja na Israel.

Kwa vyovyote vile mpaka kufikia hatua hiyo ni kuwa somo la Hamas kutaka kujikomboa limeleta matokea chanya.
 
Mataifa kadhaa ya Ulaya miezi minne tangu vita vianze bila Israel kupata ushindi ilioutarajia yameunga mkono kuundwa kwa taifa la Palestina.

Baadhi ya mataifa hayo ambayo yamekuwa yakpeleka wajumbe wao mataifa ya mashariki ya kati ni pamoja na Uiengereza,Ufaransa,Italy na Spain.

Kuundwa kwa taifa hilo lenye mamlaka kamili ikiwemo uwanja wake wa ndege,fedha na kudhibiti mipaka imeonekana ndio itazuia vita vinavyozidi kuenea eneo hilo.

Kikwazo cha kwanza cha juhudi hizo imekuwa ni waziri mkuu wa sasa wa Israel pamoja na chama chake ambao wamekuwa na tamaa za fisi za ushindi kupatikana karibuni.

Kwa upande mwengine Hamas wenyewe wana shaka sana na juhudi hizo kwamba hazina ukweli na huenda zikawazunguka na mamlaka kukabidhiwa vibaraka wa nchi hizo pamoja na Israel.

Kwa vyovyote vile mpaka kufikia hatua hiyo ni kuwa somo la Hamas kutaka kujikomboa limeleta matokea chanya.
ardhi kwa ajili ya kuunda taifa la palestina lilikwepo tangu mwaka 1948 ila wapalestina / waarab walitaka ardhi yote na sio kugawana , hii ndo imewafanya hata hilo eneo kulipoteza na leo wamekuwa homeless
 
Mataifa kadhaa ya Ulaya miezi minne tangu vita vianze bila Israel kupata ushindi ilioutarajia yameunga mkono kuundwa kwa taifa la Palestina.

Baadhi ya mataifa hayo ambayo yamekuwa yakpeleka wajumbe wao mataifa ya mashariki ya kati ni pamoja na Uiengereza,Ufaransa,Italy na Spain.

Kuundwa kwa taifa hilo lenye mamlaka kamili ikiwemo uwanja wake wa ndege,fedha na kudhibiti mipaka imeonekana ndio itazuia vita vinavyozidi kuenea eneo hilo.

Kikwazo cha kwanza cha juhudi hizo imekuwa ni waziri mkuu wa sasa wa Israel pamoja na chama chake ambao wamekuwa na tamaa za fisi za ushindi kupatikana karibuni.

Kwa upande mwengine Hamas wenyewe wana shaka sana na juhudi hizo kwamba hazina ukweli na huenda zikawazunguka na mamlaka kukabidhiwa vibaraka wa nchi hizo pamoja na Israel.

Kwa vyovyote vile mpaka kufikia hatua hiyo ni kuwa somo la Hamas kutaka kujikomboa limeleta matokea chanya.

Matokeo chanya yapi? They are losing Gaza.....unaweza kusema sasa hivi kinachoendelea.....Soma Aljezeera taratibu.......Kilio ni ceasefire! Ndio Kilichobaki......Sidhani tutafika May Hamas ikiwa Intact! Ni vigumu kwa Hamas kugeuza trend ya Gaza......In area need reconstruction......
 
Matokeo chanya yapi? They are losing Gaza.....unaweza kusema sasa hivi kinachoendelea.....Soma Aljezeera taratibu.......Kilio ni ceasefire! Ndio Kilichobaki......Sidhani tutafika May Hamas ikiwa Intact! Ni vigumu kwa Hamas kugeuza trend ya Gaza......In area need reconstruction......

With this information unaweza kusema Hamas ina shinda....?

Gaza​

  • Killed: at least 28,775 people, including more than:
    • 12,300 children
    • 8,400 women
  • Injured: more than 68,552, including at least:
    • 8,663 children
    • 6,327 women
  • Missing: more than 7,000
The latest figures from the Palestinian Ministry of Health in the occupied West Bank are as follows:
 
Mataifa kadhaa ya Ulaya miezi minne tangu vita vianze bila Israel kupata ushindi ilioutarajia yameunga mkono kuundwa kwa taifa la Palestina.

Baadhi ya mataifa hayo ambayo yamekuwa yakpeleka wajumbe wao mataifa ya mashariki ya kati ni pamoja na Uiengereza,Ufaransa,Italy na Spain.

Kuundwa kwa taifa hilo lenye mamlaka kamili ikiwemo uwanja wake wa ndege,fedha na kudhibiti mipaka imeonekana ndio itazuia vita vinavyozidi kuenea eneo hilo.

Kikwazo cha kwanza cha juhudi hizo imekuwa ni waziri mkuu wa sasa wa Israel pamoja na chama chake ambao wamekuwa na tamaa za fisi za ushindi kupatikana karibuni.

Kwa upande mwengine Hamas wenyewe wana shaka sana na juhudi hizo kwamba hazina ukweli na huenda zikawazunguka na mamlaka kukabidhiwa vibaraka wa nchi hizo pamoja na Israel.

Kwa vyovyote vile mpaka kufikia hatua hiyo ni kuwa somo la Hamas kutaka kujikomboa limeleta matokea chanya.

Alwaz: Huwa unakoteza habari wapi hasa?
 
Back
Top Bottom