Uropokaji huu wa Membe utaibua upya mzozo wa kidiplomasia kati ya Rwanda na Tanzania

Mtoa mada umekurupuka! UN ndiyo ya kwanza na mpaka report ilitolewa, marekani ikaionya Rwanda, hata Obama alipokuja mwandishi wa habari wa Congo Silaji Kalyango alimuuliza Obama anachukua hatua gani waasi na kundi la Rwanda kuivamia Congo kubaka wanawake na mauaji. Obama akaahidi hatua kuchukuliwa maana Kagame Alisha onywa.


SIRAJ KALYANGO ni BBC's Journalist based in Kampala, Uganda. In DR Congo BBC's representative is named LUBUNGA BYAOMBE.
 
Joseph Kabila na Riziwani Kikwete ni partners, wanafanya biashara ya madini pamoja na pia Kabila anawekeza sehemu kubwa ya utajiri wake Tanzania kwa kushirikiana na Riziwani.

It is sad fact that tunapiganishwa vita kulinda maslahi binafsi ya Kikwete na Kagame kuiba mali za Kongo na mi mbulumundu mingi humu inachekacheka kama shoga ameguswa makalioni!
 
jamani wote ni wapinzani lakani penye ukweli lazima tuwe wakweli, membe amesema kweli jamani upinzani siyo kupinga kila kitu tufatilie hata historia inasemaje kuhusu waasi wa m23 wametoka wapi na kwa nini wako kongo, pia membe ana taarifa za uhakika juu la hili kwani hata umoja wa mataifa kupitia taarifa zake ilithibisha hivyo, pia upinzani hauna budi kuamini hivyo kwani tanzania kabla halijatumwa jeshi kuna taaarifa za kijasusi zililetwa, je WENJE yeye ana taarifa gani na tene za uhakika kusema kuwa M23 siyo wanyarwanda? na pili upinzani hawana budi kwa namna nyingine kukubali baadhi ya vitu au kama ukweli taarifa usipinge bali omba uthibitisho? na cha mwisho ni kwamba kwa nini uhusiano kati ya TZ na rwanda umekuwa mbaya baada ya TZ kupereka majeshi kongo, haingii akilini kwa kauli ile ya kikwete ndo isababishe uhusiano uwe hivi? VUKA KIWANGO CHA FIKRA NI USHINDI,KUTUMIA DARAJA LA KWANZA LA KUFIKRI NI HEKIMA...........UZALENDO KWANZA MACCCM, MACHEDEMA BAADAYE
 
TPaul , fikiri kabla ya kuandika kitu usidhani kila kitu ni siasa , humu wapo watu na akili zao sio akili za kushikizwa please.
 
Whats your point here?we just talk about UN report concern DRC and not mutual friendship between individual countries
Am talking about your misleading here,It's not true that the whole world is against Rwandese government, Only a handful of countries with their hidden motives who trying to use UN to further their agenda,France in particular!
 
Sasa hapo nani karopoka UN au Membe?

Ripoti ya UN inasema waasi wa M2 wamekuwa wakipata misaada toka ndani ya Rwanda. Sidhani kama imesema ni wanyarwanda wanapatiwa misaada na serekali ya Rwanda. Membe amesema Tanzania imejiridhisha kwa sababu ya ripoti ya UN au kwa vyanzo vyake. Kujiridhisha kuna maana pana. Yaani tumeichukua hiyo report ya UN na kufanya uchunguzi wetu wenyewe then tukajiridhisha. What if UN report is wrong? Membe hakutumia diplomasia
 
Ni upuuzi na ujinga kwa wenje na hao wote wanaoikashifu nchi yao na kumsupport adui wa nchi yao.
 
Tanzania kwa mara ya Kwanza imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kongo ni ni raia Rwanda.Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Benard Membe ameliambia Bunge la Tanzania kuwa anao uhakika kuwa waasi M23 walitokea nchini Rwanda.

Hii ni Mara kwanza kwa Tanzania kukiri hadharani kuwa inao uhakika kuwa waasi hao ni raia wa Rwanda.
Taarifa zinazohusiana

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zimepeleka majeshi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo kwa kushirikiana na yale ya umoja wa Mataifa yaliwaondoa waasi hao DRC

Benard Membe Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

Matamshi hayo ya Waziri huyo aliyatoa wakati alipokuwa akiwasilisha hotuba ya Bajeti ya Wizara yake ambapo pia alikiri kuwa bado uhusiano wa Tanzania na Rwanda sio mzuri.

Hata hivyo upande wa Upinzani mlishambulia Waziri huyo wa Mambo ya nje Benard Membe wakidai kwamba Waziri huyo anachochea kuvurugika kwa uhusiano wa Watanzania na Rwanda kwa kuhisi kuwa M23 ni Wanyarwanda nahata kutaka achukuliwe adhabu kali.

Mbali na tuhuma hizo Waziri Membe alizidi kusisitiza kuwa waasi wa M23 ni raia wa Rwanda akisema hiyo ni ripoti ya Umoja wa Mataifa.

Mbali na waziri baadhi ya wabunge wanamuunga mkono waziri Membe kuwa waasi wa M23 ni raia wa Rwanda.

Matamshi haya Waziri wa Tanzania kuhusu M23 bado haijulikana ni kwa namna gani utaathiri uhusiano wa Tanzania na Rwanda kama utakuwepo huenda ukajulikana hapo baadae.

View attachment 160985
Waziri Membe akiropoka bungeni
Source: BBC

Nina wasiwasi na IQ ya Huyu Jamaa tunataka ripoti kamili na si longolongo-Tz huwa mnaongea maneno Mengi bila tija tu
 
jamani wote ni wapinzani lakani penye ukweli lazima tuwe wakweli, membe amesema kweli jamani upinzani siyo kupinga kila kitu tufatilie hata historia inasemaje kuhusu waasi wa m23 wametoka wapi na kwa nini wako kongo, pia membe ana taarifa za uhakika juu la hili kwani hata umoja wa mataifa kupitia taarifa zake ilithibisha hivyo, pia upinzani hauna budi kuamini hivyo kwani tanzania kabla halijatumwa jeshi kuna taaarifa za kijasusi zililetwa, je WENJE yeye ana taarifa gani na tene za uhakika kusema kuwa M23 siyo wanyarwanda? na pili upinzani hawana budi kwa namna nyingine kukubali baadhi ya vitu au kama ukweli taarifa usipinge bali omba uthibitisho? na cha mwisho ni kwamba kwa nini uhusiano kati ya TZ na rwanda umekuwa mbaya baada ya TZ kupereka majeshi kongo, haingii akilini kwa kauli ile ya kikwete ndo isababishe uhusiano uwe hivi? VUKA KIWANGO CHA FIKRA NI USHINDI,KUTUMIA DARAJA LA KWANZA LA KUFIKRI NI HEKIMA...........UZALENDO KWANZA MACCCM, MACHEDEMA BAADAYE
Wasi wasi wetu ni kwamba hatuna uhakika kama hao ndugu zetu walioko jeshini wamepelekwa Congo kwaajili ya maslahi ya nchi kweli au kwaajili ya maslahi ya wajinga wachache?
 
Kwahio kwa akili yako na kusoma kwako historia una amini hao CIA wana uchungu zaidi ya hao wa Africa wanaouliwa huko DRC kuliko viongozi wa Ki Africa wenyewe. Hehehe!
CIA unaijua wewe? Unafikiri iko pale kwa ajili yako wewe mtu mweusi? Unajua historia ya CIA duniani na jinsi inavyo engineer mambo kwa ajili ya interest za America and the west!?
Hivi nyie watu ikianza vita hapa kati yetu na rwanda tuanze kuuana kisa eti UN inasema Rwanda anaua watu Congo nani ataumia zaidi na nani atafaidika kwa hio vita. Hi vita ikishaisha kama basi itaisha, gesi huna, mafuta huna, madini huna!
Embu acheni UJ.INGA!!

Nina mashaka na utanzania wako
 
Ni upuuzi na ujinga kwa wenje na hao wote wanaoikashifu nchi yao na kumsupport adui wa nchi yao.

Hakuna anayeikashifu wala kuihujumu nchi yake hapa,It's high time now to call CCM out for their lies!These lies have to come to an end and the truth to take the reign in our country!
 
Nadhani tukiingalia hoja ya Wenje kwa mustakabali wa AMANI na USALAMA wa Taifa letu kwa uchanya wake tunaweza kuiepusha nchi yetu kwenye vita na majirani zetu ambao ni wanachama wa EAC.

Lingine ni kuwa kinachotokea Congo leo kinaweza kutokea Tanzania kesho.Wanyarwanda hawa wa Congo waliingia Congo miaka mingi iliyopita,na leo tunao Wanyarwanda hawa walioingia Tanzania nyakati za vita huko kwao,na wako wengi hata kwenye nafasi nyeti za serikali yetu.

Je hivi tunajua kwamba kwenye maeneo ambayo wanyarwanda hawa wamehifadhiwa wanaingiza wageni kutoka kwao kila mara kama siyo kila siku?Kama wanaingia na kutoka tunauhakika wakuwa na usalama wa Taifa letu?

Tuwewaangalifu kwenye hili,sipingi Jeshi kwenda kuokoa na keleta amani kwenye nchi nyingine,lakini kabla ya vita hivi tujaribu kutumia vyema mdomo na maridhiano ili kuleta maelewano ndani ya nchi washirika.Leo tunaenda kuwakaribisha nchi za Somalia na Sudan nchi hizi zipo vitani,na mbaya zaidi Somalia kuna akina Al-Shabab,leo tukiingia Somali kwa muitikio wa UN,tutakuwa salama?Tujifunze kwa Kenya,leo hawako salama.

Tanzania kwanza lakini bila AMANI ya AFRIKA na majirani zetu ,Taifa letu pia haliko salama.
 
nyie mnaosema membe karopoka mlitaka aongelee kilimo au maji pale? yule ni waziri wa nje ndo sehem yake
 
Miafrika MJINGA TU.kubali kataa,Na wazungu wanajua hilo ndiyo maana wanatuvaa kama condom kisha wanatupa kule.Wamarekani walivaa condom ya kiganda wakaiba Congo na wakamuua Rais Laurent Kabila,wakaja kuvaa condom ya kirwanda wakaiba congo wakatupa kule,sasa wamevaa condom ya Kitanzania wanaiba Congo baadaye watatupa kule.Tatizo ni kuwa marekani wametofautana na Rwanda kimasilai kuhusu Congo.sasa Upum.bavu wetu upo hapa Membe,Kikwete,Museveni,Kagame hakuna hasiejua kuwa wanamtumikia Mume mmoja Marekani na ndiye anayewagombanisha.Ugomvi wetu na Rwanda niwa kimalaya kugombania bwana(Mmarekani) kwa hiyo UMALAYA wa nchi zetu hizi niwakumfaidisha bwana tu.Kama tunasema tunasaidia waafrika wanaotendewa mabaya na waasi mbona atupeleki wanajeshi tukafute Boko Haram,al shabab na wanauwa watu kila siku.(Ndiyo maana najua hakika ya kwamba msaada wa kweli wa CONGO utatokea MBINGUNI tu).Maana mpaka hizi Condom Uganda,Rwanda,Tanzania zitakapojitambua na kuacha kugombania mume tunasafari ndefu sana kujitoa kwenye UCONDOM.
 
Mbona husemi pia kuwa kasema hayo si maneno yake, hiyo ni kutoka kwenye report ya Wataalam wa Umoja wa Mataifa walioipeleka AU na kila nchi ya AU wamepelekewa hiyo ripoti?

Na ripoti kaionesha na kasema anaipeleka kwa spika wa bunge kama ushahidi wa maneno yake, na pia amesema Wenje na yeye aende na ushahidi kwa aliyoyasema kuwa ni uongo na yeye ataachia ngazi na yeye akipeleka ripoti ya ushahidi wa maneno yake basi Wenje aachie ngazi.

Mbona Wenje kaa na hakuchukuwa hiyo challenge?

Kwenye ripoti ya UN vilevile kuna taarifa kuwa Tanzania inawauzia risasi na silaha waasi wa jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Nayo tuiamini ni kweli ingawa serikali yetu ilikanusha?
 
Wasi wasi wetu ni kwamba
hatuna uhakika kama hao ndugu zetu walioko jeshini wamepelekwa Congo
kwaajili ya maslahi ya nchi kweli au kwaajili ya maslahi ya wajinga
wachache?

wasiwasi wanini wewe majeshi yapo chini ya un au unafikiri un ni sawa na serikali ya kijiji?
 
Back
Top Bottom