Uropokaji huu wa Membe utaibua upya mzozo wa kidiplomasia kati ya Rwanda na Tanzania

Hawa watu wanaotumia carolite kung'arisha nyuso zao (Membe, Nape, na wengineo) ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa letu. Ni wazi kabisa kuwa watu wa kama hawa uwezo wao wa kufikiri una utata mkubwa
 
Membe hajatoa maneno yake bali ni maneno toka ripoti ya tume ukawa mmekosa hoja mnadaka mambo bila kujua yanatoka wapi na kwenda wapi wewe kama ni mkimbizi toka rwanda rudi kwenu salama.
 
Hawa watu wanaotumia carolite kung'arisha nyuso zao (Membe, Nape, na wengineo) ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa letu. Ni wazi kabisa kuwa watu wa kama hawa uwezo wao wa kufikiri una utata mkubwa
We mla chapati hujitambui kabisa hakuna haja ya kuongea uongo wote huu membe alichokisema kipo kwenye maandishi ya UN wewe hujui kinachoendelea duniani.
 
We mla chapati hujitambui kabisa hakuna haja ya kuongea uongo wote huu membe alichokisema kipo kwenye maandishi ya UN wewe hujui kinachoendelea duniani.

Tangu lini Membe amekuwa msemaji wa UN, tafakari kabla ya kutenda na sio kuropoka hovyo kama alivyozoea huyo anayekesha kujichubua, ama ndiyo anajiandaa kuoteshwa!
 
sioni tatizo... Membe amequote report ya UN, sasa sijui kusoma kitu na kukirejea ni kuropoka au vipi
Ni kweli lakin sisi inatuhusu nn? Kulikuwa na haja ya kuongelea mambo ya rwanda wakati wanajua uhusiano wetu na nchi hiyo umeshatetereka?
 
Huyu membe alivyokaa kizembe zembe atafanyiwa kitu kibaya na Kagame mpaka ashangae,anadhani Kagame atapigia mpakani
 
Hakuna haja ya kumpinga ila alete ushahidi halafu bunge liamue cha kufanya. Na iwapo wapinzani wanapinga pia nao walete uthibitisho.
 
You know nothing about Americans attitude toward Rwanda, They are much closer than you think!You can't separate France from the DRC conflict too!!

Whats your point here?we just talk about UN report concern DRC and not mutual friendship between individual countries
 
sioni tatizo... Membe amequote report ya UN, sasa sijui kusoma kitu na kukirejea ni kuropoka au vipi
Hicho "kitu" kimeachunguzwa na kuripotiwa na an organisation ambayo kwa asilimia kubwa inaongozwa na Western nations ambazo kuanzia historia ilivyoanza wamekua na ajenda za kuikandamiza na kuitumia Afrika kwa maslahi na faida zao kwanza.
Hivyo basi kwa kiongozi yeyote mwenye upeo kidogo, sio busara wala akili kuendelea kutumika na Western nations na organisations zao under the pretense of liberation ili kuendeleza agenda zao.
Ina shangaza sana jinsi wazungu walivyoweza kutukamata kuanzia enzi za utumwa. Ni viongozi wetu walikua wanatuuza na leo hii hata baada ya miaka 200 ya mafunzo bado tuna viongozi "wasomi" ambao hutumika na Westerners bila kufikiria umbali wa zaidi ya pua zao na wanaendelea "kutuuza" kwa kutumika na ngozi nyeupe.

Hata kama ni kweli M23 ni wa Rwanda, je kwa kupayuka kitu kama hicho hadharani kunaweka wapi mahusiano yetu na majirani zetu na ndugu zetu? Au that doesn't matter as long as tunawafurahisha mabwana zetu wa ulaya?
Palikua na haja gani ya kutamka wazi ya kwamba uhusiano wetu na Rwanda si shwari? Hawa politicians hawajajifunza unafiki wa wazungu kwenye maswala ya international relations kweli? Mzungu ana shake hands na kukumbatiana na Saddam na Gaddafi in less than 5 years anakuja kumuua kisa sio kibaraka wake tena.

Ikitokea vita hapa kati yetu na wa Rwanda ni nani watakao ummia zaidi? Sisi na wa Rwanda au wa Marekani na wenzake waliofanya hio "research" na kutuma vibaraka wao kutangaza!!
Wa Afrika tuna laana, kwa kweli!

Membe na uongozi uliokutuma ni WAJINGA NA WAPUMBAVU!! Put African interests first, fikirieni kwa vichwa vyenu na sio makalio!!
Mzungu hatamki kitu bila kufikiria impact yake miaka 50 ijayo, ni kwanini hatujajifunza hilo. Mnafikiri kweli huyo UN ana uchungu hivyo na hizo ngozi nyeusi huko mpaka atoe ripoti kama hiyo na ampe kibaraka atangaze!!??
Kuna kitu mzungu anataka na utashngaa vita vikianza risasi anazotumia mrwanda ndio hizo hizo anatumia mbongo, na wakati sisi tunauana jamaa anachukua uranium, oil, na gas kiulaiiini!! Na viongozi wa jeshi kupewa vimsaada. Yani tactics za miaka ya 1650 mpaka leo ni hizo hizo.
Mijitu myeusi ni mijingi, tufanye igombane kwa kututukuza halafu tuichukulie mali zao! Independent thinking ya Kagame ni kikwazo kikubwa sana kwa western countries na watafanya kila hila kumwondoa!

Huwa nachoka kabisa mimi Nyamgluu!! Arrghhhh!
 
Everybody knows kwamba
wale ni wanyarwanda swali la msingi:kulikuwa na haja ya kutaja jana
bungeni kwamba m23 ni wanyarwanda?

Siyo kila mtu anajua M23 ni Wanyarwanda. CDM hawajui!
Hoja zimeletwa bungeni, waziri kajibia bungeni; swali, ulitaka akajibu akiwa wapi?
 
Hicho "kitu" kimeachunguzwa na kuripotiwa na an organisation ambayo kwa asilimia kubwa inaongozwa na Western nations ambazo kuanzia historia ilivyoanza wamekua na ajenda za kuikandamiza na kuitumia Afrika kwa maslahi na faida zao kwanza.
Hivyo basi kwa kiongozi yeyote mwenye upeo kidogo, sio busara wala akili kuendelea kutumika na Western nations na organisations zao under the pretense of liberation ili kuendeleza agenda zao.
Ina shangaza sana jinsi wazungu walivyoweza kutukamata kuanzia enzi za utumwa. Ni viongozi wetu walikua wanatuuza na leo hii hata baada ya miaka 200 ya mafunzo bado tuna viongozi "wasomi" ambao hutumika na Westerners bila kufikiria umbali wa zaidi ya pua zao na wanaendelea "kutuuza" kwa kutumika na ngozi nyeupe.

Hata kama ni kweli M23 ni wa Rwanda, je kwa kupayuka kitu kama hicho hadharani kunaweka wapi mahusiano yetu na majirani zetu na ndugu zetu? Au that doesn't matter as long as tunawafurahisha mabwana zetu wa ulaya?
Palikua na haja gani ya kutamka wazi ya kwamba uhusiano wetu na Rwanda si shwari? Hawa politicians hawajajifunza unafiki wa wazungu kwenye maswala ya international relations kweli? Mzungu ana shake hands na kukumbatiana na Saddam na Gaddafi in less than 5 years anakuja kumuua kisa sio kibaraka wake tena.

Ikitokea vita hapa kati yetu na wa Rwanda ni nani watakao ummia zaidi? Sisi na wa Rwanda au wa Marekani na wenzake waliofanya hio "research" na kutuma vibaraka wao kutangaza!!
Wa Afrika tuna laana, kwa kweli!

Membe na uongozi uliokutuma ni WAJINGA NA WAPUMBAVU!! Put African interests first, fikirieni kwa vichwa vyenu na sio makalio!!
Mzungu hatamki kitu bila kufikiria impact yake miaka 50 ijayo, ni kwanini hatujajifunza hilo. Mnafikiri kweli huyo UN ana uchungu hivyo na hizo ngozi nyeusi huko mpaka atoe ripoti kama hiyo na ampe kibaraka atangaze!!??
Kuna kitu mzungu anataka na utashngaa vita vikianza risasi anazotumia mrwanda ndio hizo hizo anatumia mbongo, na wakati sisi tunauana jamaa anachukua uranium, oil, na gas kiulaiiini!! Na viongozi wa jeshi kupewa vimsaada. Yani tactics za miaka ya 1650 mpaka leo ni hizo hizo.
Mijitu myeusi ni mijingi, tufanye igombane kwa kututukuza halafu tuichukulie mali zao! Independent thinking ya Kagame ni kikwazo kikubwa sana kwa western countries na watafanya kila hila kumwondoa!

Huwa nachoka kabisa mimi Nyamgluu!! Arrghhhh!

Siyo kila jambo la watu Wa magharibi ni baya mkuu, Hali mashariki ya Congo haikuwa nzuri hata kidogo. Watu Wa Goma Leo wanafurahia utulivu walionao. Huwa nashangaaga Sana mnapowatukana Western countries huku mmevaa suit kutoka Ufaransa na manukato kutoka Italy.
 
tanzania kwa mara ya kwanza imesema inayo uhakika kuwa waasi wa m23 walioondolewa nchini jamuhuri ya kongo ni ni raia rwanda.waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo benard membe ameliambia bunge la tanzania kuwa anao uhakika kuwa waasi m23 walitokea nchini rwanda.

Hii ni mara kwanza kwa tanzania kukiri hadharani kuwa inao uhakika kuwa waasi hao ni raia wa rwanda.
Taarifa zinazohusiana

tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zimepeleka majeshi jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo ambayo kwa kushirikiana na yale ya umoja wa mataifa yaliwaondoa waasi hao drc

benard membe waziri wa mambo ya nje wa tanzania

matamshi hayo ya waziri huyo aliyatoa wakati alipokuwa akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake ambapo pia alikiri kuwa bado uhusiano wa tanzania na rwanda sio mzuri.

Hata hivyo upande wa upinzani mlishambulia waziri huyo wa mambo ya nje benard membe wakidai kwamba waziri huyo anachochea kuvurugika kwa uhusiano wa watanzania na rwanda kwa kuhisi kuwa m23 ni wanyarwanda nahata kutaka achukuliwe adhabu kali.

Mbali na tuhuma hizo waziri membe alizidi kusisitiza kuwa waasi wa m23 ni raia wa rwanda akisema hiyo ni ripoti ya umoja wa mataifa.

Mbali na waziri baadhi ya wabunge wanamuunga mkono waziri membe kuwa waasi wa m23 ni raia wa rwanda.

Matamshi haya waziri wa tanzania kuhusu m23 bado haijulikana ni kwa namna gani utaathiri uhusiano wa tanzania na rwanda kama utakuwepo huenda ukajulikana hapo baadae.

View attachment 160985
waziri membe akiropoka bungeni
source: Bbc

huu ni msimamo wa serikali ya tanzania, tupo tayari kwa lolote kwa masilahi ya taifa hili na watu wake.
 
Mbona husemi pia kuwa kasema hayo si maneno yake, hiyo ni kutoka kwenye report ya Wataalam wa Umoja wa Mataifa walioipeleka AU na kila nchi ya AU wamepelekewa hiyo ripoti?

Na ripoti kaionesha na kasema anaipeleka kwa spika wa bunge kama ushahidi wa maneno yake, na pia amesema Wenje na yeye aende na ushahidi kwa aliyoyasema kuwa ni uongo na yeye ataachia ngazi na yeye akipeleka ripoti ya ushahidi wa maneno yake basi Wenje aachie ngazi.

Mbona Wenje kaa na hakuchukuwa hiyo challenge?

hakukuwa na haja ya membe kushupalia hoja hiyo na kuifanya kuwa main discussion bungeni huku akijua kwamba kufanya hivyo ni kutia msumari wa moto kwenye kidonda ambacho bado hakijapata dawa. mbio zake za kusaka urais zitaitumbukiza nchi hii kwenye vita inayoweza kuepukika. yeye anaona sifa wanajeshi wetu wanavyouliwa huko sudan na DRC? membe ni mtu wa ajabu sana.
 
DRC was messed up long before M23 entered the scene. Kiini cha matatizo ya DRC siyo M23.
 
Niliwahi kuandika hapa juu ya maovu ya ndugu Kagame, ni mvivu pekee wa kusoma ambaye hatoamini kua M23 walnafadhiliwa na Kagame na kaka yake Museven, CIA ambao ndo walijifanya waandishi wa habari walilifanya hili kwa ustadi mkubwa sana na baadhi ya mawasiliano ya Kagame na viongozi wa M23 ylinaswa muda mrefu na vikao vya Kagame na ndugu zake vingi vilifanyika Gisenyi nyakati za usiku au katika wilaya ya Nyagatare ndo walifanyia vikao vyao.
Kwahio kwa akili yako na kusoma kwako historia una amini hao CIA wana uchungu zaidi ya hao wa Africa wanaouliwa huko DRC kuliko viongozi wa Ki Africa wenyewe. Hehehe!
CIA unaijua wewe? Unafikiri iko pale kwa ajili yako wewe mtu mweusi? Unajua historia ya CIA duniani na jinsi inavyo engineer mambo kwa ajili ya interest za America and the west!?
Hivi nyie watu ikianza vita hapa kati yetu na rwanda tuanze kuuana kisa eti UN inasema Rwanda anaua watu Congo nani ataumia zaidi na nani atafaidika kwa hio vita. Hi vita ikishaisha kama basi itaisha, gesi huna, mafuta huna, madini huna!
Embu acheni UJ.INGA!!
 
Back
Top Bottom