IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,400
Vp, na ww mvaaji wa shanga nnmhhh
Vp, na ww mvaaji wa shanga nnmhhh
Ishhhh....!!!
Hiyo sasa ni zaidi ya shanga,Na sie wavaa cheni za silver na gold inatuhusu?
Hata mwenyezi Mungu ni imani pia. Kusema kiuno anakitoa mwenyezi mungu ni imani vilevile. Hao unaona wana viuno vimeungana na mgongo wamevaa juzi tu wakiwa wakongwe. Shanga pia ni urembo kwa wadada. Ni ruksa kuwa na imani unayotaka. Hutaki hulazimishwiHabari za kutengeneza kiuno kwa shanga nayo ni imani tu maana ingekuwa ivo isingekuwa unakutana na mdada kiuno na mgongo havionekani bana. Kiuno cha mtu ni vile ameumbwa na mwenyezi Mungu na siyo shanga
Vikoje hivyoomhmhmhmh ngoja wenyewe viuno vya shanga waje
Hata yale ya Manchester United mkuu?hivi kuna mashuka mekundu eeeh, mie sijawahi yaona
haaaa ok notedHata yale ya Manchester United mkuu?
Bado sijaona neno chachandu hapo mkuu
Nikimuona mwanamke kavaa hicho kikuku namtoa maana sekunde tu..