Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
MKJJ,
At the end of the day this is about marketing and sales.
Kuna psychology ya branding inatumika hapo, Voda waki sponsor urembo brand yao inakuwa automatically associated na uzuri, kuwa hip, kuwa cool, kuwa modern.
Michezo pia, kuwa tough, kuwa popular na hata kuwa victoriuos and at least resilient.
Kusafisha mji? Mitaro, uchafu, nzi na uchafu wote.nani anataka hilo.
Marketing is not that altruistic and prudent, if they can poison you to sell they will you know.
Wakati Vodacom south Africa wanasifika kwa kudhamini researches mbali mbali za technologia na kuhakikisha vyuo vinabakiza wanafunzi wote wa mawasiliano na computers, economics nk ili baadaye wawe wasomi wazuri katika kuchangia maendeleo ya taifa, naona wamefika tanzania nchi ambayo naona imedhalaulika kweli kweli.
Lakini kwani Vodacom Tanzania ni akina nani?
Ni vizuri wajinga ndio waliwao.
Tumuulize Ephraim Mafuru ..... meneja masoko wa voda maana naona priority zake ziko mbali kabisaaaaaaa!
RA basi tu
Wakati Vodacom south Africa wanasifika kwa kudhamini researches mbali mbali za technologia na kuhakikisha vyuo vinabakiza wanafunzi wote wa mawasiliano na computers, economics nk ili baadaye wawe wasomi wazuri katika kuchangia maendeleo ya taifa, naona wamefika tanzania nchi ambayo naona imedhalaulika kweli kweli.
Lakini kwani Vodacom Tanzania ni akina nani?
Ni vizuri wajinga ndio waliwao.
Celtel pledges continued sponsorship of best students
2008-03-27 09:07:15
By Njonanje Samwel
Mobile phone service provider Celtel has pledged to continue sponsoring best performing Form Six students to pursue higher education in the country.
Celtel corporate and social responsibilities manager Tunu Kavishe made the pledge at a luncheon held in Dar es Salaam recently.
The luncheon aimed at exchanging views with students sponsored by the company who are currently studying in different Universities in the country.
The company is currently sponsoring 23 students in various institutions of higher learning in the country.
``Celtel is aware that investing in education is an important contribution to the society because in the process competent manpower is created which is vital in the development of the national economy. It is on this basis that Celtel will continue sponsoring best performers in various academic disciplines education is a key to development,`` said Kavishe.
She advised students sponsored by the company and the government to work hard and ensure they pass their exams and come out of the institutions with requisite expertise and competencies that would contribute to the country`s development.
Kavishe said student sponsorship was a component of the company`s `Build our Nation` programme established in 2004 for the purpose of promoting education in the society.
Under the programme, about 400 schools in the country have already received donations while others were given computers. Celtel has spent nearly 500m/- on community-based activities under the programme.
In order to promote talents, she said Celtel was currently sponsoring an inter-university quiz competition under its Celtel Africa Challenge project. The programme is aired by ITV in Tanzania every Sunday.
Higher education institutions in the country which participate in the competition include the University of Dar es Salaam, Mzumbe University, Hubert Kairuki Memorial University and St. Augustive University of Tanzania (SAUT).
SOURCE: Guardian !
.. Uchafu uko kwenye vichwa vya viongozi wetu na ndio tunatakiwa kuuondoa huko kwanza kabla ya kuanza kuisafisha hiyo miji.
Mwanakijiji nani alikuambia tatizo la uchafu kwenye miji yetu ni hela? Mbona hata hao wanaoingoza hiyo miji hawajui kama ni michafu? Uchafu huko kwenye vichwa vya viongozi wetu na ndio tunatakiwa kuuondoa huko kwanza kabla ya kuanza kuisafisha hiyo miji. Otherwise nawaunga mkono Vodacom!
Hao viongozi wetu tunawachagua wenyewe tukijua uchafu ulioko kwenye vichwa vyao. Swali, je yawezekana na sisi wananchi vichwa vyetu vimejaa uchafu? Nauliza kwa sababu hawa viongozi wachafu tunawachagua kila chaguzi huku tukijua uchafu wao.....labda uchafu wa vichwa vyao ni reflection ya jamii inayowachagua....just thinking
wewe bwana mzee unapiga hadi ikulu kwa kweli .Ndiyo hivyo wachafu wanashiriki uchafu so figure out
Tatizo wala si Vodacom, ni sisi Watanzania wenyewe.
Kama nchi ina muamko wa kisiasa na elimu Vodacom watajua tu na wataleta hayo mambo ya researches.Lakini sasa hivi wanaona watu wanaokuwa katika income bracket wanayoityaka wako zaidi katika urembo na michezo.
Socially responsible marketing is a very hot idea right now na kama kweli kuna market hawawezi ku i ignore.Tatizo sisi tunataka Vodacom ifanye kazi ya serikali kuwahimiza watu kuhusu elimu na usafi, hawawezi kufanya hivyo kama alivyosema best hapo juu kwa sababu hii si charity work au kazi ya serikali.
Hata unapomuona Reginald Mengi anapanda miti au kuhimiza vita dhidi ya ukimwi usifikiri anafanya charity work, mahesabu kibao katika biashara hata unapogawa una invest pia katika ioyo ya watu wakuone mzalendo na wazidi kununua bidhaa zako wakijifariji part inaenda kwenye mazingira.
Sasa Vodacom tumeshindwa kuwabana wenyewe, hata mimi ningekuwa marketing manager nimepewa bottom line halafu watu wa Chuo Kikuu/ Wizara ya Elimu hawaleti proposals ila watu wa Miss Tanzania wanajaa kila siku ningekuwa na wakati mgumu kuwapa watu wa Chuo Kikuu au Jiji priority.
Nimesoma habari kuwa Vodacom wamejitolea tena kudhamini mashindano ya urembo kwa mwaka huu na wametenga Shs; milioni 600 kwa ajili ya mashindano hayo ya kuonesha jinsi gani kina dada zetu wamejaliwa kwa kila hali ili hatimaye tuwe na binti mrembo kuliko wote walioshindana.
Sasa tulikuwa tunazungumzia mambo ya uchafu on the other thread na huko nyuma tuliwahi kuzungumzia ushindi wa Taifa Stars dhidi ya Burkinabe na watu wakachangiana Shs milioni 400 na upuuzi!
Sasa nilitaka kuhoji mambo mengi lakini hivi ni njia ipi ambayo Vodacom ingeweza kujitangaza kama kuwekeza hizo milioni 600 kwenye kampeni za Usafi kama vile "Safisha Tanzania na Vodacom"; "Kampeni ya Kusafisha Jijina Vodacom"
Tuna vipaumbele? Sekta binafsi na serikali na wananchi? Tunawezaje kuchagua vipaumbele vya Taifa...
Huko sawa mkuu
Hata kule South Africa kuna kitu sheria za nchi ndizo zinazosaidia. Baada ya utawala wa kibaguzi waliweka kitu kimoja walioko huko watanikosoa.
Walisema Makampuni hata yakilipa mishahara kiasi gani hayawezi kuwalipa watu kadri wanavyo taka(according to their investments in knowledge) bado vipato ni vidogo walicho hamua ni kwamba kunatakiwa Elimu, lazima pamoja na makampuni kulipa kodi yawekeze katika kuwasomesha wananchi.
Kwa hiyo mwisho wa mwaka unapeleka mahesabu umesomesha wangapi mwaka huu? Hiyo inaweza kukusaidia hata kupewa some insentive kwenye maswala ya kodi(tatizo hili ukiliweka kwetu itakuwaje). kuna kipindi Vijana hata walikuwa wanagomabiwa katika kupewa udhamini. Hasa hasa target ilikuwa katika makampuni ya madini yanayokuwa yanawaachia mashimo.