Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
CCM muda wao umekwisha 2025 tunakuja na chama kipyaaaa kilichosajiriwa miaka mingi lakini kinakwenda kujaza wananchama NA WAFUASI na kitachukua dola. Utabiri MCHUNGU wa Mwl Nyerere kutimia 2025 baada ya kuutoa mwaka 1995 ni baada ya miaka 30 ya umri wa YESU unakwenda kutimia.Ikumbukwe hawa vijana wadogo watatu Mwigulu, January na Kigwangalla waligombea urais 2015 japo safari yao iliishia kwenye kura za maoni.
Niliwapa jina la Three the Hard Way.
Safari inaendelea japo naona Dkt. Kigwangalla ameachwa nyuma kidogo lakini kwenye Marathon ushindi ni mbinu na ujanja so lolote linaweza kutokea 2030.
Mungu ni mwema wakati wote!