Uraia pacha kwa taifa changa ni kifo kuliko faida

Unazungumza hoja za kutunga bila ushahidi wowote na una mawazo finyu sana. Huonyeshi cause na effect.


Eti 😁👉Hata nchi ndogo/changa zenye uraia pacha hatuoni faida za maana wanazozipata kwa kuwa na uraia pacha zaidi ya kuongezeka kwa wizi na utapeli ndani ya nchi zao tu

Hana ushahidi wowote juu ya hilo, huyu ni mmoja kati wachache wasiotaka uraia pacha.
 
Kuna sababu dhaifu sana za kuhalalisha uraia pacha. Nchi zetu hizi zina mifumo legelege sana ya kudhibiti uhalifu na wizi wa mali na rasilimali za taifa.

Hata bila uraia pacha mali zetu zinaibwa na watanzania na viongozi wetu na kwenda kufichwa nje ya nchi (ulaya, marekani na Asia (Dubai, oman, Singapole, Malaysia, nk) itakuwaje kama wezi hawa watakuwa na fursa ya kuwa na uraia pacha?

Hata nchi ndogo/changa zenye uraia pacha hatuoni faida za maana wanazozipata kwa kuwa na uraia pacha zaidi ya kuongezeka kwa wizi na utapeli ndani ya nchi zao tu. hata nchi zilizoruhusu uraia pacha (diaspora) naazo ni masikini pia, zinapigana, na wizi mwingi na mkubwa wa rasilimali zao. hatuna cha kujifunza kutoka kwa nchi hizo.

Faida tutakayopata kama tutaruhusu uraia pacha ni ndogo sana by far kuliko hasara tutakayoingia. Sababu ziliwafanya Nyerere, karume, mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na magufuli kuukataa Uraia wa nchi mbili bado zipo hadi kesho.

Kuna watu wanatoa sababu dhaifu sana za kuruhusu uraia pacha za kupata wachezaji wa mpira na wawekezaji, ni za kipuuzi kabisa. Tutapanua lango la kupitia wezi wa mali zetu na kutumia barabara pana kuzisafirisha huko Swiss na visiwa vya Jersey kwa urahisi kabisa mchana kweupe.

Siungi mkono upuuzi huu.
Mkuu,Kwani Uraia maana yake ni nini?Masharti ya kuwa Raia ni yapi?Majukumu ya Raia ni yapi,Faida za uraia ni zipi?Ukishaelewa hivyo vyote basi hizo poit zako hapo juu zinayeyuka kama barafu.Ila ili nikutoe tongotongo nitajaribu kukupa majibu matatu makuu.

Faida za Uraia ni pamoja na uhuru wa kwenda kokote,kufanya lolote cha muhimu usivunje sheria za nchi.
Pili Faida ya Pili ya Uraia ni kupata ulinzi wa mali zako na kufurahi mali za umma kwa usawa na kwa mujibu wa sheria
Tatu Uraia unakupa haki ya kuchagua viongozi na kuchaguliwa kuwa kiongozi

Vile vile Uraia unakuwa haki na wajibu wa kushiriki katika ujenzi wa taifa kwa kulipa kodi,kuwekeza,n.k.

Sasa Unapokuwa na Uraia Pacha Unakuwa na haki zote hapo juu na unakuwa na wajibu wa Kulipa Kodi.Kimsingi nchi inaporuhusu uraia Picha inaongeza wigo na uwezo wa kukusanya kodi,Kufanya Biashara,Kutumia Fursa na kuhamasisha Maendeleo.


So swala sio kuzuia uraia Pacha.Swala ni Namna Uraia Pacha Utakavokuwa.Kwa Mfano kwa nchi nyingi Unapewa Passport ya Nchi husika.Unapopwea Hiyo Passport unakuwa na Minimum amount of minimum tax ambayo unapaswa kulipa,Unapaswa kuwa na makazi na uwepo katika nchi yako kwa kipindi fulani minimum.Nchi nyingine zinaweka kigezo cha uwekezaji na Pia kunakuwa na Time Limit ya Uraia.

So kimsingi Uraia Pacha unafaida hasa ukiutazama kwa jicho la kimaendeleo.Ila ukiwaza kwa uchoyo na uog na ujanja ujanja utaona kwamba ni Mbaya.

Tuseme tu namna ya usimamizi wa Uraia Pacha ndio changamoto.Tujadili Hilo...
 
Moja kati ya mada dhaifu haswaa 2024
Eti diaspora watatuma fedha nyingi sana nyumbani, una ushahidi gani kama watatuma, nani atawalazimisha kutuma? mdogo wangu wa tumbo moja ana miaka zaidi ya 25 yuko ng'aambo, na hana cha maana alichofanya nyumbani. Baada ya baba yake kufa ndio kabisaa kakata mguu. Sasa hivi ni mtanzania wa tz tu lakini hatumi je, akichukua na uraia wa kule si ndio atapotea kabisa. Kumpa uraia mtu kama huyo ni kuongeza idadi bila sababu. Unaweza kufungua dirisha halafu wakaingia inzi, papasi, nzige, majani ya miti iliyokauka na mavumbi tu na hewa chafu badala ya hewa safi ya oxygen.
 
Eti diaspora watatuma fedha nyingi sana nyumbani, una ushahidi gani kama watatuma, nani atawalazimisha kutuma? mdogo wangu wa tumbo moja ana miaka zaidi ya 25 yuko ng'aambo, na hana cha maana alichofanya nyumbani. Baada ya baba yake kufa ndio kabisaa kakata mguu. Sasa hivi ni mtanzania wa tz tu lakini hatumi je, akichukua na uraia wa kule si ndio atapotea kabisa. Kumpa uraia mtu kama huyo ni kuongeza idadi bila sababu. Unaweza kufungua dirisha halafu wakaingia inzi, papasi, nzige, majani ya miti iliyokauka na mavumbi tu na hewa chafu badala ya hewa safi ya oxygen.

Ukiwa na roho nzuri kwa mwenzio basi mambo yako yatakunyookea, lakini ukifanya roho mbaya hutafanikiwa. Piga tu hesabu ya haraka kati ya watanzania m60 + diaspora ambao ni wachache sana sidhani hata 10000 wanafika
 
Ukiwa na roho nzuri kwa mwenzio basi mambo yako yatakunyookea, lakini ukifanya roho mbaya hutafanikiwa. Piga tu hesabu ya haraka kati ya watanzania m60 + diaspora ambao ni wachache sana sidhani hata 10000 wanafika
Kabla ya kuukana uraia wa tanzania huwa mnaomba ushauri au mnaitaarifu serikali ya tanzania, au ni unilateral decision yenu na familia zetu? Hatukatai kuwa ziko chembembe za faida kwenye uraia pacha, bali ni sawa na chuya zenye mchele bala ya mchele wenye chuya. Tofautisha kati ya mchele wenye mawe na mawe yenye mchele. Uraia pacha una faida kwa nchi tajiri na ni hasara kwa nchi masikini. Nchi tajiri zinapata cheap labour kwa njia rahisi sana kwa sera yao ya kutoa uraia kwa watu wa mataifa mengine, na wanachagua nani wa kumpa na nani wasimpe kutokana na malengo yao yaliyoratibiwa vizuri sana na mifumo inayosomana. Yaani watu wote wa nchi hizo wanajulikana status zao kila sehemu ya kutoa huduma kuanzia kwenye kodi, uhamiaji, bank, hospitali, kwenye uchaguzi, nk. Sisi hapa kwetu hatujuani, hata wahamiaji wanaweza kuwa marais bila kujua.
 
Bongo bana…watu wanataka wote tugawane umasikini. Kwa hiyo uraia pacha ndo unatufanya tusipate huduma za Umeme? uraia pacha ndo unawafanya watawala wakwapue mabilion ya kodi za Watanzania? Haya madeal machafu yote yanafanywa kwa sababu ya uraia pacha? Umeongelea mabaya ya uraia pacha. Hujaongelea mazuri ya huo uraia. Unajua ni kiasi gani cha pesa za kigeni zinatumwa na hao dayaspora?
mkuu bado unajitafuta. Kama Huwezi kwenda nje kutafuta..waache wenye Nia na nguvu waende. Wewe endelea kusindikiza misafara ya Makonda.
Wewe nenda katafute maisha ukiwa mtanzania, kama ukiukana uraia wa tanzania ni kwamba umetusaliti, the door of never return itakuhusu, hatuwezi kulala milango wazi tukisubiri mtu alieukana utanzania arudi kutununulia milango na kufuri, Huko ni sawa na kupokea fedha za binti yako anaedanga mitaani.

Watanzania tuchape kazi ya kufa na kupona kulijenga taifa letu tusisubiri diaspora ambao wanahenya sana huko nchi za watu, wako wanaoshikishwa ukuta na mbwa ili kuzikumbatia fedha, hawachagui kazi kule, hakuna muda wa kusogoa wala kulala kule, ni kazikazi tu mwanzo mwisho. NI ujinga mtupu kiongozi mwenye akili timamu kujadili uraia pacha badala ya kujadili kwanini umeme unakatika, kwanini maji hakuna, wapi tutauza mifugo yetu, kwanini hatuchimbi chuma yetu kikamilifu, namna gani tutawalipa vizuri wafanyakazi wetu na namna gani tutawadhibiti wote wanaotuibia ili tupate tija kubwa.
 
Ukiwa na roho nzuri kwa mwenzio basi mambo yako yatakunyookea, lakini ukifanya roho mbaya hutafanikiwa. Piga tu hesabu ya haraka kati ya watanzania m60 + diaspora ambao ni wachache sana sidhani hata 10000 wanafika
Hivi nchi kama Marekani wana roho nzuri kwa nchi nyingine? Ni maskini? Mafanikio yangu yananitosha, alhamdulilah silali na njaa. Lakini uraia pacha uliasisiwa na nchi za magharibi kwa maslahi yao ya kiuchumi na kiusalama. Sisi kwenye uraia pacha tutaambulia kuzalisha wasaliti, mafisadi, magaidi na vibaraka wenye hadhi ya kimataifa kwa urahisi zaidi kuliko ilivyo Sasa.
 
Hivi nchi kama Marekani wana roho nzuri kwa nchi nyingine? Ni maskini? Mafanikio yangu yananitosha, alhamdulilah silali na njaa. Lakini uraia pacha uliasisiwa na nchi za magharibi kwa maslahi yao ya kiuchumi na kiusalama. Sisi kwenye uraia pacha tutaambulia kuzalisha wasaliti, mafisadi, magaidi na vibaraka wenye hadhi ya kimataifa kwa urahisi zaidi kuliko ilivyo Sasa.
Dunia nzima inawategemea Marekani.
 
Mwambie wewe bhana. Sisi wengine ni watu wa kawaida sana ndani ya jamii, lakini Wacha tuandike TU kile tunachoona keep taifaa nchi na wananchi wake humu hata kama maoni yetu yataonekana ya kipuuzi kwa wwtoa maamuzi. Lakini huenda baada ya miaka 100 ijayo vitukuu na vilembwekeza virakuja kuyaona na kuiona ushauri wetu na kuwadharau watoa maamuzi wa Leo kama vile tunavyowalaumu Leo akina Mangungo, tiptip, na machifu waliokuwa wanawauza utumwani watu wao kwa wazungu.
Dunia nzima inawategemea Marekani.
 
Sababu za Kukataa Uraia pacha ndio Nyepesi sasa! Hazina Mashiko na zimejikita kwenye HOFU ZA KISHAMBA tu.
 
Kuna sababu dhaifu sana za kuhalalisha uraia pacha. Nchi zetu hizi zina mifumo legelege sana ya kudhibiti uhalifu na wizi wa mali na rasilimali za taifa.

Hata bila uraia pacha mali zetu zinaibwa na watanzania na viongozi wetu na kwenda kufichwa nje ya nchi (ulaya, marekani na Asia (Dubai, oman, Singapole, Malaysia, nk) itakuwaje kama wezi hawa watakuwa na fursa ya kuwa na uraia pacha?

Hata nchi ndogo/changa zenye uraia pacha hatuoni faida za maana wanazozipata kwa kuwa na uraia pacha zaidi ya kuongezeka kwa wizi na utapeli ndani ya nchi zao tu. hata nchi zilizoruhusu uraia pacha (diaspora) naazo ni masikini pia, zinapigana, na wizi mwingi na mkubwa wa rasilimali zao. hatuna cha kujifunza kutoka kwa nchi hizo.

Faida tutakayopata kama tutaruhusu uraia pacha ni ndogo sana by far kuliko hasara tutakayoingia. Sababu ziliwafanya Nyerere, karume, mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na magufuli kuukataa Uraia wa nchi mbili bado zipo hadi kesho.

Kuna watu wanatoa sababu dhaifu sana za kuruhusu uraia pacha za kupata wachezaji wa mpira na wawekezaji, ni za kipuuzi kabisa. Tutapanua lango la kupitia wezi wa mali zetu na kutumia barabara pana kuzisafirisha huko Swiss na visiwa vya Jersey kwa urahisi kabisa mchana kweupe.

Siungi mkono upuuzi huu.
Nchi changa isiyokua miaka nenda rudi, wananchi wanajiita wanyonge, ccm imewashika hasa. Jioneni wachanga tu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hivi nchi kama Marekani wana roho nzuri kwa nchi nyingine? Ni maskini? Mafanikio yangu yananitosha, alhamdulilah silali na njaa. Lakini uraia pacha uliasisiwa na nchi za magharibi kwa maslahi yao ya kiuchumi na kiusalama. Sisi kwenye uraia pacha tutaambulia kuzalisha wasaliti, mafisadi, magaidi na vibaraka wenye hadhi ya kimataifa kwa urahisi zaidi kuliko ilivyo Sasa.

Kwa sasa hakuna uraia pacha, lakini nchi inaliwa au hailiwi?
 
Kuna sababu dhaifu sana za kuhalalisha uraia pacha. Nchi zetu hizi zina mifumo legelege sana ya kudhibiti uhalifu na wizi wa mali na rasilimali za taifa.

Hata bila uraia pacha mali zetu zinaibwa na watanzania na viongozi wetu na kwenda kufichwa nje ya nchi (ulaya, marekani na Asia (Dubai, oman, Singapole, Malaysia, nk) itakuwaje kama wezi hawa watakuwa na fursa ya kuwa na uraia pacha?

Hata nchi ndogo/changa zenye uraia pacha hatuoni faida za maana wanazozipata kwa kuwa na uraia pacha zaidi ya kuongezeka kwa wizi na utapeli ndani ya nchi zao tu. hata nchi zilizoruhusu uraia pacha (diaspora) naazo ni masikini pia, zinapigana, na wizi mwingi na mkubwa wa rasilimali zao. hatuna cha kujifunza kutoka kwa nchi hizo.

Faida tutakayopata kama tutaruhusu uraia pacha ni ndogo sana by far kuliko hasara tutakayoingia. Sababu ziliwafanya Nyerere, karume, mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na magufuli kuukataa Uraia wa nchi mbili bado zipo hadi kesho.

Kuna watu wanatoa sababu dhaifu sana za kuruhusu uraia pacha za kupata wachezaji wa mpira na wawekezaji, ni za kipuuzi kabisa. Tutapanua lango la kupitia wezi wa mali zetu na kutumia barabara pana kuzisafirisha huko Swiss na visiwa vya Jersey kwa urahisi kabisa mchana kweupe.

Siungi mkono upuuzi huu.
kunywa K-VANT bro!!!!.....mimi nilishapiga sana vita hili jambo!!!!!!.......wataibuka mataeli yenye PHD!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom