Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 315
- 879
Tunajua serikali inahofia kuruhusu uraia pacha kwa sababu za kisiasa kwamba atatokea mtanzania huko mambele mwenye ushawishi na kuchukua nchi. Hilo tuliache.
Tanzania kwa siku za hivi karibuni inajitutumua kwenye nyanja za michezo kimataifa. Mfano hivi karibuni, timu ya Taifa ya mpira wa miguu imefuzu mashindano ya Afrika (AFCON).
Hivyo ni jukumu la Taifa kuhakikisha timu yetu ya taifa inaenda kufanya vizuri huko Ivory coast kwenye mashindano hayo.
Tanzania ina raia wengi wenye vipaji vikubwa huko kwenye nchi za wenzetu sema tu wanashindwa kuja nchini kwa sababu hatujaruhusu uraia pacha.
Serikali tunaomba mruhusu uraia pacha kwa umri huo wa miaka 0 hadi 35. Tutapata vijana wengi wa kitanzania wenye exposure ya kimataifa katika michezo mbalimbali hasa mpira wa miguu.
Baada ya miaka 35, kijana itabidi aamue sasa anakuwa raia wa nchi gani kati ya Tanzania au nchi ya kimataifa aliyoishi hapo kabla.
Tanzania kwa siku za hivi karibuni inajitutumua kwenye nyanja za michezo kimataifa. Mfano hivi karibuni, timu ya Taifa ya mpira wa miguu imefuzu mashindano ya Afrika (AFCON).
Hivyo ni jukumu la Taifa kuhakikisha timu yetu ya taifa inaenda kufanya vizuri huko Ivory coast kwenye mashindano hayo.
Tanzania ina raia wengi wenye vipaji vikubwa huko kwenye nchi za wenzetu sema tu wanashindwa kuja nchini kwa sababu hatujaruhusu uraia pacha.
Serikali tunaomba mruhusu uraia pacha kwa umri huo wa miaka 0 hadi 35. Tutapata vijana wengi wa kitanzania wenye exposure ya kimataifa katika michezo mbalimbali hasa mpira wa miguu.
Baada ya miaka 35, kijana itabidi aamue sasa anakuwa raia wa nchi gani kati ya Tanzania au nchi ya kimataifa aliyoishi hapo kabla.