platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,156
Hizi inabidi atumie yale malori ya samsung kuzibeba kwa coins! Kha!
Afu usikute ile binduki yangu wewe ndo uliiba mie nakomaa na Kongosho na ki-Nyani Ngabu bure! Utapata dhambi za bonus!
Mbona ile yako ni kama sample tu ya mzigo wa kontena nilionao.......in-fact ni kweli vijana wangu niliwatuma waje wachukue nikidhani ni brand mpya, matokeo yake nimempa mtoto wangu achezee!!